Kuitana 'babe' kwenye mahusiano ni utoto na mwanzo wa kukosa kuheshimika, hasa kwa mwanamme

Kuitana 'babe' kwenye mahusiano ni utoto na mwanzo wa kukosa kuheshimika, hasa kwa mwanamme

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Imagine mwanamme unaitwa babe sijui baby, yaani mtoto?

Hii sio kweli.

Kwa mwanamke ni sawa, sababu hata kwa kiswahili tunawaita watoto yaani 'totoz' au 'bebez'.... kwa mwanamme ina maana gani?

Kama ni kwa mahaba, basi iishie siku za mwanzo tu za uchumba ile kudanganyia.... ukishanasa haina maana tena na sio heshima.

Mkeo akuite kwa heshima na hadhi yako, majina yanayosadifu mamlaka yako ndani ya nyumba.

Bwana, baba au mume na mengine ya kufanana hivyo kwa lugha yoyote yatumike sana.

Japo mapenzi ni utoto, ila familia haihitaji mapenzi tu bali heshima na wajibu kuijenga.... huwezi kumtiisha mtu anayekuita 'mtoto'.

Ncha Kali.
 
Imagine mwanamme unaitwa babe sijui baby, yaani mtoto?

Hii sio kweli.

Kwa mwanamke ni sawa, sababu hata kwa kiswahili tunawaita watoto yaani 'totoz' au 'bebez'.... kwa mwanamme ina maana gani?

Kama ni kwa mahaba, basi iishie siku za mwanzo tu za uchumba ile kudanganyia.... ukishanasa haina maana tena na sio heshima.

Mkeo akuite kwa heshima na hadhi yako, majina yanayosadifu mamlaka yako ndani ya nyumba.

Bwana, baba au mume na mengine ya kufanana hivyo kwa lugha yoyote yatumike sana.

Japo mapenzi ni utoto, ila familia haihitaji mapenzi tu bali heshima na wajibu kuijenga.... huwezi kumtiisha mtu anayekuita 'mtoto'.

Ncha Kali.
bas mwambie mwenzio au anakuita “mzee”
 
Back
Top Bottom