Sure , maridhiano ni njia mwafaka ya kutatua migogoro kwenye mahusiano.2007 nkakimbia nkarudi 2009 upya nikonikoosanaaaa hiii sitokiii hata aje nani..kwasasaa nashaurii tu na kufanya maridhiano pale kunapokuwa na ndoa zenye visa vya tabia nchi....
💯 mkuu umuhimu wa maridhiano pale yanapokukuta m ndiomaana nilijitoa mhanga kansan kupanbana na hizi shida kwa yalionikuta na opt ya kwanza maridhiano hatakama yatachukua mweziSure , maridhiano ni njia mwafaka ya kutatua migogoro kwenye mahusiano.
2009 -2013 nilikua na mtu ambaye nilimpoteza hio 2013 kwa issue ingeyoweza kutatulika kwa mazungumzo na maridhiano.
Haswa hiko kipengele cha kanisani , japo kinakufunga kwa vingi lakini inapofika wakati wa mazungumzo pindi hali inapokuwa si hali ukiweka nyaraka za kanisani mezani unaweza sikilizwa , ilinigharimu sana kipindi hicho, mtu anakuchukulia chako kwa vile huna vielelezo vya uhalili wa hiko chako unabidi usamehe tu.💯 mkuu umuhimu wa maridhiano pale yanapokukuta m ndiomaana nilijitoa mhanga kansan kupanbana na hizi shida kwa yalionikuta na opt ya kwanza maridhiano hatakama yatachukua mwezi
Hawana 4Rs kabisaaa, sijui kwnn?Mke ni kamati ya vita ya kujitegemea, hawa watu na amani hawajawah kukaa meza moja ya maridhiano angalau wakawa na 4R