Kuitwa kwenye usaili jimbo la Kigamboni na Ubungo-NEC

Kuitwa kwenye usaili jimbo la Kigamboni na Ubungo-NEC

kalipeni

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
1,571
Reaction score
1,328
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

IMG-20201003-WA0002.jpg
 
Hizi hakuna shortlist ni wote walioomba! Hata km hujaomba unaweza kujichomeka hiyo siku ya usaili..
Kumbee Nlikua Natafakari tu watawapunguza vipi maelfu ya watu na watawauliza maswali gani? Na je watasoma saili zote? Au ndo pata potea
 
Hizi hakuna shortlist ni wote walioomba! Hata km hujaomba unaweza kujichomeka hiyo siku ya usaili..
Kumbee Nlikua Natafakari tu watawapunguza vipi maelfu ya watu na watawauliza maswali gani? Na je watasoma saili zote? Au ndo pata potea
 
Hizi hakuna shortlist ni wote walioomba! Hata km hujaomba unaweza kujichomeka hiyo siku ya usaili..

Na hiyo ndio hatari ya kuita wote walioomba bila kuchambua,inawezekana wengine hawakuomba kabisa wakafika siku hiyo
 
Back
Top Bottom