Kuitana 'babe' kwenye mahusiano ni utoto na mwanzo wa kukosa kuheshimika, hasa kwa mwanamme

Kuitana 'babe' kwenye mahusiano ni utoto na mwanzo wa kukosa kuheshimika, hasa kwa mwanamme

Imagine mwanamme unaitwa babe sijui baby, yaani mtoto?

Hii sio kweli.

Kwa mwanamke ni sawa, sababu hata kwa kiswahili tunawaita watoto yaani 'totoz' au 'bebez'.... kwa mwanamme ina maana gani?

Kama ni kwa mahaba, basi iishie siku za mwanzo tu za uchumba ile kudanganyia.... ukishanasa haina maana tena na sio heshima.

Mkeo akuite kwa heshima na hadhi yako, majina yanayosadifu mamlaka yako ndani ya nyumba.

Bwana, baba au mume na mengine ya kufanana hivyo kwa lugha yoyote yatumike sana.

Japo mapenzi ni utoto, ila familia haihitaji mapenzi tu bali heshima na wajibu kuijenga.... huwezi kumtiisha mtu anayekuita 'mtoto'.

Ncha Kali.
Mambo ya kuiga hayo, Tanzania tunapenda kuiga mambo ya kimapenzi toka nje wakati hatujuwi na wala hatuna mapenzi ya ukweli. Kila kitu cha mapenzi kwetu ni fake tu.
 
Imagine mwanamme unaitwa babe sijui baby, yaani mtoto?

Hii sio kweli.

Kwa mwanamke ni sawa, sababu hata kwa kiswahili tunawaita watoto yaani 'totoz' au 'bebez'.... kwa mwanamme ina maana gani?

Kama ni kwa mahaba, basi iishie siku za mwanzo tu za uchumba ile kudanganyia.... ukishanasa haina maana tena na sio heshima.

Mkeo akuite kwa heshima na hadhi yako, majina yanayosadifu mamlaka yako ndani ya nyumba.

Bwana, baba au mume na mengine ya kufanana hivyo kwa lugha yoyote yatumike sana.

Japo mapenzi ni utoto, ila familia haihitaji mapenzi tu bali heshima na wajibu kuijenga.... huwezi kumtiisha mtu anayekuita 'mtoto'.

Ncha Kali.
Kila mtu abaki na msimamo wake.
 
Suala la kuachana na mtu halihusiani na majina mnayoitana muhimu usimuite jina la tusi
Inaonekana mahusiano yako yapo serious sana huyo binti ana kazi kwelikweli🤸
Babe ephen
 
Back
Top Bottom