Kujiajiri kunaweza kuwa utumwa, mwaka wa tatu huu bampa to bampa kuamka alfajiri kurudi usiku, sina muda wa kutosha hata wa kupumzika na mtoto wangu

Duh.
Ujumbe ushatumwa.
Hao, wanakuja. #Kataakujiajiri
#Vaenivaenibaibui
#Usikubalimagofu
#Usikimbizeupepo
#Siolaananihakiilakuuandio
#Utawasikiahaofreemasonhuyo
😌
🤬
 
Ukiangalia vizuri utakuta hata mtoto si wako.
 
Hivi hayo mambo watu wanasemaga ni mambo gani? Utasikia...unapata muda wa kutosha kufanya mambo yako...

Kujiajiri au kuajiriwa hakuna tofauti, maana in each case ni lazima ufanye kazi.

Hii ni tofauti na kuwekeza (investment) ambapo unaweka mpunga mahali halafu huo mpunga unakuletea mpunga zaidi...bila kufanya chochote. Kwa mfano unaweza wekeza kwenye hisa za makampuni au bond etc.

Pia kuna ujasiriamali. Mjasiliamali anaweza kuwa amejiajiri au ameajiri au vyote viwili kwa pamoja.
 
Funga biashara mkuu, upate muda wa kupumzika.

Mwaka wa tatu kwanini hutafuti mbinu ya kudhibiti mauzo na bidhaa zako ili uweke msaidi upate muda wa kupumzika!?

Au ni biashara inayokuhitaji wewe Kwa asilimia mia Moja Kila ikiwa wazi?
Kama biashara inamuhitaji kila siku hana tofaut na aliyeajiliwa
 
Mkuu kinacho tusumbua wengi ni financial education kujiajiri(self employee) ni sawa au ni kugumu kuliko kuajiriwa.
Ukisha fikia kwenye level ya kuwa na biashara(busness) au investment hapo ndio hela inaanza kuingia bila wewe kuteseka.
Wengi wanachanganya kuajiriwa, kujiajiri, biashara na uwekezaji.
 
Watanzania wavivu sana wenzetu washaacha kupumzika weekend na kufanya kazi masaa 8 huko ni 24/7 wanakimbizana.
 
Mimi nashangaa mtu anayedhani kujiajiri ndio kupata nafasi ya kupumzika
Ukiona mtu anapumzika ujue ameshaweka mahesabu sawa faida na hasara anajua zinatoka wapi hivyo biashara inaweza kujiendesha yenyewe pasipo yeye kuwepo kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…