exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,263
- 3,897
Moja Kwa Moja Kwenye Mada
Hapa Sioni Ubaya Kuishi Na Ndugu Bali Nazungumuzia Ukiwa Na Ndugu Unaishi Nao Nyumbani Saa Nyingine Unakoswa Uhuru Wa Kujiachia Moja Kwa Moja.
Kwaupande Wangu Naona Vizuri Ni Kuishi Na Familia Yako Pekeako Bila Mchanganyiko Wa Ndugu Wengine Kwasababu Naona Hata Mambo Ya Kifamilia Yakiwa Ni Ya Siri Yanavuja Mitaani Kwasababu Wavujishaji Wanakuwa Ni Ndugu Zetu.
Mfano:
Mimi Nikigombana Na Mke wangu Majirani Wanajua Mpaka Chanzo Cha Kugombana Ila Kipindi Naishi Na Familia Yangu Huwezi Kujua Hata Tukigombana Utakuta Tunacheka Tu Utafikiri Hakuna Tatizo.
Licha Ya Majirani Hata Ndugu Ambao Wapo Mbali Huishi Nao Wanajua Mnaishije Taarifa Zinawafikia.
Kingine Nilichogundua Mfanyakazi Wa Ndani Na Ndugu Ni Vitu Viwili Tofauti Mfanyakazi Hawezi Kutoa Taarifa ya Jinsi Tunavyoishi Kwa Ndugu Zangu Ambao Siishi nao, Siri Ni Busara Kwenye Familia.
Yuda Exalioth
Jamiiforums
Geita.
Hapa Sioni Ubaya Kuishi Na Ndugu Bali Nazungumuzia Ukiwa Na Ndugu Unaishi Nao Nyumbani Saa Nyingine Unakoswa Uhuru Wa Kujiachia Moja Kwa Moja.
Kwaupande Wangu Naona Vizuri Ni Kuishi Na Familia Yako Pekeako Bila Mchanganyiko Wa Ndugu Wengine Kwasababu Naona Hata Mambo Ya Kifamilia Yakiwa Ni Ya Siri Yanavuja Mitaani Kwasababu Wavujishaji Wanakuwa Ni Ndugu Zetu.
Mfano:
Mimi Nikigombana Na Mke wangu Majirani Wanajua Mpaka Chanzo Cha Kugombana Ila Kipindi Naishi Na Familia Yangu Huwezi Kujua Hata Tukigombana Utakuta Tunacheka Tu Utafikiri Hakuna Tatizo.
Licha Ya Majirani Hata Ndugu Ambao Wapo Mbali Huishi Nao Wanajua Mnaishije Taarifa Zinawafikia.
Kingine Nilichogundua Mfanyakazi Wa Ndani Na Ndugu Ni Vitu Viwili Tofauti Mfanyakazi Hawezi Kutoa Taarifa ya Jinsi Tunavyoishi Kwa Ndugu Zangu Ambao Siishi nao, Siri Ni Busara Kwenye Familia.
Yuda Exalioth
Jamiiforums
Geita.