Yes Nyumbani Unakua na matabaka ya tabia wakati wewe ulijitegemea ili ujenge familia na sheria mpya hapo kwako ndugu hawajiongeziKuishi na ndugu ni kazi sana ....hata utende wema kiasi gani watakuona mbaya tu ......mm ndugu labda aje kusalimia theni aondoke ....nikiona anakaa muda mrefu ntachofanya ni kumtaftia chumba ajitegemee mwenyewe kuepusha maneno na magomvi.....kwanza ndugu sikuiz ndio wanaoongoza kuharibu watoto
Asante mkuu kwa mchango kwenye maada hii rakini kuna ugumu mkubwa ndugu kumwambia aondoke akatafute maisha kwinginePoint of correction; Richa- Licha
Kama ndugu yako Ni wa kiume mwambie ajiongeze haraka iwezekanavyo, unashindwa Nini kumchana wakati huyo Ni ndugu yako na pengine Ni mdogo wako?
Kama vipi mtafutie pango Kisha mlipie miezi 2 afu ajipange mwenyewe.Ova!
Kama huwezi kuwaondoa basi nenda kapange bwege weweMoja Kwa Moja Kwenye Mada
Hapa Sioni Ubaya Kuishi Na Ndugu Bali Nazungumuzia Ukiwa Na Ndugu Unaishi Nao Nyumbani Saa Nyingine Unakoswa Uhuru Wa Kujiachia Moja Kwa Moja.
Geita.
Mbali, sio pembeniNi kukoswa uwezo tu kawaida unawajengea pembeni
95% Warabu na wahindi wanaishi na familia zao na huoni wake zao kugombana na wakwe zao wanawaheshimu hata kwa hali Yoyote na wanakubali lawama ttzo lipo kwetu waswahili hatuna uvumilivu na wake zetu hawana uvumilivu akilaumiwa kidgo na mkwee wake basi usiku akija mume hapatishiMoja Kwa Moja Kwenye Mada
Hapa Sioni Ubaya Kuishi Na Ndugu Bali Nazungumuzia Ukiwa Na Ndugu Unaishi Nao Nyumbani Saa Nyingine Unakoswa Uhuru Wa Kujiachia Moja Kwa Moja.
Kwaupande Wangu Naona Vizuri Ni Kuishi Na Familia Yako Pekeako Bila Mchanganyiko Wa Ndugu Wengine Kwasababu Naona Hata Mambo Ya Kifamilia Yakiwa Ni Ya Siri Yanavuja Mitaani Kwasababu Wavijishaji Wanakua Ni Ndugu Zetu.
Mfano:
Mimi Nikigombana Na Mkewangu Majirani Wanajua Mpaka Chanzo Cha Kugombana Ila Kipindi Naishi Kipindi Naishi Na Familia Yangu Huezi Kujua Hata Tukigombana Utakuta Tunacheka Tu Utafikiri Hakuna Tatizo.
Licha Ya Majirani Hata Ndugu Ambao Wapo Mbali Huishi Nao Wanajua Mnaishije Taarifa Zinawafikia.
Kingine Nilichogundua Mfanyakazi Wa Ndani Na Ndugu Ni Vitu Viwili Tofauti Mfanyakazi Hawezi Kutoa Taarfa ya Jinsi Tunavyoishi Kwa Ndugu Zangu Ambao Siishinao, Siri Ni Busara Kwenye Familia.
Yuda Exalioth
Jamiiforums
Geita.
Moja Kwa Moja Kwenye Mada
Hapa Sioni Ubaya Kuishi Na Ndugu Bali Nazungumuzia Ukiwa Na Ndugu Unaishi Nao Nyumbani Saa Nyingine Unakoswa Uhuru Wa Kujiachia Moja Kwa Moja.
Kwaupande Wangu Naona Vizuri Ni Kuishi Na Familia Yako Pekeako Bila Mchanganyiko Wa Ndugu Wengine Kwasababu Naona Hata Mambo Ya Kifamilia Yakiwa Ni Ya Siri Yanavuja Mitaani Kwasababu Wavijishaji Wanakua Ni Ndugu Zetu.
Mfano:
Mimi Nikigombana Na Mkewangu Majirani Wanajua Mpaka Chanzo Cha Kugombana Ila Kipindi Naishi Kipindi Naishi Na Familia Yangu Huezi Kujua Hata Tukigombana Utakuta Tunacheka Tu Utafikiri Hakuna Tatizo.
Licha Ya Majirani Hata Ndugu Ambao Wapo Mbali Huishi Nao Wanajua Mnaishije Taarifa Zinawafikia.
Kingine Nilichogundua Mfanyakazi Wa Ndani Na Ndugu Ni Vitu Viwili Tofauti Mfanyakazi Hawezi Kutoa Taarfa ya Jinsi Tunavyoishi Kwa Ndugu Zangu Ambao Siishinao, Siri Ni Busara Kwenye Familia.
Yuda Exalioth
Jamiiforums
Nimecheka snBaada ya kumsaliti YESU, Sahizi umerudi kuwasaliti ndugu zako?