Kujiajiri kunaweza kuwa utumwa, mwaka wa tatu huu bampa to bampa kuamka alfajiri kurudi usiku, sina muda wa kutosha hata wa kupumzika na mtoto wangu

Kujiajiri kunaweza kuwa utumwa, mwaka wa tatu huu bampa to bampa kuamka alfajiri kurudi usiku, sina muda wa kutosha hata wa kupumzika na mtoto wangu

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Uhuru wa kuwa na muda wa kufanya mambo yako nao una umuhimu aisee.

Utamu wa ngoma ingia ucheze, usilewe na maneno matamu ya motivational speakers kujidanganya kwamba kila mtu aliejiajiri anaweza kuamua aamke saa ngapi, aende likizo wiki nzima mbugani, n.k. haya mambo wanaoyaweza ni kundi la watu wachache waliojiajiri, hapa utawakuta kina Mo, Bakhresa, na matajiri wengine walio invest ama kuweza kuajiri watu wa kusimamia miradi yao,

Kiuhalisia huku kwenye kujiajiri kundi kubwa ni day workers, yani hakuna uhuru wa kusema leo nilale hadi saa nne, nipumzike weekend nzima, niende likizo mbugani, n.k. yani kuamka ni almost kila siku asubuhi na kurudi ni usiku, hatupendi lakini inatulazimu

Ni mwaka wa tatu huu kwenda ofisini saa moja kurudi saa moja ama mbili ni mwendo mdundo bampa to bampa,

Naweza kusema nna nafuu siku pekee ya kumpumzika ni jumapili tu, nje ya hapo labda krismas na pasaka imeisha hio.

Muda wa kurudi ndio hivyo tena ni usiku yani hata kupata muda wa kuspend na mwanangu unakuwa limited, nikifika mimi nimechoka nae anakaribia kwenda kulala.
 
Kujiajiri nako unaweza kuwa mtumwa asikwambie mtu aisee.

Ni mwaka wa tatu huu kwenda ofisini saa moja kurudi saa moja ama mbili ni mwendo mdundo bampa to bampa,

Naweza kusema nna nafuu siku pekee ya kumpumzika ni jumapili tu, nje ya hapo labda krismas na pasaka imeisha hio.

Muda wa kurudi ndio hivyo tena ni usiku yani hata kupata muda wa kuspend na mwanangu unakuwa limited, nikifika mimi nimechoka nae anakaribia kwenda kulala.

Atafutae achoki akichoka amepata
 
Tunapozungumzia kujiajiri kila mtu anamfikiria Bakhresa, Mo waliokwishatoboa mbali sana wenye mifumoo ya biashara inayojindesha inayotengeneza pesa hata wanapokuwa kitandani,

Kujiajiri nako unaweza kuwa mtumwa asikwambie mtu aisee.

Ni mwaka wa tatu huu kwenda ofisini saa moja kurudi saa moja ama mbili ni mwendo mdundo bampa to bampa,

Naweza kusema nna nafuu siku pekee ya kumpumzika ni jumapili tu, nje ya hapo labda krismas na pasaka imeisha hio.

Muda wa kurudi ndio hivyo tena ni usiku yani hata kupata muda wa kuspend na mwanangu unakuwa limited, nikifika mimi nimechoka nae anakaribia kwenda kulala.
Hiyo hali si ya kudumu, biashara/ofisi yako itaposimama vizuri (kuweza kujiendesha bila uwepo wako) utapata muda wa kutosha kupumzika na familia na kufanya mambo mengine.
 
Funga biashara mkuu, upate muda wa kupumzika.

Mwaka wa tatu kwanini hutafuti mbinu ya kudhibiti mauzo na bidhaa zako ili uweke msaidi upate muda wa kupumzika!?

Au ni biashara inayokuhitaji wewe Kwa asilimia mia Moja Kila ikiwa wazi?
 
Wewe hukupenda tu kujiajiri moyo wako haupo kwenye kujiajiri una nyota ya kuwa msukule yani mtu unajuta kupigania kitu chako haijalishi unatumia muda gani unatakiwa ukumbuke unachokifanya ni chako umekitengeneza mwenyewe kwaakili na nguvu zako

Na ukishaanza kuwaza uo ujinga sasa ivi unapoteza namba kudadeki unarudi benchi utaanza kusimulia tu stori kuwa ulikuwa na biashara
 
Uhuru wa kuwa na muda wa kufanya mambo yako nao una umuhimu aisee.

Utamu wa ngoma ingia ucheze, usilewe na maneno matamu ya motivational speakers kujidanganya kwamba kila mtu aliejiajiri anaweza kuamua aamke saa ngapi, aende likizo wiki nzima mbugani, n.k. haya mambo wanaoyaweza ni kundi la watu wachache waliojiajiri, hapa utawakuta kina Mo, Bakhresa, na matajiri wengine walio invest ama kuweza kuajiri watu wa kusimamia miradi yao,

Kiuhalisia huku kwenye kujiajiri kundi kubwa ni day workers, yani hakuna uhuru wa kusema leo nilale hadi saa nne, nipumzike weekend nzima, niende likizo mbugani, n.k. yani kuamka ni almost kila siku asubuhi na kurudi ni usiku, hatupendi lakini inatulazimu

Sisemi kwamba watu waliokoajiri hawana muda huu, la hasha!! wapo watu waliojiajiri na wamefanikiwa katika hili lakini wengi wamejikuta wakiingia katika listi ndefu ya kuwa day workers yani muda wa kuwa huru unakuwa umeminywa sana

Sasa kuna daraja ya kujiajiri ambamo tupo wengi zaidi almaarufu day worker, yani huku stress tupu.

Kujiajiri nako unaweza kuwa mtumwa asikwambie mtu aisee.

Ni mwaka wa tatu huu kwenda ofisini saa moja kurudi saa moja ama mbili ni mwendo mdundo bampa to bampa,

Naweza kusema nna nafuu siku pekee ya kumpumzika ni jumapili tu, nje ya hapo labda krismas na pasaka imeisha hio.

Muda wa kurudi ndio hivyo tena ni usiku yani hata kupata muda wa kuspend na mwanangu unakuwa limited, nikifika mimi nimechoka nae anakaribia kwenda kulala.
Usifundishe watu uvivu wako huo, km unataka muda wa kukaa na mtoto wako kaache kazi, nini kimekuleta kuja kulalamika huku. Shenz type
 
Back
Top Bottom