kuizuia Katiba Inayopendekezwa isipite ni sawa na kuzuia Tsunami kwa kutumia mikono.

kuizuia Katiba Inayopendekezwa isipite ni sawa na kuzuia Tsunami kwa kutumia mikono.

Afadhali umekiri kuwa wewe ni nabii wa uongo na umetumwa ha ha ha ha ha ha tokaaaaaaa!
 
Huyo babu hana katiba usipelekwe kama upepo,afu ile rasimu sasa hv watu wanaifungia maandazi mtaani wtz hawaijui unaijua wewe na familia yako.View attachment 244577

Kwa mwenye akili timamu na uzalendo hawezi kuacha kuzungumzia ile rasimu ya pili ambayo ndiyo ilibeba maoni ya wananchi waliowengi.

Siwezi kuunga mkono kwa hii pendekezwa kwa kuendeshwa na wachache ambao waliuteka mchakato mzima kwa maslahi yao wenyewe. Kama utajaribu kufungua akili utagundua jambo fulani ambalo utaamini kuwa kwanini siachi kuzungumzia rasimu ya Warioba.....

Swali kwako: kwanini serikali inapigia debe wakiwemo na vibaraka kama wewe kupiga kura ya ndiyo badala ya kuacha wananchi wenyewe waikubali kama ndiyo au hapana kuna kitu gani hapa?
 
Dragunov Sniper said:
Join Date : 9th March 2015

Posts : 2,797
Rep Power : 0
Likes Received: 0
Likes Given: 0

Maelezo hapo juu yanajitosheleza (100 posts per day = 5 posts per hour)...Sina zaidi la kuongezea kwani kufanya hivyo ni sawa na kukimbizana na mpangaji wa Mirembe, people might fail to notice the difference ...!
 
Kwa mwenye akili timamu na uzalendo hawezi kuacha kuzungumzia ile rasimu ya pili ambayo ndiyo ilibeba maoni ya wananchi waliowengi.

Siwezi kuunga mkono kwa hii pendekezwa kwa kuendeshwa na wachache ambao waliuteka mchakato mzima kwa maslahi yao wenyewe. Kama utajaribu kufungua akili utagundua jambo fulani ambalo utaamini kuwa kwanini siachi kuzungumzia rasimu ya Warioba.....

Swali kwako: kwanini serikali inapigia debe wakiwemo na vibaraka kama wewe kupiga kura ya ndiyo badala ya kuacha wananchi wenyewe waikubali kama ndiyo au hapana kuna kitu gani hapa?
Acha uwongo wako wewe kijana, Warioba aliandika mapendekezo na sio Katiba, walioandika katiba ni BMK na lilikuwa sahihi kufanya vile. Una waambia wenzio vibaraka wewe mwenyewe umetumwa na Ukawa ufanye ubaraka wa kupiga debe.
 
Acha uwongo wako wewe kijana, Warioba aliandika mapendekezo na sio Katiba, walioandika katiba ni BMK na lilikuwa sahihi kufanya vile. Una waambia wenzio vibaraka wewe mwenyewe umetumwa na Ukawa ufanye ubaraka wa kupiga debe.

Wewe ndo zuzu kabisa....wapi nmeandika kuwa ile ya warioba ilikuwa katiba au kusema ni rasimu ya pili ya katiba ndio namaanisha katiba?

Huna hoja na nadhani umekosa cha kuandika bora uwe kimya tu maana uzoba wako usikufanye ufikiri kuwa wote tunalingana kiakili.

Narudia rasimu ya pili ya katiba ndio ilibeba maoni ya wananchi waliowengi.
 
Wewe ndo zuzu kabisa....wapi nmeandika kuwa ile ya warioba ilikuwa katiba au kusema ni rasimu ya pili ya katiba ndio namaanisha katiba?

Huna hoja na nadhani umekosa cha kuandika bora uwe kimya tu maana uzoba wako usikufanye ufikiri kuwa wote tunalingana kiakili.

