kuizuia Katiba Inayopendekezwa isipite ni sawa na kuzuia Tsunami kwa kutumia mikono.

kuizuia Katiba Inayopendekezwa isipite ni sawa na kuzuia Tsunami kwa kutumia mikono.

Katiba inayopendekezwa ndio mpango mzima kwa mwaka 2015,jitokeze kujiandikisha na hatimaye kupiga kura ya ndio
 
Jitokeze kujiandikisha na kushiriki kikamilifu kupiga kura ya ndio kwa katiba inayopendekezwa,katiba inayopendekezwa ndio mpango mzima 2015
 
tehteh...Dragunov Sniper=RAPTOR 22..
nilisema tangu mwanzo,hizi ID ZA MTU MMOJA...sasa ona unaandika thread,alafu unakuwa wa kwanza kujireply,tehteh..kibaya zaidi eti unajipa like kwa ID nyingine,hahaha..na mods wamekuumbua wakaunganisha ID zako..teheteh..

 


Maelezo hapo juu yanajitosheleza (100 posts per day = 5 posts per hour)...Sina zaidi la kuongezea kwani kufanya hivyo ni sawa na kukimbizana na mpangaji wa Mirembe, people might fail to notice the difference ...!

huyo kijana ndiyo huyu RAPTOR 22.Ana ID zaidi ya moja,tehteh..anatoa thread kwasababu ya ukilaza akajisahau na kujijibu na ID ile ile..Tazama post yake ya kwanza na ya pili...

na ukitaka kujua ni mtu mmoja hawa RAPTOR 22 na Dragunov Sniper tazama post #18 ...
walichofanya ni kuziunganisha..
 
huyo kijana ndiyo huyu RAPTOR 22.Ana ID zaidi ya moja,tehteh..anatoa thread kwasababu ya ukilaza akajisahau na kujijibu na ID ile ile..Tazama post yake ya kwanza na ya pili...

na ukitaka kujua ni mtu mmoja hawa RAPTOR 22 na Dragunov Sniper tazama post #18 ...
walichofanya ni kuziunganisha..
Wachumia matumbo walotumwa na Ukawa utawajua tu humu ndani, wewe unAejiita tyta nimeskia nawe una ID za Tyta, Tetty, BAK, Mwalla4real na nyingine ambazo wamezibann ukaamua kufungua nyingine mwezi huu huu, acha porojo zako, endelea kula jero jero za Ukawa tu maana bila Ukawa choo huend hapo kwenu.
 
Ndugu zangu wadanganyika,mbona bado mnaijadili katiba pendekezwa?wakati serikali imeshasema IMEBUMA,na kufunga mjadala,ninani huyu kajituma kuanzisha upya?wakati wenzie kina PINDA,KIKWETE,NAPE,CHIKAWE pamoja na wengine wameshaacha kuimba hicho kibwagizo?mwee !mleta mada umelogwa na nani tena mbona asubuhi ulikuwa mzima?waulize ZNZ kama wimbo huo bado upo.
 
Ndugu zangu wadanganyika,mbona bado mnaijadili katiba pendekezwa?wakati serikali imeshasema IMEBUMA,na kufunga mjadala,ninani huyu kajituma kuanzisha upya?wakati wenzie kina PINDA,KIKWETE,NAPE,CHIKAWE pamoja na wengine wameshaacha kuimba hicho kibwagizo?mwee !mleta mada umelogwa na nani tena mbona asubuhi ulikuwa mzima?waulize ZNZ kama wimbo huo bado upo.
Wewe mdudu umetokeomwapi, maana wadudu daima hawanaga akili hivyo ckushangai kwa unachokiongea hapo juu. Katiba ipo na itakuwepo, we subiri ifike muda wa kupiga kura tena ukapige ya Ndiyo ukipiga ya Hapana basi wewe ni mchumia tumbo.
 
Nawashangaa baadhi ya watu humu ndani wanapoteza muda wao mwingi kuikosoa katiba inayopendekezwa lakini cha ajabu kubisha kwao wala hakuna ushahidi wowote wanaouweka juu ya hoja zao wanazozitoa, na hii inaonyesha dhahiri kuwa watu wa namna hii wanapinga ilimradi waonekane wanajua kuongea ama wametumwa na baadhi ya wanasiasa wasioitakia mapenzi mema na hii nchi.

