Kuishi na ndugu nyumba moja kunasababisha nashindwa kujiachia na mke wangu

Kuishi na ndugu nyumba moja kunasababisha nashindwa kujiachia na mke wangu

Kuishi na ndugu ni kazi sana ....hata utende wema kiasi gani watakuona mbaya tu ......mm ndugu labda aje kusalimia theni aondoke ....nikiona anakaa muda mrefu ntachofanya ni kumtaftia chumba ajitegemee mwenyewe kuepusha maneno na magomvi.....kwanza ndugu sikuiz ndio wanaoongoza kuharibu watoto
Yes Nyumbani Unakua na matabaka ya tabia wakati wewe ulijitegemea ili ujenge familia na sheria mpya hapo kwako ndugu hawajiongezi
 
Point of correction; Richa- Licha

Kama ndugu yako Ni wa kiume mwambie ajiongeze haraka iwezekanavyo, unashindwa Nini kumchana wakati huyo Ni ndugu yako na pengine Ni mdogo wako?

Kama vipi mtafutie pango Kisha mlipie miezi 2 afu ajipange mwenyewe.Ova!
Asante mkuu kwa mchango kwenye maada hii rakini kuna ugumu mkubwa ndugu kumwambia aondoke akatafute maisha kwingine

Unakuta ndungu kaja na ana mishe zake ila kula kulala kwangu mi kinachoniumaga ni mambo ya nyumbani kuyapeleka mitaani na hii tabia wanayo watu wengi kwakeli
 
Moja Kwa Moja Kwenye Mada

Hapa Sioni Ubaya Kuishi Na Ndugu Bali Nazungumuzia Ukiwa Na Ndugu Unaishi Nao Nyumbani Saa Nyingine Unakoswa Uhuru Wa Kujiachia Moja Kwa Moja.


Geita.
Kama huwezi kuwaondoa basi nenda kapange bwege wewe
 
Moja Kwa Moja Kwenye Mada

Hapa Sioni Ubaya Kuishi Na Ndugu Bali Nazungumuzia Ukiwa Na Ndugu Unaishi Nao Nyumbani Saa Nyingine Unakoswa Uhuru Wa Kujiachia Moja Kwa Moja.

Kwaupande Wangu Naona Vizuri Ni Kuishi Na Familia Yako Pekeako Bila Mchanganyiko Wa Ndugu Wengine Kwasababu Naona Hata Mambo Ya Kifamilia Yakiwa Ni Ya Siri Yanavuja Mitaani Kwasababu Wavijishaji Wanakua Ni Ndugu Zetu.

Mfano:

Mimi Nikigombana Na Mkewangu Majirani Wanajua Mpaka Chanzo Cha Kugombana Ila Kipindi Naishi Kipindi Naishi Na Familia Yangu Huezi Kujua Hata Tukigombana Utakuta Tunacheka Tu Utafikiri Hakuna Tatizo.

Licha Ya Majirani Hata Ndugu Ambao Wapo Mbali Huishi Nao Wanajua Mnaishije Taarifa Zinawafikia.

Kingine Nilichogundua Mfanyakazi Wa Ndani Na Ndugu Ni Vitu Viwili Tofauti Mfanyakazi Hawezi Kutoa Taarfa ya Jinsi Tunavyoishi Kwa Ndugu Zangu Ambao Siishinao, Siri Ni Busara Kwenye Familia.

Yuda Exalioth
Jamiiforums
Geita.
95% Warabu na wahindi wanaishi na familia zao na huoni wake zao kugombana na wakwe zao wanawaheshimu hata kwa hali Yoyote na wanakubali lawama ttzo lipo kwetu waswahili hatuna uvumilivu na wake zetu hawana uvumilivu akilaumiwa kidgo na mkwee wake basi usiku akija mume hapatishi
 
Bado hujaeleza unataka kujiachia kwa namna ipi?

Wacha kuruka ruka mambo unatunyima utamu
 
Wa
Moja Kwa Moja Kwenye Mada

Hapa Sioni Ubaya Kuishi Na Ndugu Bali Nazungumuzia Ukiwa Na Ndugu Unaishi Nao Nyumbani Saa Nyingine Unakoswa Uhuru Wa Kujiachia Moja Kwa Moja.

Kwaupande Wangu Naona Vizuri Ni Kuishi Na Familia Yako Pekeako Bila Mchanganyiko Wa Ndugu Wengine Kwasababu Naona Hata Mambo Ya Kifamilia Yakiwa Ni Ya Siri Yanavuja Mitaani Kwasababu Wavijishaji Wanakua Ni Ndugu Zetu.

Mfano:

Mimi Nikigombana Na Mkewangu Majirani Wanajua Mpaka Chanzo Cha Kugombana Ila Kipindi Naishi Kipindi Naishi Na Familia Yangu Huezi Kujua Hata Tukigombana Utakuta Tunacheka Tu Utafikiri Hakuna Tatizo.

Licha Ya Majirani Hata Ndugu Ambao Wapo Mbali Huishi Nao Wanajua Mnaishije Taarifa Zinawafikia.

Kingine Nilichogundua Mfanyakazi Wa Ndani Na Ndugu Ni Vitu Viwili Tofauti Mfanyakazi Hawezi Kutoa Taarfa ya Jinsi Tunavyoishi Kwa Ndugu Zangu Ambao Siishinao, Siri Ni Busara Kwenye Familia.

Yuda Exalioth
Jamiiforums
 
Back
Top Bottom