Narudia rasimu ya pili ya katiba ndio ilibeba maoni ya wananchi waliowengi.
Wewe ni upepo, maana hiyo rasimu yako unayoizungumzia hapa huko mtaani wanaifungia maandazi, haina mashiko sahv tena wee sema lkn hiyo haitarudi tena itabaki historia, kasome katiba uone uzuri kati ya hayo mapendekezo na katiba yenyewe.
 
Kwanini mtoa post umeongelea upande mmoja wa wanaopinga badala ya kuwa neutral?

Nilidhani utasema ni maamuzi ya wananchi kukubali ama kukataa lakini inaonekana nawe unawaamuru watu kuiunga mkono tu hata kama hawakubaliani na kilichopo.

RAPTOR 22 na wenzako mmekuwa wapiga wazuri sana wakushawishi watu waiunge mkono hii katiba pendekezwa.

Tutapinga kama haiko sawa na tutaiunga mkono kama itatufaa na si kupitia malalamiko yako yasio na faida yeyote.
No-vote-300x200.jpgNo-vote-300x200.jpgvote_no_twice.jpgvote_no1-e1336438049593.jpg
View attachment 245057
 
Aibu yako lijibaba wala hayo makatuni yako hayataizuia katiba hii kupita, nachojua hapo ni umetumwa na UKAWWA kufanya ujinga huo, wewe bula kufanya hivo unaonekana huwezi kupata mlo wako wa siku, pole sana kwa kugeuzwa kuwa kanyagio ama ufagio tena ule wa chooni, hahahahaha kijana umekosa uzalendo na kugeuzwa kuwa mtumwa kwa wanasiasa ucharo. Pole sana njaa itakuua kijana shauri yako. Na ikipita endelea kuweka huo upuuzi wako afu tuone kama hujabadioi jina lako fasta.
 
Wewe ni upepo, maana hiyo rasimu yako unayoizungumzia hapa huko mtaani wanaifungia maandazi, haina mashiko sahv tena wee sema lkn hiyo haitarudi tena itabaki historia, kasome katiba uone uzuri kati ya hayo mapendekezo na katiba yenyewe.

Hahahahaha sio nacheka kwa kufurahia ulichoandika ila nasikitika kwa udogo wa uelewa wako.

Suala la rasimu ya pili kufungiwa maandazi wala hakuondoi maana kwamba haikubeba maoni mazuri ya wananchi waliowengi kwani hata hii pendekezwa kitu usichokijua tayari ishafika jalalani na hilo ni kwasababu ya watanzania kutopkuwa na moyo wa kupenda kusoma na wala sio suala kwamba hawaikubali ile rasimu.

Naamini kama rasimu ya pili ingepitishwa kama ilivyo (au kufanyia marekebisho machache) kuwa katiba pendekezwa wala serikali yako isingetumia mabilioni ya shilingi kuandaa kofia ili kushawishi watu waikubali.

Bado nitaendelea kuipinga na wewe utakosa posho maana umeshindwa kuifanya kazi yako.
 
Wewe ni upepo, maana hiyo rasimu yako unayoizungumzia hapa huko mtaani wanaifungia maandazi, haina mashiko sahv tena wee sema lkn hiyo haitarudi tena itabaki historia, kasome katiba uone uzuri kati ya hayo mapendekezo na katiba yenyewe.
HIYO KITABU YA MAKENGEZA & Co. sisi huku tumejaribu kuitumia msalani haifai kabsaa afadhali ya toilet paper
 
Hahahahaha sio nacheka kwa kufurahia ulichoandika ila nasikitika kwa udogo wa uelewa wako.

Suala la rasimu ya pili kufungiwa maandazi wala hakuondoi maana kwamba haikubeba maoni mazuri ya wananchi waliowengi kwani hata hii pendekezwa kitu usichokijua tayari ishafika jalalani na hilo ni kwasababu ya watanzania kutopkuwa na moyo wa kupenda kusoma na wala sio suala kwamba hawaikubali ile rasimu.

Naamini kama rasimu ya pili ingepitishwa kama ilivyo (au kufanyia marekebisho machache) kuwa katiba pendekezwa wala serikali yako isingetumia mabilioni ya shilingi kuandaa kofia ili kushawishi watu waikubali.

