Kuishi na ndugu nyumba moja kunasababisha nashindwa kujiachia na mke wangu

Kuishi na ndugu nyumba moja kunasababisha nashindwa kujiachia na mke wangu

uko
Moja Kwa Moja Kwenye Mada

Hapa Sioni Ubaya Kuishi Na Ndugu Bali Nazungumuzia Ukiwa Na Ndugu Unaishi Nao Nyumbani Saa Nyingine Unakoswa Uhuru Wa Kujiachia Moja Kwa Moja.

Kwaupande Wangu Naona Vizuri Ni Kuishi Na Familia Yako Pekeako Bila Mchanganyiko Wa Ndugu Wengine Kwasababu Naona Hata Mambo Ya Kifamilia Yakiwa Ni Ya Siri Yanavuja Mitaani Kwasababu Wavijishaji Wanakua Ni Ndugu Zetu.

Mfano:

Mimi Nikigombana Na Mkewangu Majirani Wanajua Mpaka Chanzo Cha Kugombana Ila Kipindi Naishi Kipindi Naishi Na Familia Yangu Huezi Kujua Hata Tukigombana Utakuta Tunacheka Tu Utafikiri Hakuna Tatizo.

Licha Ya Majirani Hata Ndugu Ambao Wapo Mbali Huishi Nao Wanajua Mnaishije Taarifa Zinawafikia.

Kingine Nilichogundua Mfanyakazi Wa Ndani Na Ndugu Ni Vitu Viwili Tofauti Mfanyakazi Hawezi Kutoa Taarfa ya Jinsi Tunavyoishi Kwa Ndugu Zangu Ambao Siishinao, Siri Ni Busara Kwenye Familia.

Yuda Exalioth
Jamiiforums
Geita.
sahihi
 
Tabia ya kuish na ndug nilishaikataa wazi wazi Home watu wote wakaniona mbaya walinisema mpk bibi yng aliniambia " kwani wewe ni funza ata uwishi peke ako?" Nimenunua kiwanja nje ya mji huko ndo yatakua makaazi yng ya baadae lengo 1 la kununua kiwanja uko ni kukwepa hawa ndug kiukwel napenda uhuru me mda wote natak nibaki na mke wng tu
 
Moja Kwa Moja Kwenye Mada

Hapa Sioni Ubaya Kuishi Na Ndugu Bali Nazungumuzia Ukiwa Na Ndugu Unaishi Nao Nyumbani Saa Nyingine Unakoswa Uhuru Wa Kujiachia Moja Kwa Moja.

Kwaupande Wangu Naona Vizuri Ni Kuishi Na Familia Yako Pekeako Bila Mchanganyiko Wa Ndugu Wengine Kwasababu Naona Hata Mambo Ya Kifamilia Yakiwa Ni Ya Siri Yanavuja Mitaani Kwasababu Wavujishaji Wanakuwa Ni Ndugu Zetu.

Mfano:

Mimi Nikigombana Na Mke wangu Majirani Wanajua Mpaka Chanzo Cha Kugombana Ila Kipindi Naishi Na Familia Yangu Huwezi Kujua Hata Tukigombana Utakuta Tunacheka Tu Utafikiri Hakuna Tatizo.

Licha Ya Majirani Hata Ndugu Ambao Wapo Mbali Huishi Nao Wanajua Mnaishije Taarifa Zinawafikia.

Kingine Nilichogundua Mfanyakazi Wa Ndani Na Ndugu Ni Vitu Viwili Tofauti Mfanyakazi Hawezi Kutoa Taarifa ya Jinsi Tunavyoishi Kwa Ndugu Zangu Ambao Siishi nao, Siri Ni Busara Kwenye Familia.

Yuda Exalioth
Jamiiforums
Geita.
🤔🤔🤔Ila kwel
 
Ndugu wa kuja kwangu.
Ni mgonjwa anaendelea na matibabu.
Mwanafunzi anasoma.
Mzazi kaja kusalimia.
Wengine wote wakatafute hela na maisha yao huko.
Sina nafasi ya mtu anakaa tu na nguvu anazo.
 
Ndugu wa kuja kwangu.
Ni mgonjwa anaendelea na matibabu.
Mwanafunzi anasoma.
Mzazi kaja kusalimia.
Wengine wote wakatafute hela na maisha yao huko.
Sina nafasi ya mtu anakaa tu na nguvu anazo.
Uko sawia kabisa mkuu
 
Tabia ya kuish na ndug nilishaikataa wazi wazi Home watu wote wakaniona mbaya walinisema mpk bibi yng aliniambia " kwani wewe ni funza ata uwishi peke ako?" Nimenunua kiwanja nje ya mji huko ndo yatakua makaazi yng ya baadae lengo 1 la kununua kiwanja uko ni kukwepa hawa ndug kiukwel napenda uhuru me mda wote natak nibaki na mke wng tu
Likwepe mapema mkuu hili ni tatizo uspolitatua mapema
 
Mnawezaje kuishi na ndugu jmn?[emoji2960] Maana mie najua ndugu anatakiwa aje kusalimia au kwa dhumuni fulani ndani ya muda fulani asepe zake, asa biashara za kukaa na ndugu miaka nenda Rudi ni jau sana
 
Back
Top Bottom