Kuitana 'babe' kwenye mahusiano ni utoto na mwanzo wa kukosa kuheshimika, hasa kwa mwanamme

Kuitana 'babe' kwenye mahusiano ni utoto na mwanzo wa kukosa kuheshimika, hasa kwa mwanamme

Imagine mwanamme unaitwa babe sijui baby, yaani mtoto?

Hii sio kweli.

Kwa mwanamke ni sawa, sababu hata kwa kiswahili tunawaita watoto yaani 'totoz' au 'bebez'.... kwa mwanamme ina maana gani?

Kama ni kwa mahaba, basi iishie siku za mwanzo tu za uchumba ile kudanganyia.... ukishanasa haina maana tena na sio heshima.

Mkeo akuite kwa heshima na hadhi yako, majina yanayosadifu mamlaka yako ndani ya nyumba.

Bwana, baba au mume na mengine ya kufanana hivyo kwa lugha yoyote yatumike sana.

Japo mapenzi ni utoto, ila familia haihitaji mapenzi tu bali heshima na wajibu kuijenga.... huwezi kumtiisha mtu anayekuita 'mtoto'.

Ncha Kali.
Kumtiisha ni kumchapa bakora zisizo na idadi mpaka atembee upande upande!
 
Imagine mwanamme unaitwa babe sijui baby, yaani mtoto?

Hii sio kweli.

Kwa mwanamke ni sawa, sababu hata kwa kiswahili tunawaita watoto yaani 'totoz' au 'bebez'.... kwa mwanamme ina maana gani?

Kama ni kwa mahaba, basi iishie siku za mwanzo tu za uchumba ile kudanganyia.... ukishanasa haina maana tena na sio heshima.

Mkeo akuite kwa heshima na hadhi yako, majina yanayosadifu mamlaka yako ndani ya nyumba.

Bwana, baba au mume na mengine ya kufanana hivyo kwa lugha yoyote yatumike sana.

Japo mapenzi ni utoto, ila familia haihitaji mapenzi tu bali heshima na wajibu kuijenga.... huwezi kumtiisha mtu anayekuita 'mtoto'.

Ncha Kali.
Don't be primitive person and you call yourself born town
 
Huyu mzima kweli? Unachofanya wewe ni sawa na jina Mwanaume leo ukasema haifai
 
Back
Top Bottom