BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 482
Wanajamvi nina rafiki yangu kanijia na hii suala nimekosa jibu la kumpa: Anadai mumewake huwa anamwingilia kipindi akiwa kwenye siku zake za mwezi na kila mkatazapo ugomvi wake ni balsa sasa anauliza kuna madhara yeyote atakayo yapata yeye kutokana na hiyo tabia ya mumewe au mwanaume atapata madhara kutokana na kujamiana kipindi cha hedhi?
Mume anasema kipindi cha hedhi anapata joto lisilo lakawaida huko kunako na ndio raha yake.
Naomba kuwakilisha
Mume anasema kipindi cha hedhi anapata joto lisilo lakawaida huko kunako na ndio raha yake.
Naomba kuwakilisha