Kuitwa kwenye usaili jimbo la Kigamboni na Ubungo-NEC

Kuitwa kwenye usaili jimbo la Kigamboni na Ubungo-NEC

Hiyo unakuja kupangiwa siku ya mwisho kabisa yaani tarehe 27 usiku ndo utaambiwa position yako! Unaweza kuomba usimamizi wa kituo ukapewa ukarani.
Tumetumiwa ujumbe kwenye simu ila sijajua kama wamechambua maombia au la make Kuna mtu tuliomba wote yeye hajatumiwa message
 
Tumetumiwa ujumbe kwenye simu ila sijajua kama wamechambua maombia au la make Kuna mtu tuliomba wote yeye hajatumiwa message
Inaitwa sampling.. Lakini itafanyika randomly interview na Majina kadhaa yale mtakayoandikisha getini ndo yatachaguliwa... hakikisha unawahi kuingia kwenye hall maana jina lako liwe page za mwanzo!
 
Mi nilijiandikisha jimbo la Kinondoni kata ya Kinondoni, tumetumiwa ujumbe tuje ofisi za kata Kinondoni ila sijajua kama jimbo zima wanafanya usahili leo
Vyema mi kata ya ndugumbi bado sijapt taarifa ,ok utanipa update what happened there
 
Wakat naenda, surual ilikuwa inanibana hvy ckuvaa mkanda lkn nmemalizana nao bc hapa nmeshikilia surual na mkono ili isishuke.

Yn mpaka umalzane nao bc umetumia akili na nguvu sana ila naona wengine wanaandika nje nadhan itaokoa watu sasa
 
Wakat naenda, surual ilikuwa inanibana hvy ckuvaa mkanda lkn nmemalizana nao bc hapa nmeshikilia surual na mkono ili isishuke.

Yn mpaka umalzane nao bc umetumia akili na nguvu sana ila naona wengine wanaandika nje nadhan itaokoa watu sasa
Wanauliza kitu gani
 
Back
Top Bottom