Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Vijana msifikir ndoa ni kucheza kwaito na kutuma picha instagram. Kwa wale waliooa kabila lililopo pembezoni mwa mlima mrefu Afrika na kule Kyela moto tunauona!
Hahaha nliwahi kuwa na demu wa pande hizo, ilkuwa niowe. Dah. Mzee nilichimba, nashukuru sana MUNGU, maana ningejuta. Yani aliniokoa sana. Ndoa! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake

Si kwa hawa wanawake wa dot.com watakupeleka kaburini kabla ya wakati wako.
Maana hawatakujali kwa lolote washindana kukuchuna tu yaani watakaa hapo kwa maslahi yao so usifikiri unakomoa mwanamke bali unajikomoa mwenyewe.
Usitumie maisha ya bibi zako ukayaleta kwa hiki kizazi utakufa kabla ya wakti wanawake wa kisasa hawana mioyo yenye nyama kabisa
 
Kumuacha Mwanamke halitakiwi kuonekana ni jambo kubwa ambalo unaweza kulifanya. Ni kawaida sana kachana na Mtu ambaye hamuendani
 
Mchawi Pesa
 

Attachments

  • big_beautiful_heart_20200611_233424_0.jpg
    big_beautiful_heart_20200611_233424_0.jpg
    86.6 KB · Views: 7
Mwanaume au mumeo si mtu sahihi wa kwenda nae ligi hata siku moja mtazamo wangu hata Kama kakufanyia ubaya we tafuta njia tu ya kutafuta amani ya moyo wako ila sio eti kafanya hivi na mimi nafanya vile utaumia ww.

Just take care of yourself maradufu tu oga hata Mara kumi fundisha watoto wako kuna ving vya kufanya Kama mwanamke zaidi ya kuleta ligi na mwanaume
Ubarikiwe sana mkuu
 
Kuficha tabia ni ngumu sana..waliwabadilikia baada ya ndoa au walificha tabia kabla ya ndoa au kuna tabia zinaonekana baada ya ndoa?
Mm najua ndoa ni paradiso chochote kinyume na hapo kisiichoongeleka kikaisha basi ni mpango wa ibilisi si kila ndoa ni mpango wa Mungu
Kuna ndoa sababu ya uzinzi mimba iliingia wakaoana
Kuna ndoa sababu ya pesa mtu akaolewa
Kuna ndoa sababu ya mvuto wa nje mtu akaoa
Kuna ndoa sababu ya masters mdada akaolewa
Pia zpo za upendo wa Agape hizi wanaishi kama wachumba kwa miaka yote ya uhai wao na ndizo ndoa pekee hata uchumi ukiyumba au mmoja akateleza akafanya madudu hurejea kawaida baada ya mda mfupi na hudumu milele.
Naunga mkono hoja, sababu iliyowavuta kufunga ndoa ndiyo itakayoamua aina ya ndoa yenu

Mkioana kwa sababu ya upendo mlionao baina yenu na nia yenu ni kuuenzi upendo huo kupitia ndoa basi maisha yenu yatakua ya raha sana


Shida iliyopo kwa sasa ni kuwa vijana wengi wanaoa/kuolewa wakiwa na sababu ambazo ni nje ya UPENDO.


sababu kama urembo, muda wa kuoa au kuolewa umefika, sababu ya mali n.k
 
Back
Top Bottom