Maswali ya jana ayo Kwa accounts1. Issues rising btn bank and cash in cash book
2. Five account explain
3. Steps in trial balance.
4. Steps in close account.
40 minutes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali ya jana ayo Kwa accounts1. Issues rising btn bank and cash in cash book
2. Five account explain
3. Steps in trial balance.
4. Steps in close account.
40 minutes
Simple1. Issues rising btn bank and cash in cash book
2. Five account explain
3. Steps in trial balance.
4. Steps in close account.
40 minutes
Halafu below 75 [emoji2][emoji2][emoji2]Maswali ya jana ayo Kwa accounts
Dah km yule mwenye 73... inaumaga iyoHalafu below 75 [emoji2][emoji2][emoji2]
wamechukuwa wangapi towards Oral interview..?Dah km yule mwenye 73... inaumaga iyo
Ni Sahihi kama nafasi zenyewe hasizizidi 3... Hyo idadi wataenda kugombania vizuri huko kwenye Oral
mbn cc kuna kaz anahitajika mmoja pale udsm, wametuchukua watu 11 oral.Ni Sahihi kama nafasi zenyewe hasizizidi 3... Hyo idadi wataenda kugombania vizuri huko kwenye Oral
Wamemaliza tangu tarehe moja mwezi wa saba, sasa hivi wapo vituo vya kazi walivyopangiwa wanachapa kazi na wanasubiri mshahara wa tatu sasaIvi wale ambao walikuwa training wameshaanza kazi
Wale waliokuwa training wameshaanza kazi
Naomba nisaidie hilo la 2Simple
Assets, liabilities, income, expenses and equity (malizia neno account baada ya kila moja)Naomba nisaidie hilo la 2
ThanksAssets, liabilities, income, expenses and equity (malizia neno account baada ya kila moja)
Swali la nne lipo google, swal la kwanza jamaa huyo kaliandika vibaya. Swali lilitaka ku"explain business transactions that need special treatment in the bank column of cash book" Nalo silijui [emoji23][emoji23] sijui ndo zile bank charges na mengineyo ama ni niniNisaidie la 1&4.
Ndio maana kwenye oral wameitwa wachache ili wengine wafocus mengine fastHii c kazi ya mkataba wa mwaka mmoja.? Sidhani kama kazi hizi hua kuna kuwekwa kwenye kanzidata
Maswali ya jana ayo Kwa accounts