Kujali Majanga ya ajali kama Kariakoo Rais Samia ajifunze toka Rwanda kwa Kagame 9/Mei/2011

Kujali Majanga ya ajali kama Kariakoo Rais Samia ajifunze toka Rwanda kwa Kagame 9/Mei/2011

Nandagala One

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2020
Posts
1,913
Reaction score
2,286
Wananajamii forum,heshima kwenu.

Ajali ya Jengo Kariakoo kuanguka,kwa maoni yangu kulikuwa kuchelewa kufanya juhudi kwa haraka Serikali hasa JWTZ wakati wa majanga.

Vifaa sahihi, watu sahihi kwa majanga walichelewa kuja, na kuanza kazi yao.

Ambassador choir of Christ wa wa Rwanda walipata ajali mbaya sana KahamaTanzania , coster yao kugongana na Lori na kusababaisha vifo vitatu vya wanakwaya Amosi, Philbert Manzi na Gatare Ephraim,ambao walikuwa kwenye ministry yao ya kuimba nyimbo za Injili.

CHA KUJIFUNZA,
Baada ya ajali kutokea wakati Kagame alitumia Chopper ya jeshi la Rwanda ndani ya dakika 50 kuja kuchukua majeruhi wakapate matibabu ya haraka nchini Rwanda.

Jana ajali imetokea Tanzania mkuu wa Mkoa na Serikali kiujumla imeshindwa kuleta vifaa na wataalamu sahihi wakati wa majanga.

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa


Kuchelewa kuleta vifaa sahihi kwa wakati kumesababisha vifo ambavyo labda visingetokea au vingepungua kama vifaa na wataalamu wa majanga

Namalizia kwa story ya kweli, ng'ombe wa bwana mkubwa nmmoja miaka ya 2000-2010 walipotea kadhaa kwenye lunch huko wilaya Moja ya Tanga wakawa hawaonekani,zaidi bya ng'ombe 15.

Ikaja helicopter ikawa inawatafuta katika ile lunch mpaka wakaonekana wote.

Rwanda Kagame anatoa chopper kuchukua raia wake, Tz Rais anawahi mkutano Brazil, Tz wanajeshi wataalamu wa majanga wanachelewa while Kuna makambi ya jeshi Karibu Sanaa,

Tupo katika Jamii na nyakati ambao Viongozi waliopewa dhamana hawajali sana raia wao.

Hadhi ya raia ni sawa na PANYA na DIGIDIGI, Ila siku janga litakapo husisha nasaba za karibu na Viongozi haitakuwa hivyo.

Watanzania tuamke, hiki Chama CCM, kimezeeka,ni wakati sasa wa kuwaelewa Viongozi wetu, kwamba uwezo wao umeishia hapo.

Albert Chalamilia,RC alitakiwa afanye mobilization kwa nafasi yake kama Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama ya Mkoa.

Badala yake tumeona ma VXL ya serikali ambayo hayakuwa na msaada wowote ule.

Narudia Samia , Serikali mnajifunza nini kutoka Rwanda kwa Kagame 9/Mei/2011??🤔🤔🤔

Niwatakie Jumapili njema ya 33 ya Mwaka B wa Kanisa.
 
Wananajamii forum,heshima kwenu.

Ajali ya Jengo Kariakoo kuanguka,kwa maoni yangu kulikuwa kuchelewa kufanya juhudi kwa haraka Serikali hasa JWTZ wakati wa majanga.

Vifaa sahihi, watu sahihi kwa majanga walichelewa kuja, na kuanza kazi yao.

Ambassador choir of Christ wa wa Rwanda walipata ajali mbaya sana KahamaTanzania , coster yao kugongana na Lori na kusababaisha vifo vitatu vya wanakwaya Amosi, Philbert Manzi na Gatare Ephraim,ambao walikuwa kwenye ministry yao ya kuimba nyimbo za Injili.

CHA KUJIFUNZA,
Baada ya ajali kutokea wakati Kagame alitumia Chopper ya jeshi la Rwanda ndani ya dakika 50 kuja kuchukua majeruhi wakapate matibabu ya haraka nchini Rwanda.

Jana ajali imetokea Tanzania mkuu wa Mkoa na Serikali kiujumla imeshindwa kuleta vifaa na wataalamu sahihi wakati wa majanga.

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Kuchelewa kuleta vifaa sahihi kwa wakati kumesababisha vifo ambavyo labda visingetokea au vingepungua kama vifaa na wataalamu wa majanga

Namalizia kwa story ya kweli, ng'ombe wa bwana mkubwa nmmoja miaka ya 2000-2010 walipotea kadhaa kwenye lunch huko wilaya Moja ya Tanga wakawa hawaonekani,zaidi bya ng'ombe 15.

Ikaja helicopter ikawa inawatafuta katika ile lunch mpaka wakaonekana wote.

Rwanda Kagame anatoa chopper kuchukua raia wake, Tz Rais anawahi mkutano Brazil, Tz wanajeshi wataalamu wa majanga wanachelewa while Kuna makambi ya jeshi Karibu Sanaa,

Tupo katika Jamii na nyakati ambao Viongozi waliopewa dhamana hawajali sana raia wao.

