Kashaulo
JF-Expert Member
- Jun 14, 2019
- 2,936
- 4,947
Kama ananyonya wewe muite tu.Kwahiyo tuwaiteje sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ananyonya wewe muite tu.Kwahiyo tuwaiteje sasa
Mambo ya kuiga hayo, Tanzania tunapenda kuiga mambo ya kimapenzi toka nje wakati hatujuwi na wala hatuna mapenzi ya ukweli. Kila kitu cha mapenzi kwetu ni fake tu.Imagine mwanamme unaitwa babe sijui baby, yaani mtoto?
Hii sio kweli.
Kwa mwanamke ni sawa, sababu hata kwa kiswahili tunawaita watoto yaani 'totoz' au 'bebez'.... kwa mwanamme ina maana gani?
Kama ni kwa mahaba, basi iishie siku za mwanzo tu za uchumba ile kudanganyia.... ukishanasa haina maana tena na sio heshima.
Mkeo akuite kwa heshima na hadhi yako, majina yanayosadifu mamlaka yako ndani ya nyumba.
Bwana, baba au mume na mengine ya kufanana hivyo kwa lugha yoyote yatumike sana.
Japo mapenzi ni utoto, ila familia haihitaji mapenzi tu bali heshima na wajibu kuijenga.... huwezi kumtiisha mtu anayekuita 'mtoto'.
Ncha Kali.
Kila mtu abaki na msimamo wake.Imagine mwanamme unaitwa babe sijui baby, yaani mtoto?
Hii sio kweli.
Kwa mwanamke ni sawa, sababu hata kwa kiswahili tunawaita watoto yaani 'totoz' au 'bebez'.... kwa mwanamme ina maana gani?
Kama ni kwa mahaba, basi iishie siku za mwanzo tu za uchumba ile kudanganyia.... ukishanasa haina maana tena na sio heshima.
Mkeo akuite kwa heshima na hadhi yako, majina yanayosadifu mamlaka yako ndani ya nyumba.
Bwana, baba au mume na mengine ya kufanana hivyo kwa lugha yoyote yatumike sana.
Japo mapenzi ni utoto, ila familia haihitaji mapenzi tu bali heshima na wajibu kuijenga.... huwezi kumtiisha mtu anayekuita 'mtoto'.
Ncha Kali.
🤣😂Mkuu kumbuka kuvaaa sweta Pneumonia inaua sana wazeee
Lala ww!
Ndio kumekucha mkuuLala ww!
HahahVyovyote vile, maana yake haina hadhi wala heshima ya kiume.
Mchana nimelala kinoma saizi usingizi hamnaNdio kumekucha mkuu
Agiza kilevi kinasaidiaMchana nimelala kinoma saizi usingizi hamna
🤣Saizi sitoki tena tagara gara mpaka kukucheAgiza kilevi kinasaidia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wizi tu,dume zima na ndevu zake linaitwa baby na lenyewe linakenua tu meno hihihihii.
Mara kigongo"baby nna shida ya laki” pa kuchomokea huna ukichukulia ulishaitwa baby ili ulinde status utaenda hata kukopa umpe.
Kama MB's unazo hakuna shida🤣Saizi sitoki tena tagara gara mpaka kukuche
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kuitwa “babe” tu unakoroma hivyo,huku mtaani kuna watu wanaitwa “my wangu” na wame chill
Ma tamuWatu tumeshavuka huko kitambooo!!! Sahivi ni mwendo wa...
"Ba mtu", " ma mtu", "ba tamu", "ma tamu". Weuweeeeee!!!
Babe ephenSuala la kuachana na mtu halihusiani na majina mnayoitana muhimu usimuite jina la tusi
Inaonekana mahusiano yako yapo serious sana huyo binti ana kazi kwelikweli🤸
Kweli umekolea engineer, paka unamuita hivyoWatu tumeshavuka huko kitambooo!!! Sahivi ni mwendo wa...
"Ba mtu", " ma mtu", "ba tamu", "ma tamu". Weuweeeeee!!!
Kama kigezo ni kunyonya basi lazima tuwaite babeKama ananyonya wewe muite tu.