Kujiajiri ni utumwa zaidi ya kuajiriwa, waliojiajiri wengi wanakosea kujiweka kundi moja na wamiliki wa biashara

Kujiajiri ni utumwa zaidi ya kuajiriwa, waliojiajiri wengi wanakosea kujiweka kundi moja na wamiliki wa biashara

Wote tupo kwenye rat race.... Tofauti ni madaraja tu, kuna walioajiriwa wanakula maisha safi sawa na wafanya biashara waliofanikiwa, na wapo wadaraja la chini wana unga unga tu maisha sawa na wafanyabiara wanao pambana.....

Ila biashara ukiiotea inakuvusha kanani asubui asubui, wakati kazin ukionekana una mafanikio bos anaanza uchunguzi wap kuna vuja....

Stay on your lane!...
 
Mkuu toka jaana naona upo busy na kupinga waliojiajiri , wamekukosea nini? Halafu unapotoa mfano wa waliojiajiri kwa nini unachagua team za mchangani?
Atakuwa alikuwa mwajiriwa akadanganywa na motivation speaker na akaacha kazi akaenda jiajiri mtaji ukakata so ni aina fulani ya kujutia hivi.
Kasahau mafanikio ya kujiajiri ni stage,
 
Nimekuwa nikiona sana kuna kukosekana kwa uelewa juu ya utofauti wa mtu aliejiajiri (self employed) na mmilliki wa biashara (cusiness owner)

Mtu aliejiajiri ni mtu anaefanya shughuli zake yeye mwenyewe kwa asilimia kubwa ili kuzalisha kipato, mfano ni mangi mwenye duka, mtu mwenye duka anaeuza yeye kwa asilimia kubwa, fundi simu, wanaotengeneza mabango, n.k. Wengi hawana wafanya kazi na hata kama wapo bado watakuwepo kwa asilimia kubwa directly.

Wamili wa biashara (business owners) hawa wanakusanya rasili mali pamoja na kuzi organize ili kupata faida, huyu ana ajiri watu wamfanyie kazi, hapa ndipo kuna wale wenye car wash zao mtu anaenda jioni kukusanya hesabu yake kutoka kwa vijana kama 10 aliowaajiri n.k, hapa ndipo wanaingia kina Mo, Bakhresa, Gsm, vunja bei, n.k Wafanya kazi wao wanawahi kuamka kwenda kuwazalishia pesa huku wao hata wakiuchapa usingizi shuguli zinaendelea.

Waliojiajiri wengi hapa tz miaka nenda rudi unamkuta yeye ndie anaetoka jasho kwa asilimia kubwa kwenye biashara yake bila kupiga hatua ya kuwa business owner (mmiliki wa biashara).

Asikwambe mtu kujiajiri ni utumwa, yani muda wako na nguvu zako zitanyonywa mno tofauti na alieajiriwa ambae anaingia kazini saa 2 na kutoka saa 11, ana mshahara stable unaokua, anaweza kupata promotion, anapumzika umamosi, jumapili, siku kama 20 za sherehe za serikali na mwezi mzima anapewa likizo.

Kwa wenzetu, mtu akijiajiri anakubali kuwa mtumwa ili kufikia lengo la kuwa mmiliki wa biashara ila nashangaa hapa bongo, mtu kajiajiri miaka zaidi ya 10 yani bado hana lengo la kuwa mmiliki wa biashara.
Dogo naona baada ya vitasa vya Jana umebadili maelezo lakini.....same shit different toilet! Jipange kabla hujapangwa.
 
Waliojiajiri wengi ni watumwa wa biashara zao Wala Haina ubishi. Tafakari mtu anaduka, kazini anaingia saa Moja anatoka saa nne usiku Kila siku kwa wiki mwaka mzima. Sasa huyu c ni mtumwa wa kujiajiri? Wanaofurahia kujiajiri ni wachache kama ilivyo walioajiriwa wanaoinjoy ni wachache
 
Nimekuwa nikiona sana kuna kukosekana kwa uelewa juu ya utofauti wa mtu aliejiajiri (self employed) na mmilliki wa biashara (cusiness owner)

Mtu aliejiajiri ni mtu anaefanya shughuli zake yeye mwenyewe kwa asilimia kubwa ili kuzalisha kipato, mfano ni mangi mwenye duka, mtu mwenye duka anaeuza yeye kwa asilimia kubwa, fundi simu, wanaotengeneza mabango, n.k. Wengi hawana wafanya kazi na hata kama wapo bado watakuwepo kwa asilimia kubwa directly.

