Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili wewe, unaonekana kabisa hupu humu kimaslai ya tumbo lako, kiufupi wewe ni mchumia tumbo ulotumwa na Ukawa. Kaa kimya kwani usipo mheshimu ye anakufa? Tumia akili wewe.sijui mtoa mada umekula maharage ya wapi nilikuwa nakuheshimu sikuheshimu tena mpuuzi wewe.
sijui mtoa mada umekula maharage ya wapi nilikuwa nakuheshimu sikuheshimu tena mpuuzi wewe.
Wewe ulikwishakuvua viatu na post zako 1211 mbona huna jipya naona umejaza saver ya JF afu kinachokuuma nini?watu kama nyie msiopenda mabadiliko ndo mnaligharimu taifa! Ungekua na maana kama ungeargue na kujibu hoja kuonyesha ukomavu wa post zako! Suala la msingi hapa ni kura ya maoni kwa Katiba inayopendekezwa mbayo kimsingi haiepukiki ungekenga msingi wako hapo kidogo ningeanza kukufikiria! Unajaribu kupima kina cha mto kwa macho.
Kijana Utolole kubali ukweli acha unishi, ni kweli wewe wala hwkuna unachofanya humu kazi yako ni kuuza sura tu.Nafikiri kwa upeo wako huwezi kuelewa kile nitakachoongea, hivyo naamua kuacha. kama unadhani fahamu zimekurudia kidogo, rudi nyuma uanzie post yangu iliyosababisha udai kuwa sina la kufanya humu JF. kifupi wewe ndio umeanza kushambulia hoja yangu kwa kudai sina ninachofanya humu badala ya kuijibu kwa hoja mbadala. kifupi wewe uwezo wako wa kutafakari hoja bado mdogo, na kama si hivyo, basi ushabiki unakuharibu.
Kijana acha ubishi, naona jamaa hakukosea kukwambia kuwa uko humu jf kuuza sura tuNafikiri kwa upeo wako huwezi kuelewa kile nitakachoongea, hivyo naamua kuacha. kama unadhani fahamu zimekurudia kidogo, rudi nyuma uanzie post yangu iliyosababisha udai kuwa sina la kufanya humu JF. kifupi wewe ndio umeanza kushambulia hoja yangu kwa kudai sina ninachofanya humu badala ya kuijibu kwa hoja mbadala. kifupi wewe uwezo wako wa kutafakari hoja bado mdogo, na kama si hivyo, basi ushabiki unakuharibu.
Kijana acha ubishi, naona jamaa hakukosea kukwambia kuwa uko humu jf kuuza sura tu
Kwa hiyo wewe na huyo mwenzio mmeajiriwa kuuza katiba ambayo mnadai ni ya wananchi? Kama kweli ni ya wananchi, iweje mnatumia nguvu nyingi kuipigia debe namna hiyo enyi watoto wa Jk, a.k.a. dotcom? Kama ni nzuri watu wataipigia kura kwa kadiri ya uzuri wake. Acheni mihemuko. Mnatoa povu as if katiba mpya isipopatikana nchi itaangamia, kwani muda wote huo nchi ilikuwa inaendeshwa na katiba gani?
Nafikiri kwa upeo wako huwezi kuelewa kile nitakachoongea, hivyo naamua kuacha. kama unadhani fahamu zimekurudia kidogo, rudi nyuma uanzie post yangu iliyosababisha udai kuwa sina la kufanya humu JF. kifupi wewe ndio umeanza kushambulia hoja yangu kwa kudai sina ninachofanya humu badala ya kuijibu kwa hoja mbadala. kifupi wewe uwezo wako wa kutafakari hoja bado mdogo, na kama si hivyo, basi ushabiki unakuharibu.
SIDANGANYIKI narudia tena sidanganyiki sasa ni wakati wa kufanya maamuzi sahihi mimi kama kijana nimejitambua kutumika tena basi 2000-2005 tulitumika holaaa, 2005-2010 holaa,2010-2015 holaaaaaaaaaa nakwambia sidanganyiki eti leo wanaataka niungane na vijana wengine kupinga ujio wa katiba mpya hata hawanipati jitambue wewe acha kuburuzwa!!
