Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usaili utafanyika kwa siku ngapi? Kwa anayefahamu!
Tarehe 05/10/2020Tarehe ya usaili ni lini?
Mbona kwenye tangazo siioni?
Hizi hakuna shortlist ni wote walioomba! Hata km hujaomba unaweza kujichomeka hiyo siku ya usaili..Inamaana hadi nafasi hizi kuna usahili?..nilidhani wanachambua tu maombi na kuangalia yupi anafaa yupi hafai
mkuu ! Pale hukuti information zako zozote!! Yaani unapanga mstari unaandika Majina kisha unaingia ndani kukaguliwa vyeti,, na maswali kadhaa. Usisahau kadi fisiemuKwaiyo kuna kwenda na copy ya vyeti tena??
Kumbee Nlikua Natafakari tu watawapunguza vipi maelfu ya watu na watawauliza maswali gani? Na je watasoma saili zote? Au ndo pata poteaHizi hakuna shortlist ni wote walioomba! Hata km hujaomba unaweza kujichomeka hiyo siku ya usaili..
Kumbee Nlikua Natafakari tu watawapunguza vipi maelfu ya watu na watawauliza maswali gani? Na je watasoma saili zote? Au ndo pata poteaHizi hakuna shortlist ni wote walioomba! Hata km hujaomba unaweza kujichomeka hiyo siku ya usaili..
Ebhana hapa ndo nimefikanladariot..dunia nzima imehamia huku.Ukumbi wa ladariot uliopo magari saba (luguruni)
Mm nimeingia ndan hapa tyrEbhana hapa ndo nimefikanladariot..dunia nzima imehamia huku.
Duh, kweli serikali ifanye kitu katika hii ishu ya ajiraEbhana hapa ndo nimefikanladariot..dunia nzima imehamia huku.
Pambana mkuu uwe msimamizi wa kituoMm nimeingia ndan hapa tyr
Hahah ngoja nione
Ukiwa serikalin huwez kujua kama kuna hy kituDuh, kweli serikali ifanye kitu katika hii ishu ya ajira
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Hizi hakuna shortlist ni wote walioomba! Hata km hujaomba unaweza kujichomeka hiyo siku ya usaili..