Hadhi ya raia ni sawa na PANYA na DIGIDIGI, Ila siku janga litakapo husisha nasaba za karibu na Viongozi haitakuwa hivyo.

Watanzania tuamke, hiki Chama CCM, kimezeeka,ni wakati sasa wa kuwaelewa Viongozi wetu, kwamba uwezo wao umeishia hapo.

Albert Chalamilia,RC alitakiwa afanye mobilization kwa nafasi yake kama Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama ya Mkoa.

Badala yake tumeona ma VXL ya serikali ambayo hayakuwa na msaada wowote ule.

Narudia Samia , Serikali mnajifunza nini kutoka Rwanda kwa Kagame 9/Mei/2011??🤔🤔🤔

Niwatakie Jumapili njema ya 33 ya Mwaka B wa Kanisa.
Ajali hii ya kuporomoka kwa jengo huko Kariakoo imeivua nguo tena Serikali ya Tanzania kwa mara nyingine tena.

Ajali ya kudondoka kwa ndege ya Precision Air kule Bukoba, Serikali haikujifunza kitu!

Ajali ya maporomoko ya matope kule Hanang mkoani Manyara, Serikali haikujifunza kitu!

Na ajali nyingine nyingi ambazo zimewahi kutokea, nazo Serikali haikujifunza kitu!

Serikali hii ni kama sikio la kufa ambalo halisikii dawa. Badala ya kununua vifaa vya uokozi kwa ajili ya utayari wa kupambana na majanga, yenyewe inanunua silaha za kijeshi ili kupambana na Waandamanaji kwa lengo la kulinda utawala usiondolewe madarakani! Yaani ni hovyo kabisa nchi hii.
 
Wananajamii forum,heshima kwenu.

Ajali ya Jengo Kariakoo kuanguka,kwa maoni yangu kulikuwa kuchelewa kufanya juhudi kwa haraka Serikali hasa JWTZ wakati wa majanga.

Vifaa sahihi, watu sahihi kwa majanga walichelewa kuja, na kuanza kazi yao.

Ambassador choir of Christ wa wa Rwanda walipata ajali mbaya sana KahamaTanzania , coster yao kugongana na Lori na kusababaisha vifo vitatu vya wanakwaya Amosi, Philbert Manzi na Gatare Ephraim,ambao walikuwa kwenye ministry yao ya kuimba nyimbo za Injili.

CHA KUJIFUNZA,
Baada ya ajali kutokea wakati Kagame alitumia Chopper ya jeshi la Rwanda ndani ya dakika 50 kuja kuchukua majeruhi wakapate matibabu ya haraka nchini Rwanda.

Jana ajali imetokea Tanzania mkuu wa Mkoa na Serikali kiujumla imeshindwa kuleta vifaa na wataalamu sahihi wakati wa majanga.

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa


Kuchelewa kuleta vifaa sahihi kwa wakati kumesababisha vifo ambavyo labda visingetokea au vingepungua kama vifaa na wataalamu wa majanga

Namalizia kwa story ya kweli, ng'ombe wa bwana mkubwa nmmoja miaka ya 2000-2010 walipotea kadhaa kwenye lunch huko wilaya Moja ya Tanga wakawa hawaonekani,zaidi bya ng'ombe 15.

Ikaja helicopter ikawa inawatafuta katika ile lunch mpaka wakaonekana wote.

Rwanda Kagame anatoa chopper kuchukua raia wake, Tz Rais anawahi mkutano Brazil, Tz wanajeshi wataalamu wa majanga wanachelewa while Kuna makambi ya jeshi Karibu Sanaa,

Tupo katika Jamii na nyakati ambao Viongozi waliopewa dhamana hawajali sana raia wao.

Hadhi ya raia ni sawa na PANYA na DIGIDIGI, Ila siku janga litakapo husisha nasaba za karibu na Viongozi haitakuwa hivyo.

Watanzania tuamke, hiki Chama CCM, kimezeeka,ni wakati sasa wa kuwaelewa Viongozi wetu, kwamba uwezo wao umeishia hapo.

Albert Chalamilia,RC alitakiwa afanye mobilization kwa nafasi yake kama Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama ya Mkoa.

Badala yake tumeona ma VXL ya serikali ambayo hayakuwa na msaada wowote ule.

Narudia Samia , Serikali mnajifunza nini kutoka Rwanda kwa Kagame 9/Mei/2011??🤔🤔🤔

Niwatakie Jumapili njema ya 33 ya Mwaka B wa Kanisa.
Hakuna logic hapo kwani Uokoaji hauendelei? Rais hawezi kuja siku hiyo hiyo ya tukio ,ametoa pole na anaratibu shughuli na anatoa taarifa wewe shida Yako ni yeye kuwa Brazil kikazi au?
 
Hakuna logic hapo kwani Uokoaji hauendelei? Rais hawezi kuja siku hiyo hiyo ya tukio ,ametoa pole na anaratibu shughuli na anatoa taarifa wewe shida Yako ni yeye kuwa Brazil kikazi au?
Hujaelewa chochote, nahis hata maana ya concept Logic hujui kabisa.
Umeokota wapi hilo neno? Ukatumia bila kujua maana??
 
Back
Top Bottom