Nani kakuambia Katiba inauzwa???acha fikra potofu wewe nyie ndo wale ambao mkipewa madaraka mnauza nchi na watu wake, unawaza kufanya biashara!kwa taarifa yako katiba haiuzwi Katiba ndo sheria Kuu ya nchi sasa itauzwaje???kikubwa isome na uielewe na ukae utafakari kwa nini wananchi waliazimia mioyoni mwao kuwa wanataka katiba mpya?afu wewe leo unaongea nini acha kuchepukia shimoni wewe!
Tumeshazoelea ubabe lakini iko siku sauti za wanyonge zitapasuwa masikio yenu. After all hata huo mchakato mliukataa mwanzo na mkazidiwa na sauti za wanyonge.Katiba usipime, najua itapatikana tu hata kama mkisinzia au mkiamka itakuja tu!!
Nani anayataka madaraka yenu? To hell with it! Ila sitaacha kusema nikiona mnatupeleka chaka!
Tumeshazoelea ubabe lakini iko siku sauti za wanyonge zitapasuwa masikio yenu. After all hata huo mchakato mliukataa mwanzo na mkazidiwa na sauti za wanyonge.
Mimi ni mwananchi wa kawaida kama wewe acha kunivika kilemba cha ukoko wewe hata sikuelewi,kuwa mzalendo na usipende kutumika kuivuruga nchi yako!
Kumbe wewe lengo lako ni maslahi? Ulikuwa 'unatumika' ili upate madaraka? kwa hiyo baada ya kuona awamu zote hizo upinzani haujafanikiwa kushika dola umeamua kurejea au kujiunga na chama tawala ili ule mema ya nchi? Hongera sana. Ila kumbuka Asiyekubali kushindwa sio mshindani kama signature yako inavyojieleza...na pia naona umeona walioko juu (CCM) wamekataa kushuka umeamua uwafuate huko huko. kwa nini using'oe mizizi ya mti huo wa uovu ili jamaa waanguke na mti wao? Acha kuwa na msimamo goigoi wewe!
Acha kkukurupuka soma hoja vizuri uelewe!kama wewe ni kijana utajua nafasi ya vijana katika masuala ya siasa,nafasi ya vijana na ushiriki wao katika kufanikisha masuala mbalimbali ya vyama na kampeni, maandamano kwani umeshawahi kuona wazee wanaandamana?kama hulijui hilo basi umevamia mada wewe na huna chama!nachokisema hapa Utotole wewe unatumika vibaya jitambue mwaka huu tunaipigia kura Katiba hayo mambo ya kushadadia Siasa sisizo na tija sasa basi! Jitambue.
Eti nini? wanaharakati wanaweza kuwa hata kundi lenu mnaofanya harakati za ubabe. Wewe kataa kuwa hakuna wanyonge lakini mwisho wa siku wenye nguvu huwa wanafanya wanavyotaka. Nielewavyo mimi ni kuwa anaekubali kuonewa kwa sababu ya ubabe wa mtu huyo huwa mnyonge.Usijifariji wewe Tanzania haina wanyonge, wewe ndo myonge peke yako usiyetaka kukubali mabadiliko!nani kakuambia wanyonge wanafanya mabadiliko??? Hata kidogo bora ungesema wanamageuzi, wanaharakati, umma n.k sio wanyonge hujui unachangia nini pole!!
Eti nini? wanaharakati wanaweza kuwa hata kundi lenu mnaofanya harakati za ubabe. Wewe kataa kuwa hakuna wanyonge lakini mwisho wa siku wenye nguvu huwa wanafanya wanavyotaka. Nielewavyo mimi ni kuwa anaekubali kuonewa kwa sababu ya ubabe wa mtu huyo huwa mnyonge.