Bado nitaendelea kuipinga na wewe utakosa posho maana umeshindwa kuifanya kazi yako.
imefungiwa maandazi maana haina maana tena imeshapitwa na wakati, sasa tulonayo ni katiba inayopendekezwa, weka pembeni hizo takataka zako, maoni yote ya wananchi yamo kwenye hii katiba.
 
HIYO KITABU YA MAKENGEZA & Co. sisi huku tumejaribu kuitumia msalani haifai kabsaa afadhali ya toilet paper
Jifurahishe ewe mchumia tumbo maana bila kupinga humu ndani wewe huwezi kwenda haja, ndo maana umeajiriwa kwa muda na Ukawa.
 
imefungiwa maandazi maana haina maana tena imeshapitwa na wakati, sasa tulonayo ni katiba inayopendekezwa, weka pembeni hizo takataka zako, maoni yote ya wananchi yamo kwenye hii katiba.

Hii huruma sana kuminywa kwa demokrasia kunawafanya wengi wawe na utaahira wasiokuwa nao
 
Hii huruma sana kuminywa kwa demokrasia kunawafanya wengi wawe na utaahira wasiokuwa nao
Wewe tukana tu lakn ujue hiyo Rasimu ya babu yako Warioba haina lake kwa wakti huu, imeshafungiwa maandazi na vitumbua tena wanafunzimwa shile za msingi wamejaradia madaftari yao. Katiba inayopendekezwa ndo mpango mzima kwa sasa. Nyie mnaoinanga na hata kama mmetoa rushwa humu Jamii forums hiyo haitaifanya katiba hii kupita.
 
HIYO KITABU YA MAKENGEZA & Co. sisi huku tumejaribu kuitumia msalani haifai kabsaa afadhali ya toilet paper

Kumbe huwa huna akili somtimz.....sina sabab ya kukwambia kwanini...ila kama we ni intelectual kaa tafakari utajielewa
 
Kwa mwenye akili timamu na uzalendo hawezi kuacha kuzungumzia ile rasimu ya pili ambayo ndiyo ilibeba maoni ya wananchi waliowengi.

Siwezi kuunga mkono kwa hii pendekezwa kwa kuendeshwa na wachache ambao waliuteka mchakato mzima kwa maslahi yao wenyewe. Kama utajaribu kufungua akili utagundua jambo fulani ambalo utaamini kuwa kwanini siachi kuzungumzia rasimu ya Warioba.....

Swali kwako: kwanini serikali inapigia debe wakiwemo na vibaraka kama wewe kupiga kura ya ndiyo badala ya kuacha wananchi wenyewe waikubali kama ndiyo au hapana kuna kitu gani hapa?

Daah kweli kutojua ni kuwa mzigo......eti wachach waliotuke mchakato kina nani hao wajumbe zaid ya 400 kutoka katika makundi yote kwenye jamii yalishiriki kikamilifu kwasababu walijua nini wametumwa na wale waliowaacha nyuma....na thaanks God walikaa hadi mwisho kukamilisha mchakato...nitaendelea kulaani waliotoka unaoona wewe ndio walitakiwa kuheshimiwa....kwenda nje kutoshiriki kwasabab tu ya kutopit kwa serikali 3 ambayo walioona kwa namna moja au nyingine itawapa nafasi somwere ila kwa kutoangalia nin wananchi watanufaika wakaamua kutoka nitawalaani kwanza wengi mliotoka mlitoka kwenye vyama vya siasa(wabunge) ambao tuliwachagua kwenda kupigania haki zetu ila mkajalo matumbo yenu....sisi hatutaki serikali 3 tunataka haki....zitazoleta tija kwenye maisha yetu...kwanza according tu tume wengi walitaka serikali ya mkataba nin nyie kwenda kuipigania serikali 3....mbona mnaonyesha udhaifu sana....
 
Uzuri wake nikwamba raisi asishitakiwe kwa makosa ya jinai au madai aliyo yafanya akiwa madarakani?
 
Jitokeze kujiandikisha ili uweze kupiga kura ya ndio kwa katiba inayopendekezwa,katiba inYopendekezwa ndio mpango mzima wa 2015 .
 
Back
Top Bottom