Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiangalieni hapo kama mpo.
Tangazo lao lilisisitiza sana kuwa ni ajira za mkataba one year so vijana nendeni mkiwa mnalitambua Hilo labda kama Kuna mabadilikoJiangalieni hapo kama mpo.
Hivi baada ya hiyo miez 12 kuisha vijana watarudi mtaani kama jobless inakuane tena?Tangazo lao lilisisitiza sana kuwa ni ajira za mkataba one year so vijana nendeni mkiwa mnalitambua Hilo labda kama Kuna mabadiliko
Check jina lako kwenye mkeka ujiridhisheHivi kama status inasoma received na majina yashatoka na jina lako halipo kitaalam tunaitaje hii[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,wewe si ni mwajiri? Sasa huko utumishi unatafuta nini tena?kwenye ule uzi wa kampuni ya kichina isiyotoa risiti ulikua unajimwambafai nini sasa?Hivi kama status inasoma received na majina yashatoka na jina lako halipo kitaalam tunaitaje hii[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
ni huzuni kwa kweliTangazo lao lilisisitiza sana kuwa ni ajira za mkataba one year so vijana nendeni mkiwa mnalitambua Hilo labda kama Kuna mabadiliko
TRA nazisubr sanaHz kazi zinahitajika watu wangapi.. naona kama file imenona sana dadeQ...
Haya wiki ijayo wataitwa wa TRA.. maana Ijumaa hii inayokuja wanafunzi wataanza kusepa pale UDOM
Kwanza hata sijui ni taaluma gani...Mkuu,shombe mambo?vipi umeitwa au hizi hukuomba?
Oyaa mwanangu shombeshombe eti nafasi ni mbili wanagombea watu mia naneKwanza hata sijui ni taaluma gani...
Hyo ni Zaidi ya kamali[emoji16][emoji16] issue ni kwamba, kwa ambao wanaishi maeneo karibu na Dom, not case but msala ni kwa mtu wa mbali.. yaan nauli ya kwenda na kurudi unanunulia Infinix mpya.. bado hujala na kulalaOyaa mwanafungu shombeshombe eti nafasi ni mbili wanagombea watu mia nane
Daah
Ni mjasiriamali nina vigoli kadhaa....lakin bado ajira za serikali nataka,si wajua lazma ukabe kote kote mana biashara sasa hivi imekua ngumuMkuu,wewe si ni mwajiri? Sasa huko utumishi unatafuta nini tena?kwenye ule uzi wa kampuni ya kichina isiyotoa risiti ulikua unajimwambafai nini sasa?
Ulivyocheck Leo hawajaweka taarifa yoyote..?