Kitu kingine watu hawa wamesahau kwamba Katiba hii sio mabishano ya vyama vya siasa, kwani itakuwa ni kwa faida ya watanzania wote vizazi hadi vizazi, ni vema unapobisha kitu uwe walau umekisoma na ukagundua mapungufu fulani kama yapo kisha ukauliza watu waweze kukusaidia kukufafanulia ili mwisho wa siku upate kuelewa na kumaliza unishi usio na maana yoyote humu JF.

Serikali yetu wala haijakurupuka kuuanzisha mchakato huu na Sheria zimetumika vema tangu kuanza kwa mchakato huu, sasa watu wao kazi yao ni kubisha tuuuu tena wengine wanapost picha zisizo na maana ambazo wanazikwapua toka Google, sasa mi naona huku ni kuishiwa hoja, kama katiba hii ni mbaya je hiyo ya kwenu iliyo nzuri iko wapiiiiiiii?

Ndo maana namalizia kwa kusema kuwa, kuendelea kuipinga Katiba Inayopendekezwa wajameni ni sawa sawa na KUZUIA TSUNAMI KWA KUTUMIA MIKONO, jambo ambalo mwisho wa siku tunajua kwamba hutofanikiwa ng'ooooooo.

Ndo maana maandiko matakatifu kama Biblia yanasema kuwa Hatimaye mwisho mwishowe wema utashinda tuuuu.

Ewe mtanzania kuwa mzalendo, mabishano yasiyo na maana kuhusu katiba hii hayakusaidii bali utakuwa unajipotezea muda wako kwa kitu ambacho unajua wazi wazi kuwa ni kizuri na kwa faida ya wote hata wewe unayeipinga.

"TO CRASH THE PROPOSED CONSTITUTION IS LIKE TO PLANT THE SEEDS OF YOUR OWN DESTRUCTION IN YOUR FUTURE" isome katiba hii na kuielewa kwa manufaa yako na vizazi vyako.

Nawasilisha!
Yaani wewe huna la maana isipokuwa katiba pendekezwa? Mbona wengi walishatowa kibali kwa nyie kufanya mtakavyo kwa huo upuuzi wenu? Au ni wasiwasi kuwa mnachokifanya hakina maana kwa wengi?
Mlivyobahatika basi ni kuwa hata iwapo ni wewe na Sitta tu mtaipigia ndiyo itapita kwani ni katiba ya wachache.
 
Yaani wewe huna la maana isipokuwa katiba pendekezwa? Mbona wengi walishatowa kibali kwa nyie kufanya mtakavyo kwa huo upuuzi wenu? Au ni wasiwasi kuwa mnachokifanya hakina maana kwa wengi?
Mlivyobahatika basi ni kuwa hata iwapo ni wewe na Sitta tu mtaipigia ndiyo itapita kwani ni katiba ya wachache.
Naona kijana unachanganya frequencies humu ndani, kama hauna jipya nakushauri utulie ama ulale tu, matuc huko huko kwenu, hapa ni nondo za ukweli tuu, ukiweka matuc watu wanajua umeishiwa hoja na unahitaji kumpumzika.
 
huyo kijana ndiyo huyu RAPTOR 22.Ana ID zaidi ya moja,tehteh..anatoa thread kwasababu ya ukilaza akajisahau na kujijibu na ID ile ile..Tazama post yake ya kwanza na ya pili...

na ukitaka kujua ni mtu mmoja hawa RAPTOR 22 na Dragunov Sniper tazama post #18 ...
walichofanya ni kuziunganisha..


Mbona unakalia kulumbana na mtu na sio hoja inakuaje hapa?hii ni kuonyesha udhaifu wako tetea hoja iliyoko mezani dont attack personalities!!!
 
Yaani wewe huna la maana isipokuwa katiba pendekezwa? Mbona wengi walishatowa kibali kwa nyie kufanya mtakavyo kwa huo upuuzi wenu? Au ni wasiwasi kuwa mnachokifanya hakina maana kwa wengi?
Mlivyobahatika basi ni kuwa hata iwapo ni wewe na Sitta tu mtaipigia ndiyo itapita kwani ni katiba ya wachache.

