Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
Bado ipo receivedUlivyocheck Leo hawajaweka taarifa yoyote..?
Vp.. ulithibitisha vyeti, kozi yako ni relevant na kozi walizotaka..?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado ipo receivedUlivyocheck Leo hawajaweka taarifa yoyote..?
Vp.. ulithibitisha vyeti, kozi yako ni relevant na kozi walizotaka..?
Sawa
Ulishawahi kufanya Usaili Hadi Oral kwenye kazi yoyote last..?
Hapana,mimi kuapply ndo nmeanza juzi juzi hii kazi ya pili nimeapplyUlishawahi kufanya Usaili Hadi Oral kwenye kazi yoyote last..?
Basi labda Kuna shida kwenye account yako Kuna taarifa au vitu Fulani vimemiss, sitaki kuthibisha hili Ila ngoja tuone pindi watakapoweka taarifa ya kutoitwaHapana,mimi kuapply ndo nmeanza juzi juzi hii kazi ya pili nimeapply
Sent using Jamii Forums mobile appK
Hili alishajibu kuwa ilo Received tuwenye account yako wamekuandikia nini?
Legends wa shughuli hizi tumekuwa manguli hahah! Oneday YES Mzee tutaja jukwaani hili kuwapa vijana experience zaidi.Ulishawahi kufanya Usaili Hadi Oral kwenye kazi yoyote last..?
Siendi mamaae [emoji16] kama ni mimiHyo ni Zaidi ya kamali[emoji16][emoji16] issue ni kwamba, kwa ambao wanaishi maeneo karibu na Dom, not case but msala ni kwa mtu wa mbali.. yaan nauli ya kwenda na kurudi unanunulia Infinix mpya.. bado hujala na kulala
Welcome to jf [emoji16]Mkuu,wewe si ni mwajiri? Sasa huko utumishi unatafuta nini tena?kwenye ule uzi wa kampuni ya kichina isiyotoa risiti ulikua unajimwambafai nini sasa?
Hilo litachukua muda kutekelezaWaziri wa utumishi kwa hiyo alidanganya Bunge?, alisema saili zote zitakazoanza mwezi wa Saba zitafanyika ki mkoa au kikanda? Nini tena hii ya kuita vijana Dodoma?.
Tunaongea tu utekelezaji sifuri.
Kuna kazi moja na mimi niliwacontact wakaniita kwenye list ya nyongeza so watumie email kma vigezo vyote unavyo
Ukifaulu according to utumishi mnawekwa kwnye data base so nafasi zikitokea mnachukuliwa uko kwenye kanzidata,kingine ata mkiitwa elfu 10 anahitajika mmoja kma mtu una nauli bora uende tu mengine yatajulikana uko uko,you never know hyo nafasi n yako au nn kitakuja kutokeaOyaa mwanangu shombeshombe eti nafasi ni mbili wanagombea watu mia nane
Daah
Uliwacheck kwa Email..?Ukifaulu according to utumishi mnawekwa kwnye data base so nafasi zikitokea mnachukuliwa uko kwenye kanzidata,kingine ata mkiitwa elfu 10 anahitajika mmoja kma mtu una nauli bora uende tu mengine yatajulikana uko uko,you never know hyo nafasi n yako au nn kitakuja kutokea
Shukrani nitafanya hivyo.Kuna kazi moja na mimi niliwacontact wakaniita kwenye list ya nyongeza so watumie email kma vigezo vyote unavyo
Hii kitu sio rahisi kama mnavyofikiriaUkifaulu according to utumishi mnawekwa kwnye data base so nafasi zikitokea mnachukuliwa uko kwenye kanzidata,kingine ata mkiitwa elfu 10 anahitajika mmoja kma mtu una nauli bora uende tu mengine yatajulikana uko uko,you never know hyo nafasi n yako au nn kitakuja kutokea
Email yao ni ipi?Kuna kazi moja na mimi niliwacontact wakaniita kwenye list ya nyongeza so watumie email kma vigezo vyote unavyo