Kujamiina (sex) ilikuaje ukapata Hadhi hivi

Kujamiina (sex) ilikuaje ukapata Hadhi hivi

Ngono ni muhimu ngono ni maisha.

Binadamu wa kwanza alifanya ngono.

Malaika walitoroka mbinguni waje kufanya ngono

Ngono imekufanya wewe uzaliwe

Unadhani mama yako angebana mapaja tungekupata wewe.


Usilete mitazamo ya ajabu.

MAISHA NI NGONO NA NGONO NDO MAISHA
We jamaa buana ngoja nikuelimishe.

Ngono ni sehemu tu ya maisha ya mwanadamu na sio kwamba ngono ndo maisha yenyewe.

Mungu kaweka ngono kama njia ya kuzaliana lakini kumbuka hapa duniani hujaja kuzaa tu una mambo mengi ya kufanya nje ya kuzaa.

Binadamu anapo zaliwa anahitaji vitu vingi ili kukamilisha maisha yake hapa duniani, na kila kitu kina nafasi yake na ndio maana huwezi kufanya ngono kama hujala chakula ukashiba na ili ushibe unahita pesa ili ununue chakula na huwezi kupata pesa ya kununulia hicho chakula bila kufanya kazi.

Ngono ni sehemu ndogo sana kwenye maisha ya mwanadamu na ndio maana ndani ya wiki unaweza jikuta umefanya ngono siku moja tu na penyewe kwa dakika zisizo zidi 40, sasa kitu unacho kifanya dakika 40 ndani ya wiki nzima utasemaje eti ndo maisha yenyewe?

Ukiona mtu anageuza kitu ambacho ni sehemu ndogo ya maisha yake na kukifanya kuwa ndo maisha menyewe jua huyo ni mpumbavu , na ni hasara kwa taifa lake na kizazi chake.
 
Mkuu Kuna Maisha utayafikia utaanza kuona real life nchi unayoishi ndo imekufanya kuwaza ngono 24/7 kwa sababu ya Umaskini wa fikra
Wacha zako wewe hata huko dunia ya kwanza wanawaza ngono kama kawaida
Reffer President Bill Clinton sex scandal

Haya Clinton nae alipomnyandua yule secretary wake nae alikua masikini

Achana na Clinton cheki watu kama Trump
Elon Musk wote hao ni wazee wa minyanduano.

Itakua una matatizo theni unajificha kwenye kichaka cha kusema ngono ni uchafu nenda kamwone doctor mapema kabla tatizo halijawa kubwa
 
Siyo kila tendo la sex lazima mhusika likuchanganye bhana.

Sex inayotekelezwa kiharamu ndiyo sex bora na yenye msisimko thabiti kuliko sex halali.

Sex inayotolewa kama hongo(rushwa), inayotolewa kwa ajili ya kufutia deni, inayotolewa kwa ajili ya kulipiza kisasi na inayotolewa kwa ajili ya upatanisho ni tamu sana kuzidi hizi mnazozipata kwa kulala na wake zenu.
True,ni ishu ya hisia zaidi,thus wanasema mke wa mtu mtamu,wanamaanisha lile tendo la kuiba ndio uleta utamu
 
Hata Mimi namuona huyu Jamaa Ni mjinga Sana , binafsi Mimi kujamiana Hilo Jambo nalichukulia Kama Uchafu kwa imani yangu gheto langu haruhusiwi kuingia mgeni wa Kike
Ya kweli haya mkuu.
 
Mimi ni mtu special Mungu kaniumba hivyo na kanipa Imani thabiti kuwa nikae mbali na Uchafu wa Ngono Maisha yangu yote now napambana niache Legacy tu kama anavyonipa wito.
Nataman ningekuwa kama wewe,maana hz tobo zinataka kunitoa kwenye ramani,kibaya zaidi nimeshaunganisha nazo damu tayar
 
Yaan hata uwe Brigedia sijui Jaji Mkuu wa dunia. Linapokuja suala la kujaamiiana Lazima uwe mpole na kufuata PROTOCOLs zote 6 kama Bodaboda au konda tu
Uliowataja sio binadamu?
 
Umasikini unaweza kukufanya kuwa mjinga na kuhisi ngono ni starehe
Unajua masikini happiness yao kubwa ni sex, na hawana kitu kingine cha kufurahia na ndiyo maana masikini ana watoto wengi kumzidi mtu tajiri, kauli yako inakinzana
 
Jamani modz kitengo cha ban wako vere vere. Kila anaecomment aangalie anachoandika humu. Weekend hii pipo zimekula ban za kushato. Beware❗❗
 
Sure %90 ya sisi masikini starehe Ni ngono na Pombe lakini siku ukipata goodlife huwezi kuabudu Anasa Bali utaishi Maisha yenye mfumo mzuri wa kujitenga na Uchafu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ni mtu special Mungu kaniumba hivyo na kanipa Imani thabiti kuwa nikae mbali na Uchafu wa Ngono Maisha yangu yote now napambana niache Legacy tu kama anavyonipa wito.
Hongera sana mkuu,niombee na mimi ili niuishi usafi kamili.
 
Back
Top Bottom