Doreen20
Senior Member
- Oct 12, 2018
- 137
- 77
Swali zuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri
Ya katibu na pia ukiingia kwenye account yako kuna sehemu ya feedback napo nikawaandikia maelezo yangu,nlivyoona simu hawapokei.
Apart from maelezo yako ya KUTOKUITWA na taarifa zipi uliwatumia ili wakusearch ni kusolve tatizo lako..?Ya katibu na pia ukiingia kwenye account yako kuna sehemu ya feedback napo nikawaandikia maelezo yangu,nlivyoona simu hawapokei.
Hongera,basi labda kwenye mfumo bado hawajabadilisha ikibadilika labda ntaona sababu ya kutokua selectedSame to me ila mimi kwenye majina nimeitwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wengine tunapenda tu kuitwa hata hatutahudhuria.Accounting Officer nafasi mbili waombaji 1900. Bila kusahau mkataba ni wa mwaka mmoja.
Una experience ya kufanya kazi za kihasibu?Hongera,basi labda kwenye mfumo bado hawajabadilisha ikibadilika labda ntaona sababu ya kutokua selected
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbe uliomba kazi nying kweli safari hii..Same to me ila mimi kwenye majina nimeitwa.
Haya.. wakiplace reason njoo utuambia hapa, wengine wanaweza kujifunza from youHongera,basi labda kwenye mfumo bado hawajabadilisha ikibadilika labda ntaona sababu ya kutokua selected
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuuliza hapo juu mbona hujanijibu Mrembo..?Ya katibu na pia ukiingia kwenye account yako kuna sehemu ya feedback napo nikawaandikia maelezo yangu,nlivyoona simu hawapokei.
Hizi mentality ndio zinafanya utumishi wa umma udharaulike, hivi mtu unaenda kuwatumikia Watanzania au kupumzisha kichwa?Mkuu,mwaka huu nimedhamiria kuwa mtumishi wa umma nikapumzishe kichwa changu huko.number naona bado hawajatoa
Itakua kilaza huyoHaya.. wakiplace reason njoo utuambia hapa, wengine wanaweza kujifunza from you
Ndo inavyotakiwa hvyo, yaaan hata kama kazi inahitaji nusu mtu we Omba tu.. Sembuse hizo watu wawili,, nyingi sana hizo.. we ona kama nafasi moja ni yako..Una experience ya kufanya kazi za kihasibu?
Pambana kusoma sio kusubiri tu😀😀unaenda kushindana na watu 20,000 Burnaboy aliojaza arena NYCTRA nazisubr sana
Wanazngua waweke centres za interview kila kanda au mbona kila kanda zina vyuo vikuu ambavyo vinatosha kufanyia interview,Waziri wa utumishi kwa hiyo alidanganya Bunge?, alisema saili zote zitakazoanza mwezi wa Saba zitafanyika ki mkoa au kikanda? Nini tena hii ya kuita vijana Dodoma?.
Tunaongea tu utekelezaji sifuri.
Ajiraportal/ utumishi usiwapigie hawapokei simu ata upige mwaka mzima😀Ya katibu na pia ukiingia kwenye account yako kuna sehemu ya feedback napo nikawaandikia maelezo yangu,nlivyoona simu hawapokei.
Huyu asiyeitwa Interview au..🤣🤣..?Itakua kilaza huyo