kuizuia Katiba Inayopendekezwa isipite ni sawa na kuzuia Tsunami kwa kutumia mikono.

kuizuia Katiba Inayopendekezwa isipite ni sawa na kuzuia Tsunami kwa kutumia mikono.

Umenielewa!na wewe sio UKAWA ni mpitaji hata kadi huna!
MUONE HATA KUJITAMBUA HUJITAMBUI.... HUJIJUI UPO WAPI UNAENDA WAPI?
MIMI NI MUASISI WA CHADEMA KADI No. OOO665 MWAKA 1992 NADHANI HAPA BABA YAKO ALIKUWA BADO ANAHANGAIKA KUKUTAFUTA KUKULETA DUNIANI:mimba:
 
MUONE HATA KUJITAMBUA HUJITAMBUI.... HUJIJUI UPO WAPI UNAENDA WAPI?
MIMI NI MUASISI WA CHADEMA KADI No. OOO665 MWAKA 1992 NADHANI HAPA BABA YAKO ALIKUWA BADO ANAHANGAIKA KUKUTAFUTA KUKULETA DUNIANI:mimba:
Sio mwasisi wewe, wewe ni mchumia tumbo wa UKAWA a.k.a mfagio wa chooni unaetumika kama vocha.
 
Siku zote kizuri chajiuza na kibovu hunadiwa kwa juhudi kweli kweli na kisinunulike kama no katiba bora hebu kaeni kimya muwachie wananchi xaxa muone watakavyo waumbueni nakatiba yenu!
 
Sio mwasisi wewe, wewe ni mchumia tumbo wa UKAWA a.k.a mfagio wa chooni unaetumika kama vocha.
....MBAFFFF unajifanya kipofu huoni hujui kusoma eee kumbe naongea na tototundu hata meno halijaota linataka kujifanya mburula kumbe ndo MBURULA ZAIDI.. KWENDRAAAA UCJIBISHANE NA BABA YAKO MBWIGA WEYEEE
 
Siku zote kizuri chajiuza na kibovu hunadiwa kwa juhudi kweli kweli na kisinunulike kama no katiba bora hebu kaeni kimya muwachie wananchi xaxa muone watakavyo waumbueni nakatiba yenu!

Watanzania tuna akili sana na mwaka huu hatudanganyiki,hiyo Rasimu ya babu Warioba sio Katiba hatudanganyiki tunayoijua ni Katiba inayopendekezwa!!!Hatudanganyiki nasema tena tunajitambua na tunaamua sawasawa!

Wewe hujui unalolifanya humu ndani,msimamo wa UKAWA ni katiba mpya iwe mvua iwe jua,MSIMAMO WA WATANZANIA NI katiba mpya iwe jua iwe mvua uwe usiku au mchana,sasa wewe unayetaka kuturudisha nyuma ni nani sisi tunataka katiba mpya na itapatikana tu kama hutaki kaa pembeni KATIBA MPYA LAZIMA.

Samahani, eti kura ya maoni lini vile?
MUULIZE HUYU MBWIGA MTOTO WA LUMUMBA aka BUKU7

ETIII KURA YA MAONI NI LINI VILEEE???
 
Naona kijana unachanganya frequencies humu ndani, kama hauna jipya nakushauri utulie ama ulale tu, matuc huko huko kwenu, hapa ni nondo za ukweli tuu, ukiweka matuc watu wanajua umeishiwa hoja na unahitaji kumpumzika.
Kuna neno la tusi hapo? Aidha hayo matusi ndio uliyoyategemea?
Kuambiwa kuwa umekuwa ukileta mada hii kwa njia tofauti ni tusi? Huna jambo jengine la maana kwa vile wengi walishasema kuwa wanasusia hiyo katiba nalo ni tusi kwako?
Naishiwa vipi na hoja kwa kukumbusha kuwa wewe na Sitta mnao uhuru wa kuipitisha hiyo katiba?
Naona kama wewe ndie ulioishiwa na hoja.
 
MUULIZE HUYU MBWIGA MTOTO WA LUMUMBA aka BUKU7

ETIII KURA YA MAONI NI LINI VILEEE???
Wewe dekio la chooni huna jipya, utaendelea kuwa mtumwa wa Ukawa mpaka kufa kwako, hutopata hata uongozi, kama uliahidiwa huo ungozi, labda hizo jero jero unaweza pata ili upate mlo hapo kwenu.
 