Aisee heshima yako inatokana na mchango ulioutoa kulingana na hoja husika, sasa wewe hapa umeongea nini mbona hueleweki?unaposema wengi walishatoa kibali kwa wao kufanya watakavyo unamaanisha nini? Jenga hoja tukuelewe!
 
Jifurahishe ewe mchumia tumbo maana bila kupinga humu ndani wewe huwezi kwenda haja, ndo maana umeajiriwa kwa muda na Ukawa.
bila buku7 wewe huishi sanasana utagegedwa ili maisha yaende
 
Yaani wewe huna la maana isipokuwa katiba pendekezwa? Mbona wengi walishatowa kibali kwa nyie kufanya mtakavyo kwa huo upuuzi wenu? Au ni wasiwasi kuwa mnachokifanya hakina maana kwa wengi?
Mlivyobahatika basi ni kuwa hata iwapo ni wewe na Sitta tu mtaipigia ndiyo itapita kwani ni katiba ya wachache.
Katiba inayopendekezwa ndo jambo la maana, we unataka lipi tena?
 
Nawashangaa baadhi ya watu humu ndani wanapoteza muda wao mwingi kuikosoa katiba inayopendekezwa lakini cha ajabu kubisha kwao wala hakuna ushahidi wowote wanaouweka juu ya hoja zao wanazozitoa, na hii inaonyesha dhahiri kuwa watu wa namna hii wanapinga ilimradi waonekane wanajua kuongea ama wametumwa na baadhi ya wanasiasa wasioitakia mapenzi mema na hii nchi.

Kitu kingine watu hawa wamesahau kwamba Katiba hii sio mabishano ya vyama vya siasa, kwani itakuwa ni kwa faida ya watanzania wote vizazi hadi vizazi, ni vema unapobisha kitu uwe walau umekisoma na ukagundua mapungufu fulani kama yapo kisha ukauliza watu waweze kukusaidia kukufafanulia ili mwisho wa siku upate kuelewa na kumaliza unishi usio na maana yoyote humu JF.

Serikali yetu wala haijakurupuka kuuanzisha mchakato huu na Sheria zimetumika vema tangu kuanza kwa mchakato huu, sasa watu wao kazi yao ni kubisha tuuuu tena wengine wanapost picha zisizo na maana ambazo wanazikwapua toka Google, sasa mi naona huku ni kuishiwa hoja, kama katiba hii ni mbaya je hiyo ya kwenu iliyo nzuri iko wapiiiiiiii?

Ndo maana namalizia kwa kusema kuwa, kuendelea kuipinga Katiba Inayopendekezwa wajameni ni sawa sawa na KUZUIA TSUNAMI KWA KUTUMIA MIKONO, jambo ambalo mwisho wa siku tunajua kwamba hutofanikiwa ng'ooooooo.

Ndo maana maandiko matakatifu kama Biblia yanasema kuwa Hatimaye mwisho mwishowe wema utashinda tuuuu.

Ewe mtanzania kuwa mzalendo, mabishano yasiyo na maana kuhusu katiba hii hayakusaidii bali utakuwa unajipotezea muda wako kwa kitu ambacho unajua wazi wazi kuwa ni kizuri na kwa faida ya wote hata wewe unayeipinga.

"TO CRASH THE PROPOSED CONSTITUTION IS LIKE TO PLANT THE SEEDS OF YOUR OWN DESTRUCTION IN YOUR FUTURE" isome katiba hii na kuielewa kwa manufaa yako na vizazi vyako.

Nawasilisha!
kijana njaa itakuua na kama sio kukuuuwa basi utagegedwa sana tu kwa umburula wako na hicho kitabu cha fisadi wenu MAKENGEZA na ukitaka faham zikurudie basi chukua RASIMU YA JAJI WARIOBA isome vizuri kwa ufasaha alafu akili zikikurudia ndo uchukue hiyo toiletpaper yenu uangalie kama inafaa kucha.....ia au lah,. na kama hutailewa rasimu hiyo basi ww ni wa kupimwa na kulazwa
 
Katiba inayopendekezwa ndo jambo la maana, we unataka lipi tena?
jaribu kuichukua hiyo kitabu yako nenda nayo MSALANI afu chana page 2...3 afu jaribu kucha......bia ukiona imefaa na imekusafisha uzuri ilete haraka tutaipigia.
 
