Kujeni mnipe kampani

Kujeni mnipe kampani

"E="Khantwe, post: 32158283, member: 114064"]
Kilichonichosha sio mafua ndugu, siku ya leo nilikuwa na pilika nyingi mno
"
pole aisee,tafuta hata muvi uburudike, hapa utavuna stress na michosho tu Madame.[/QUOTE]I wish
 
Haswaaa
Wanawake wa dar ni kama kaka zao tu yaani unaumwa mafua tu unaanza kupiga mikelele na kudai umechoka wakati wenzako huku mkoani wanaumwa TB,Kwashakoo,pepopunda,surua,kichocho,degedege na kisonono lakini bado wanadunda tu na kazi ngumu wanafanya.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani Kaboom alikuwa wapi? Hajui majukumu yake eeeh!!!?
 
sasa unatangaza kuumwa mafua kwani kuna zahanati humu kama huna hela ya kujipeleka zahanati omba usaidiwe
 
sasa unatangaza kuumwa mafua kwani kuna zahanati humu kama huna hela ya kujipeleka zahanati omba usaidiwe
Yaani wewe evilspirit bora hata hukuja jana maana ungefanya usiku wangu kuwa mbaya sana
 
Back
Top Bottom