DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mimi ni mtu special Mungu kaniumba hivyo na kanipa Imani thabiti kuwa nikae mbali na Uchafu wa Ngono Maisha yangu yote now napambana niache Legacy tu kama anavyonipa wito.Una shida wewe.
Bila uchafu ungezaliwa wewe.
Tena ukute umezaliwa kwa staili ya kifo cha mende.
Ukipata muda nenda Mirembe ukikaa siku 42 wanaweza kugundua tatizo lako ni lipi.Mimi ni mtu special Mungu kaniumba hivyo na kanipa Imani thabiti kuwa nikae mbali na Uchafu wa Ngono Maisha yangu yote now napambana niache Legacy tu kama anavyonipa wito.
Umasikini unaweza kukufanya kuwa mjinga na kuhisi ngono ni stareheUkipata muda nenda Mirembe ukikaa siku 42 wanaweza kugundua tatizo lako ni lipi.
Hivi unajua utamu wa kunyanduana wewe...
Wewe ngono imekupatia faidi zipi tupe faida angalau tano ili tuone Kama ngono Ni muhimuSuala muhimu hivi halipo kwenye Katiba
Aisee hii ndo JF ngono 24/7Siyo kila tendo la sex lazima mhusika likuchanganye bhana.
Sex inayotekelezwa kiharamu ndiyo sex bora na yenye msisimko thabiti kuliko sex halali.
Sex inayotolewa kama hongo(rushwa), inayotolewa kwa ajili ya kufutia deni, inayotolewa kwa ajili ya kulipiza kisasi na inayotolewa kwa ajili ya upatanisho ni tamu sana kuzidi hizi mnazozipata kwa kulala na wake zenu.
Ngono ni muhimu ngono ni maisha.Umasikini unaweza kukufanya kuwa mjinga na kuhisi ngono ni starehe
Hoja mfu, usifananishe kula na kujamiiana.Hiyo ni nature, Kama Kula tu....
Lazima Ule ili uishi....
Lazima kujamiiana ili Kuwe Na muendelezo Wa Vizazi...
Mkuu Kuna Maisha utayafikia utaanza kuona real life nchi unayoishi ndo imekufanya kuwaza ngono 24/7 kwa sababu ya Umaskini wa fikraPunguzo la Stress
Jiongelee wewe sio MimiNgono ni muhimu ngono ni maisha.
Binadamu wa kwanza alifanya ngono.
Malaika walitoroka mbinguni waje kufanya ngono
Ngono imekufanya wewe uzaliwe
Unadhani mama yako angebana mapaja tungekupata wewe.
Usilete mitazamo ya ajabu.
MAISHA NI NGONO NA NGONO NDO MAISHA
Nchi imedata MkuuHoja mfu, usifananishe kula na kujamiiana.
Sometimes muwage mnachanganua vitu kabla ya kuongea.
Boraa hata mseme nyiee waja, yaan watu wana abudu ngono km pumzi khaaaah.Jiongelee ww usiwaongelee watu wengine, usidhani kila mtu ana abudu ngono kama ww.
Umaskini mbayaa sanaa yaan.Nchi imedata Mkuu
Sure %90 ya sisi masikini starehe Ni ngono na Pombe lakini siku ukipata goodlife huwezi kuabudu Anasa Bali utaishi Maisha yenye mfumo mzuri wa kujitenga na Uchafu.Umaskini mbayaa sanaa yaan.
Kaka unaongea point kubwa Sana, sema wazinzi hawawezi kukuelewa kwa maana wanahisi hatuko sawa.Umasikini unaweza kukufanya kuwa mjinga na kuhisi ngono ni starehe