Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumtiisha ni kumchapa bakora zisizo na idadi mpaka atembee upande upande!Imagine mwanamme unaitwa babe sijui baby, yaani mtoto?
Hii sio kweli.
Kwa mwanamke ni sawa, sababu hata kwa kiswahili tunawaita watoto yaani 'totoz' au 'bebez'.... kwa mwanamme ina maana gani?
Kama ni kwa mahaba, basi iishie siku za mwanzo tu za uchumba ile kudanganyia.... ukishanasa haina maana tena na sio heshima.
Mkeo akuite kwa heshima na hadhi yako, majina yanayosadifu mamlaka yako ndani ya nyumba.
Bwana, baba au mume na mengine ya kufanana hivyo kwa lugha yoyote yatumike sana.
Japo mapenzi ni utoto, ila familia haihitaji mapenzi tu bali heshima na wajibu kuijenga.... huwezi kumtiisha mtu anayekuita 'mtoto'.
Ncha Kali.
Na nilimchagua yeye out of millions!Duh ushapata mwingine🤔
Hongera sana, furahia maisha with no regrets.Na nilimchagua yeye out of millions!
Thank you.Hongera sana, furahia maisha with no regrets.
Don't be primitive person and you call yourself born townImagine mwanamme unaitwa babe sijui baby, yaani mtoto?
Hii sio kweli.
Kwa mwanamke ni sawa, sababu hata kwa kiswahili tunawaita watoto yaani 'totoz' au 'bebez'.... kwa mwanamme ina maana gani?
Kama ni kwa mahaba, basi iishie siku za mwanzo tu za uchumba ile kudanganyia.... ukishanasa haina maana tena na sio heshima.
Mkeo akuite kwa heshima na hadhi yako, majina yanayosadifu mamlaka yako ndani ya nyumba.
Bwana, baba au mume na mengine ya kufanana hivyo kwa lugha yoyote yatumike sana.
Japo mapenzi ni utoto, ila familia haihitaji mapenzi tu bali heshima na wajibu kuijenga.... huwezi kumtiisha mtu anayekuita 'mtoto'.
Ncha Kali.
Hongera ume move on haraka sana!!hujachungulia kama Jamaal name ka move on haraka kama wewe!!?Naona wanaume wenzio wanakushambulia kwelikweli. Lols
Mi wa kwangu juzi nilimuuliza anapenda nikimuita nani zaidi akajibu yote mazuri, doh!
Mwasibu umechanganyikiwa.Huyu mzima kweli? Unachofanya wewe ni sawa na jina Mwanaume leo ukasema haifai