Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Dooh na kuna mijitu itaendaNi 1805 na wala sio 800
Yaani hapo ni kupoteza nauli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dooh na kuna mijitu itaendaNi 1805 na wala sio 800
We nenda usipopangiwa,utawekwa kwenye kanzi data😋Dooh na kuna mijitu itaenda
Yaani hapo ni kupoteza nauli
Tuko wote kwenye behewa la wanaosubiri usaili. Nimeshakula nauli niliyoandaa. Wakiendelea kuchelewa nauza hivi vyeti.Mwezi uliopita nimeapply nafasi 4taasisi tofauti, kila siku nachungulia profile ila naona tu Received ingawa bado usaili kwa ujumla haujatangazwa kwa nafasi zote nilizoomba.
Hapa napata mawili matatu kulingana na mnayoyasema
Tuombe japo tuitwe itakuwa hatua nzuri pia😀😀😀Tuko wote kwenye behewa la wanaosubiri usaili. Nimeshakula nauli niliyoandaa. Wakiendelea kuchelewa nauza hivi vyeti.
Pambana kusoma sio kusubiri tu[emoji3][emoji3]unaenda kushindana na watu 20,000 Burnaboy aliojaza arena NYC
Ivi wale ambao walikuwa training wameshaanza kazi
Wale waliokuwa training wameshaanza kazi
Mbona naskia kuna kusubiri baruaTayari muda
Yule ni mwanasiasa kama wanasiasa wengine bt ngoja tusubirie bajet mpyaWaziri wa utumishi kwa hiyo alidanganya Bunge?, alisema saili zote zitakazoanza mwezi wa Saba zitafanyika ki mkoa au kikanda? Nini tena hii ya kuita vijana Dodoma?.
Tunaongea tu utekelezaji sifuri.
Hii Ndo principal kwenye maisha mambo ya kukata tamaa syo poa huwezi bnafs lazima niende japo tukiwa weng labda kuwe na changamoto za nauliUkifaulu according to utumishi mnawekwa kwnye data base so nafasi zikitokea mnachukuliwa uko kwenye kanzidata,kingine ata mkiitwa elfu 10 anahitajika mmoja kma mtu una nauli bora uende tu mengine yatajulikana uko uko,you never know hyo nafasi n yako au nn kitakuja kutokea
HahahahaTuko wote kwenye behewa la wanaosubiri usaili. Nimeshakula nauli niliyoandaa. Wakiendelea kuchelewa nauza hivi vyeti.
Noma. Ila in most cases wanakua wanajua hao.Naona wameongeza majina huko🤣🤣🤣
Sijui kweli watawahi maana Usaili ni kesho Asubuhi, Just imagine mtu Yuko kwao Tabora saa hii..
Au Huwa wanaweka namba kwenye account husika Mapema kwa haya majina ya nyongeza..? ety wazoefu tupeni ujuzi hapa maana naona kama ni Masikhara haya😁
Hapo sawaNoma. Ila in most cases wanakua wanajua hao.
Ukilalamika kwamba haujaitwa kwenye interview na vigezo vyote unavyo, wana crosscheck, then wakiona uko clear wanakuambia uende kwenye interview then wao baadae wanatangaza majina.
Unaweza kukuta hao wanajua tangu juzi kwamba wanatakiwa kuhudhuria usaili
Tokeo gani unataka..?
Wale mliofanya interview ya accounts officer ii tuwekeeni maswali ya written mliyoulizwa.