Kujamiina (sex) ilikuaje ukapata Hadhi hivi

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Yaan hata uwe Brigedia sijui Jaji Mkuu wa dunia. Linapokuja suala la kujaamiiana Lazima uwe mpole na kufuata PROTOCOLS zote 7 sawa Bodaboda,masela jobless kijiweni au konda tu
NB: Siku ya UTELEZI duniani
 

Attachments

  • 346730951a2f43a3a303e2c325f936ab.jpg
    118 KB · Views: 6
  • FB_IMG_1671425687020.jpg
    46.3 KB · Views: 7
  • images (6).jpeg
    29.4 KB · Views: 7
Swali la Kisengelemaaaaa.
 
Hata Mimi namuona huyu Jamaa Ni mjinga Sana , binafsi Mimi kujamiana Hilo Jambo nalichukulia Kama Uchafu kwa imani yangu gheto langu haruhusiwi kuingia mgeni wa Kike

Safi sana

Sasa ikitokea kaja gafla inakuwaje?
 
Hata Mimi namuona huyu Jamaa Ni mjinga Sana , binafsi Mimi kujamiana Hilo Jambo nalichukulia Kama Uchafu kwa imani yangu gheto langu haruhusiwi kuingia mgeni wa Kike
Kwani mgeni wa kike akiingia ndo lazima umnyandue
 
U
Utamu unao wewe mwenyewe.
Lile joto ni mavi tu.
Anayebisha amwambie mke/mpenzi wake akanye halafu wadanye jimai kama atasikia joto
Nashangaa Mtu anaposema utamu ,wakati utamu Mtu anao mwenyewe nafikiri nchi zetu za Dunia ya tatu hazina watu wenye IQ kubwa Kama yako that way kwao ngono ni hitaji la muhimu.
 
U

Nashangaa Mtu anaposema utamu ,wakati utamu Mtu anao mwenyewe nafikiri nchi zetu za Dunia ya tatu hazina watu wenye IQ kubwa Kama yako that way kwao ngono ni hitaji la muhimu.

[emoji23][emoji23][emoji23] et utamu ano mwenye [emoji23][emoji23][emoji23] jama wwewe
 
Siyo kila tendo la sex lazima mhusika likuchanganye bhana.

Sex inayotekelezwa kiharamu ndiyo sex bora na yenye msisimko thabiti kuliko sex halali.

Sex inayotolewa kama hongo(rushwa), inayotolewa kwa ajili ya kufutia deni, inayotolewa kwa ajili ya kulipiza kisasi na inayotolewa kwa ajili ya upatanisho ni tamu sana kuzidi hizi mnazozipata kwa kulala na wake zenu.
 
Una shida wewe.

Bila uchafu ungezaliwa wewe.

Tena ukute umezaliwa kwa staili ya kifo cha mende.
Mimi ni mtu special Mungu kaniumba hivyo na kanipa Imani thabiti kuwa nikae mbali na Uchafu wa Ngono Maisha yangu yote now napambana niache Legacy tu kama anavyonipa wito.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…