Nawashangaa baadhi ya watu humu ndani wanapoteza muda wao mwingi kuikosoa katiba inayopendekezwa lakini cha ajabu kubisha kwao wala hakuna ushahidi wowote wanaouweka juu ya hoja zao wanazozitoa, na hii inaonyesha dhahiri kuwa watu wa namna hii wanapinga ilimradi waonekane wanajua kuongea ama wametumwa na baadhi ya wanasiasa wasioitakia mapenzi mema na hii nchi.

Kitu kingine watu hawa wamesahau kwamba Katiba hii sio mabishano ya vyama vya siasa, kwani itakuwa ni kwa faida ya watanzania wote vizazi hadi vizazi, ni vema unapobisha kitu uwe walau umekisoma na ukagundua mapungufu fulani kama yapo kisha ukauliza watu waweze kukusaidia kukufafanulia ili mwisho wa siku upate kuelewa na kumaliza unishi usio na maana yoyote humu JF.

Serikali yetu wala haijakurupuka kuuanzisha mchakato huu na Sheria zimetumika vema tangu kuanza kwa mchakato huu, sasa watu wao kazi yao ni kubisha tuuuu tena wengine wanapost picha zisizo na maana ambazo wanazikwapua toka Google, sasa mi naona huku ni kuishiwa hoja, kama katiba hii ni mbaya je hiyo ya kwenu iliyo nzuri iko wapiiiiiiii?

Ndo maana namalizia kwa kusema kuwa, kuendelea kuipinga Katiba Inayopendekezwa wajameni ni sawa sawa na KUZUIA TSUNAMI KWA KUTUMIA MIKONO, jambo ambalo mwisho wa siku tunajua kwamba hutofanikiwa ng'ooooooo.

Ndo maana maandiko matakatifu kama Biblia yanasema kuwa Hatimaye mwisho mwishowe wema utashinda tuuuu.

Ewe mtanzania kuwa mzalendo, mabishano yasiyo na maana kuhusu katiba hii hayakusaidii bali utakuwa unajipotezea muda wako kwa kitu ambacho unajua wazi wazi kuwa ni kizuri na kwa faida ya wote hata wewe unayeipinga.

"TO CRASH THE PROPOSED CONSTITUTION IS LIKE TO PLANT THE SEEDS OF YOUR OWN DESTRUCTION IN YOUR FUTURE" isome katiba hii na kuielewa kwa manufaa yako na vizazi vyako.

Nawasilisha!

Tunaendelea kuitafakari hoja yako,ila nachoweza kusema kuhusu jambo hili ni kwamba wananchi tuisome tuielewe,kama tunatumia muda mwingi kufuatilia mambo mengine basi na hili la katiba tulipe uzito,tusije kumlaumu mtu kwa uzembe wetu!tushiriki kikamilifu kulijenga taifa letu tusikubari kubebewa ajenda zetu na wasiolitakia mema taifa la Tanzania!

Kati ya hawa Dragunov Sniper wawili, ni yupi mleta hoja na yupi anayeendelea kuitafakari hoja? Naona kama mtu kajipasia free kick au kona!
 
Last edited by a moderator:
Kura ya ndiyo kwa katiba pedekezwa maana malengo ya watanzania tuliowengi ni kuwa na katiba!hatuwezi kuishi kwa kupiga ramli bila ya kuwa na katiba kisa kakundi kadogo na hakataki sidhan Kama watanzania waliowengi wanaweza kukubaliana na paukwa pakawa ya ati kuikataa katiba pendekezwa!waliowengi wanajitambua

Ina maana hadi sasa hatuna katiba? ami naona hiyo iliyopo iendelee tu maana hii inayotangazwa kila mara kama wale wauza sumu ya mende na kunguni mitaani haina cha ziada kimantiki.
 
Back
Top Bottom