Kuitwa kwenye usaili jimbo la Kigamboni na Ubungo-NEC

Kuitwa kwenye usaili jimbo la Kigamboni na Ubungo-NEC

Ndugu Mbaga mlikuwa kama wangapi kwa kukisia??kwa kweli ajira ni janga,juzi nimekutana na mdada Bachelor Graduate wa Education UDOM anafanya kazi Bar

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwa muda ambao nlienda, nkikadiria bc sio chin ya watu 3000 na pia wengine walikuwa wanaongezeka
 
Amna ndugu...mm nasema jinsi gan elimu ya bongo ilivyo mbovu.
Tatizo umeongea kama vile huyo dada ametaka mwnyw kufanya hy kazi, lkn yeye mwnyw hajapenda ila maisha magumu na hana namna tena

Mm mwnyw hapa nmemaliza chuo juzi kati tuu hapa lkn hakuna rangi naacha kuiona utadhani nimemalza 2010 hukoooo.!
 
Tatizo umeongea kama vile huyo dada ametaka mwnyw kufanya hy kazi, lkn yeye mwnyw hajapenda ila maisha magumu na hana namna tena

Mm mwnyw hapa nmemaliza chuo juzi kati tuu hapa lkn hakuna rangi naacha kuiona utadhani nimemalza 2010 hukoooo.!
Pole ndugu
 
Na hiyo ndio hatari ya kuita wote walioomba bila kuchambua,inawezekana wengine hawakuomba kabisa wakafika siku hiyo

Watu walishatayarishwa zamaaani lakini nyie wenzangu mnakaribishwa kupamba shughuli na msijione mko pweke
 
Tupieni hayo masuali ya huko wadau niliomba msimamizi msaidizi
 
Ngoja nikameze majibu bt huku kijiji kwetu unapigwa oral kabisa hakuna kuandika andika
Sa cjajua kama maswal yanatofautiana kutokana na eneo au vp ila sisi tumeulizwa hvy
 
Back
Top Bottom