Chadema hawana akili waliambiwa waache kumchafua Magufuli wakakataaUlikuwa safari (one way), lakini ukashuhudia mamia ya mabasi kutoka pande zote yakielekea Rorya.
Hizo pande zote ulifanikiwa kuziona ukiwa unaendelea na safari yako.?
Una uwezo mkubwa sana.
Wanashinikizwa na nani?Jana nilikuwa na safari ya kutoka Tarime kuja Mwanza na njiani nikashuhudia buses mamia kwa mamia yakielekea pande zote za Wilaya ya Rorya na Tarime yakisomba watu kuja kwenye mkutano wa Makonda.
Msidanganyike, kumbe kujaa kwa watu kwenye mkutano wa Makonda siyo kwa hiari ya wananchi bali wanashinikizwa kuhudhuria mikutano hiyo.
Mkuu, hilo wala usibishe kabisa. Ni utaratibu unaoratibiwa na ofisi za chama, watu wanakusanywa ofisi za kata then magari yanapita kubeba. Wengi hawaendi kwa hiari yao na kwa gharama zao mwenyewe.hv hii kukusanya watu kupeleka mikutanoni kujaza watu mnaonaga ni kazi rahisi kama kuchota maji kisimani eeh?
yani watu mnawachukulia kama n mchele hv au mchanga wanachotwa wanapelekwa, ingekua rahisi hivyo hamna chama kingeshindwa fanya huo mchezo.
wewe na akili yako ubebwe twende ukashangae mkutano inakujia? Watu hao wanaenda wenyewe kwa mapenzi yao habebwi mtu hapo we endelea jidanganya.
ROPAGANDA ZA KITOTO SANA HIZO UNATUMIA YAANI MTU NA AKILI ZAKO TIMAMU UNASHURUTISHWAJE MPAKA UNAINGIA KWENYE BASI KWENDA MKUTANONI? HAKUNA KITU KAMA HICHO WATUY WANAENDA WENYEWE KWA HIARI YAOJana nilikuwa na safari ya kutoka Tarime kuja Mwanza na njiani nikashuhudia buses mamia kwa mamia yakielekea pande zote za Wilaya ya Rorya na Tarime yakisomba watu kuja kwenye mkutano wa Makonda.
Msidanganyike, kumbe kujaa kwa watu kwenye mkutano wa Makonda siyo kwa hiari ya wananchi bali wanashinikizwa kuhudhuria mikutano hiyo.
Msidanganyike, kumbe kujaa kwa watu kwenye mkutano wa Makonda siyo kwa hiari ya wananchi bali wanashinikizwa kuhudhuria mikutano hiyo.[emoji375][emoji419][emoji375]Jana nilikuwa na safari ya kutoka Tarime kuja Mwanza na njiani nikashuhudia buses mamia kwa mamia yakielekea pande zote za Wilaya ya Rorya na Tarime yakisomba watu kuja kwenye mkutano wa Makonda.
Msidanganyike, kumbe kujaa kwa watu kwenye mkutano wa Makonda siyo kwa hiari ya wananchi bali wanashinikizwa kuhudhuria mikutano hiyo.
Kumbee !!Jana nilikuwa na safari ya kutoka Tarime kuja Mwanza na njiani nikashuhudia buses mamia kwa mamia yakielekea pande zote za Wilaya ya Rorya na Tarime yakisomba watu kuja kwenye mkutano wa Makonda.
Msidanganyike, kumbe kujaa kwa watu kwenye mkutano wa Makonda siyo kwa hiari ya wananchi bali wanashinikizwa kuhudhuria mikutano hiyo.
Kwahiyo waliopokuomba uwatetee wanaosombwa ukafanyaje?Jana nilikuwa na safari ya kutoka Tarime kuja Mwanza na njiani nikashuhudia buses mamia kwa mamia yakielekea pande zote za Wilaya ya Rorya na Tarime yakisomba watu kuja kwenye mkutano wa Makonda.
Msidanganyike, kumbe kujaa kwa watu kwenye mkutano wa Makonda siyo kwa hiari ya wananchi bali wanashinikizwa kuhudhuria mikutano hiyo.
Unaijua jiografia ya Tarime na Rolya? Chunguza utaelewa maana yuko sahihihili swal lina fikirisha
Wewe bwana we! Hata ubwabwa waweza kumtoa mwanaccm kilometa 40 kwa gari ya bure akaenda.Hivi umesoma ulichoandika kweli ndugu yangu???
Watu wanaenda kwa hiari yao, haya maisha yalivyo magumu mtu hawezi kuacha kazi zake eti aende kwenye mkutano bila kuwa na sababu za msingi.
Labda niombe tu kufahamu, hao watu uliwasimamisha mmoja baada ya mwingine wakakwambia wamelazimishwa kwenda???
We ujui kitu, kipindi Cha sakata la bandari katibu mkuu CCM Chongolo alikuwa na mkutano singida mikoa yote ya jirani walienda Kwa kusombwa, jamaa yangu ambae ni kiongozi wa uvccm aliporudi alilaani sana baada ya kugundua waliitiwa kutetea kuuzwa bandari wakati yeye alikuwa anaamini chama chake wameuza bandari.P
ROPAGANDA ZA KITOTO SANA HIZO UNATUMIA YAANI MTU NA AKILI ZAKO TIMAMU UNASHURUTISHWAJE MPAKA UNAINGIA KWENYE BASI KWENDA MKUTANONI? HAKUNA KITU KAMA HICHO WATUY WANAENDA WENYEWE KWA HIARI YAO
Jana nilikuwa na safari ya kutoka Tarime kuja Mwanza na njiani nikashuhudia buses mamia kwa mamia yakielekea pande zote za Wilaya ya Rorya na Tarime yakisomba watu kuja kwenye mkutano wa Makonda.
Msidanganyike, kumbe kujaa kwa watu kwenye mkutano wa Makonda siyo kwa hiari ya wananchi bali wanashinikizwa kuhudhuria mikutano hiyo.
Japo kaongea kile kinachofanyika kweli ila katupiga hapo kwenye kila pande 😂😂😂Ulikuwa safari (one way), lakini ukashuhudia mamia ya mabasi kutoka pande zote yakielekea Rorya.
Hizo pande zote ulifanikiwa kuziona ukiwa unaendelea na safari yako.?
Una uwezo mkubwa sana.
Mkuu unapoona chama chochote kinakaa madarakani muda mrefu kwa shuruti, halaiki za kutengeneza kwa mabavu ya Dola za hivyo ni vitu vya kawaida. Wajinga tu ndio wanadanganyika na hilo nyomi fake. Yaani hilo nyomi la huyo muhalifu halina tofauti na makalio ya mloganzila.Jana nilikuwa na safari ya kutoka Tarime kuja Mwanza na njiani nikashuhudia buses mamia kwa mamia yakielekea pande zote za Wilaya ya Rorya na Tarime yakisomba watu kuja kwenye mkutano wa Makonda.
Msidanganyike, kumbe kujaa kwa watu kwenye mkutano wa Makonda siyo kwa hiari ya wananchi bali wanashinikizwa kuhudhuria mikutano hiyo.