Kuna neno la tusi hapo? Aidha hayo matusi ndio uliyoyategemea?
Kuambiwa kuwa umekuwa ukileta mada hii kwa njia tofauti ni tusi? Huna jambo jengine la maana kwa vile wengi walishasema kuwa wanasusia hiyo katiba nalo ni tusi kwako?
Naishiwa vipi na hoja kwa kukumbusha kuwa wewe na Sitta mnao uhuru wa kuipitisha hiyo katiba?
Naona kama wewe ndie ulioishiwa na hoja.
Mliopo kwa niaba ya kushibisha matumbo yenu kwa ahadi za jero jero toka kwa Ukawa mnajulikana tu humu ndani, mko kupinga kila kia kujifanya mnajua mambo kumbe sifuri tu kichwani.
 
Aisee heshima yako inatokana na mchango ulioutoa kulingana na hoja husika, sasa wewe hapa umeongea nini mbona hueleweki?unaposema wengi walishatoa kibali kwa wao kufanya watakavyo unamaanisha nini? Jenga hoja tukuelewe!
Heshima inatokana na mchango uliotowa? Yaani unapolazimisha jambo kwa wenzako ndio unajenga heshima kwao?
Kuhusu la wewe kuelewa ninachosema si tabu nitakuelewesha kama unataka.
Ni hivi , huu mchakato una sehemu mbili na zilihitajika sehemu mbili hizi ziafikiane, lakini sehemu moja ikaamuwa kutumia ubabe na kufanya sehemu ya pili kususia.
Ulisema kitu heshima na hapa hiyo heshima haikupatikana.
Hivyo basi niliposema kuwa huyo mtowa mada na Sitta wanaweza kuendelea na mchakato badala ya kuja hapa na kujaribu kununua watu nilikusudia kuwa hakuna maana ya kulobi iwapo nguvu zilishatumika.
 
Katiba inayopendekezwa ndo jambo la maana, we unataka lipi tena?
Mimi kwa kutambuwa kuwa hii katiba ni jambo kubwa na la maridhiano basi ingependekezwa na wengi badala ya ubabe na uongo uliotumika kuitengeneza.
 
Heshima inatokana na mchango uliotowa? Yaani unapolazimisha jambo kwa wenzako ndio unajenga heshima kwao?
Kuhusu la wewe kuelewa ninachosema si tabu nitakuelewesha kama unataka.
Ni hivi , huu mchakato una sehemu mbili na zilihitajika sehemu mbili hizi ziafikiane, lakini sehemu moja ikaamuwa kutumia ubabe na kufanya sehemu ya pili kususia.
Ulisema kitu heshima na hapa hiyo heshima haikupatikana.
Hivyo basi niliposema kuwa huyo mtowa mada na Sitta wanaweza kuendelea na mchakato badala ya kuja hapa na kujaribu kununua watu nilikusudia kuwa hakuna maana ya kulobi iwapo nguvu zilishatumika.

Acha uongo wako wewe, hao wanaojiita Ukawa walisusia wao wenyewe wakidhani watabembelezwa, katiba hii imeshapita wewe acha kupoteza muda wako kijana, acha kuwa mfagio kama ule wa chooni kisa unalipwa jero jero na ukawa.
 
Mliopo kwa niaba ya kushibisha matumbo yenu kwa ahadi za jero jero toka kwa Ukawa mnajulikana tu humu ndani, mko kupinga kila kia kujifanya mnajua mambo kumbe sifuri tu kichwani.
Te he he! Kama ni sufuri basi kama nyinyi ni yai, kwani angalau sifuri inatia hesabu lakini yai haliwezi kuingia kwenye hesabu.
Yaani unahisi mimi kuwa na wazo tofauti na mtu kama wewe ( usiyejuwa kuwa kitu cha haki hakihitaji kufanyiwa ulaghai na ubabe kukileta), unahisi nachumia tumbo? La , mimi nahisi kama watu kama nyinyi mnafaa sifa hiyo.
 
muone hata kujitambua hujitambui.... Hujijui upo wapi unaenda wapi?
Mimi ni muasisi wa chadema kadi no. Ooo665 mwaka 1992 nadhani hapa baba yako alikuwa bado anahangaika kukutafuta kukuleta duniani:mimba:


muasisi atakua wewe hata nidhamu huna,uliza waasisi makini wa chama wako wapi,angalia kama wana kelele kama ulizonazo wewe kujishushia heshima,usigeuze chama genge la mateja,kwanza huna sifa za kuwa mwasisi kula ugali upumzike kijana.
 
