Kujaa kwa watu kwenye mkutano wa Makonda

we ungepakiwa ungeenda,?
Swali la akili sana kutoka kwa great thinker๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜, akijibu hapana ina maana hata hao kama wangekuwa hawataki nao wasingeenda, makonda ana hela gani ya kuwahonga maelfu ya watu wahudhurie mikutane yake?
 
Hivi CCM ikiwa inafanya mkutano wa hadhara eneo fulani, wenye wajibu wa kwanza kufika mkutanoni si wanachama wa CCM wa eneo hilo na maeneo jirani?


Usafiri wa jumuiya unasaidia kubeba watu wengi kwa wakati mmoja na kuokoa muda.
 
Acha ujinga hizo basi mamia kwa mamia hakuna huko rorya.
 
Wewe hukushinikizwa?

Umekosea kidogo, fanya editing; Wenzako huwa wanwandika "watu wanasombwa na malori".
 
Yani ulikuwa safar lakini ukiwa kwenye usafiri ukajua kuwa watu wanafosiwa na magari kila upande yalokuwa yanapita yalikuwa yanaenda kwa makonda doh
 
Sasa mtu mara anakuja na lori
Mara ngamia, mara baiskeli mara boda
Kwanini wasijae

Ova
Sasa mwambie mbowe aache kulialia kuwa hana mafuta ya chopa apande hata punda watu watajaa tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