Te he he! Kama ni sufuri basi kama nyinyi ni yai, kwani angalau sifuri inatia hesabu lakini yai haliwezi kuingia kwenye hesabu.
Yaani unahisi mimi kuwa na wazo tofauti na mtu kama wewe ( usiyejuwa kuwa kitu cha haki hakihitaji kufanyiwa ulaghai na ubabe kukileta), unahisi nachumia tumbo? La , mimi nahisi kama watu kama nyinyi mnafaa sifa hiyo.

mwanaharakati makini huwa hana papala wala mabisha o yasiyokuwa na maana,ukikuta kelele ujue hakuna kitu na ujue unajenga hoja kwa mtu asiyejitambua anayependa kulazimisha mambo hapa hatujadili ulaghai we relay on points ukishindwa unaondoka kiungwana na sio kupiga kelele.
 
Acha uongo wako wewe, hao wanaojiita Ukawa walisusia wao wenyewe wakidhani watabembelezwa, katiba hii imeshapita wewe acha kupoteza muda wako kijana, acha kuwa mfagio kama ule wa chooni kisa unalipwa jero jero na ukawa.
Kwanza mimi si kijana kama unavyodhani. Pengine uelewa kuwa mimi si kama wewe unaeendeshwa kwa kumuangalia nani kasema nini. Mimi ni muelewa wa mambo na sio mdandia basi. Njoo na hoja na uache mambo ya ukawa au usahani.
 
mwanaharakati makini huwa hana papala wala mabisha o yasiyokuwa na maana,ukikuta kelele ujue hakuna kitu na ujue unajenga hoja kwa mtu asiyejitambua anayependa kulazimisha mambo hapa hatujadili ulaghai we relay on points ukishindwa unaondoka kiungwana na sio kupiga kelele.
Unazo points za kuzijadili bwana mwanaharakati makini?Nakukaribisha!
 
Siku zote kizuri chajiuza na kibovu hunadiwa kwa juhudi kweli kweli na kisinunulike kama no katiba bora hebu kaeni kimya muwachie wananchi xaxa muone watakavyo waumbueni nakatiba yenu!

Sasa wewe unawaambia hao "hebu kaeni kimya muwaachie wananchi sasa muone watakavyowaumbueni" mmh sasa ina maana wewe hapa hauhusiki na hili suala?inakuaje ujitoe au huna sifa? Kwa nini ujitenge as if halikuhusu,eleza hapa!
 
Siku zote kizuri chajiuza na kibovu hunadiwa kwa juhudi kweli kweli na kisinunulike kama no katiba bora hebu kaeni kimya muwachie wananchi xaxa muone watakavyo waumbueni nakatiba yenu!

Watanzania tuna akili sana na mwaka huu hatudanganyiki,hiyo Rasimu ya babu Warioba sio Katiba hatudanganyiki tunayoijua ni Katiba inayopendekezwa!!!Hatudanganyiki nasema tena tunajitambua na tunaamua sawasawa!

Wewe hujui unalolifanya humu ndani,msimamo wa UKAWA ni katiba mpya iwe mvua iwe jua,MSIMAMO WA WATANZANIA NI katiba mpya iwe jua iwe mvua uwe usiku au mchana,sasa wewe unayetaka kuturudisha nyuma ni nani sisi tunataka katiba mpya na itapatikana tu kama hutaki kaa pembeni KATIBA MPYA LAZIMA.

Samahani, eti kura ya maoni lini vile?

Kwanza mimi si kijana kama unavyodhani. Pengine uelewa kuwa mimi si kama wewe unaeendeshwa kwa kumuangalia nani kasema nini. Mimi ni muelewa wa mambo na sio mdandia basi. Njoo na hoja na uache mambo ya ukawa au usahani.
mkuu ngekewa hili ndio tatizo la vitoto vya dotcom ni sheedah yaani sheeeedah!! havina tofauti na kuku wa kidhungu
 
Back
Top Bottom