Wamili wa biashara (business owners) hawa wanakusanya rasili mali pamoja na kuzi organize ili kupata faida, huyu ana ajiri watu wamfanyie kazi, hapa ndipo kuna wale wenye car wash zao mtu anaenda jioni kukusanya hesabu yake kutoka kwa vijana kama 10 aliowaajiri n.k, hapa ndipo wanaingia kina Mo, Bakhresa, Gsm, vunja bei, n.k Wafanya kazi wao wanawahi kuamka kwenda kuwazalishia pesa huku wao hata wakiuchapa usingizi shuguli zinaendelea.

Waliojiajiri wengi hapa tz miaka nenda rudi unamkuta yeye ndie anaetoka jasho kwa asilimia kubwa kwenye biashara yake bila kupiga hatua ya kuwa business owner (mmiliki wa biashara).

Asikwambe mtu kujiajiri ni utumwa, yani muda wako na nguvu zako zitanyonywa mno tofauti na alieajiriwa ambae anaingia kazini saa 2 na kutoka saa 11, ana mshahara stable unaokua, anaweza kupata promotion, anapumzika umamosi, jumapili, siku kama 20 za sherehe za serikali na mwezi mzima anapewa likizo.

Kwa wenzetu, mtu akijiajiri anakubali kuwa mtumwa ili kufikia lengo la kuwa mmiliki wa biashara ila nashangaa hapa bongo, mtu kajiajiri miaka zaidi ya 10 yani bado hana lengo la kuwa mmiliki wa biashara.
So unatoa maoni au elimu gani juu ya swala kama hili au ume laumu pasina kuacha faida yoyote
Nimekuwa nikiona sana kuna kukosekana kwa uelewa juu ya utofauti wa mtu aliejiajiri (self employed) na mmilliki wa biashara (cusiness owner)

Mtu aliejiajiri ni mtu anaefanya shughuli zake yeye mwenyewe kwa asilimia kubwa ili kuzalisha kipato, mfano ni mangi mwenye duka, mtu mwenye duka anaeuza yeye kwa asilimia kubwa, fundi simu, wanaotengeneza mabango, n.k. Wengi hawana wafanya kazi na hata kama wapo bado watakuwepo kwa asilimia kubwa directly.

Wamili wa biashara (business owners) hawa wanakusanya rasili mali pamoja na kuzi organize ili kupata faida, huyu ana ajiri watu wamfanyie kazi, hapa ndipo kuna wale wenye car wash zao mtu anaenda jioni kukusanya hesabu yake kutoka kwa vijana kama 10 aliowaajiri n.k, hapa ndipo wanaingia kina Mo, Bakhresa, Gsm, vunja bei, n.k Wafanya kazi wao wanawahi kuamka kwenda kuwazalishia pesa huku wao hata wakiuchapa usingizi shuguli zinaendelea.

Waliojiajiri wengi hapa tz miaka nenda rudi unamkuta yeye ndie anaetoka jasho kwa asilimia kubwa kwenye biashara yake bila kupiga hatua ya kuwa business owner (mmiliki wa biashara).

Asikwambe mtu kujiajiri ni utumwa, yani muda wako na nguvu zako zitanyonywa mno tofauti na alieajiriwa ambae anaingia kazini saa 2 na kutoka saa 11, ana mshahara stable unaokua, anaweza kupata promotion, anapumzika umamosi, jumapili, siku kama 20 za sherehe za serikali na mwezi mzima anapewa likizo.

Kwa wenzetu, mtu akijiajiri anakubali kuwa mtumwa ili kufikia lengo la kuwa mmiliki wa biashara ila nashangaa hapa bongo, mtu kajiajiri miaka zaidi ya 10 yani bado hana lengo la kuwa mmiliki wa biashara.
 
Nimekuwa nikiona sana kuna kukosekana kwa uelewa juu ya utofauti wa mtu aliejiajiri (self employed) na mmilliki wa biashara (cusiness owner)

Mtu aliejiajiri ni mtu anaefanya shughuli zake yeye mwenyewe kwa asilimia kubwa ili kuzalisha kipato, mfano ni mangi mwenye duka, mtu mwenye duka anaeuza yeye kwa asilimia kubwa, fundi simu, wanaotengeneza mabango, n.k. Wengi hawana wafanya kazi na hata kama wapo bado watakuwepo kwa asilimia kubwa directly.

Wamili wa biashara (business owners) hawa wanakusanya rasili mali pamoja na kuzi organize ili kupata faida, huyu ana ajiri watu wamfanyie kazi, hapa ndipo kuna wale wenye car wash zao mtu anaenda jioni kukusanya hesabu yake kutoka kwa vijana kama 10 aliowaajiri n.k, hapa ndipo wanaingia kina Mo, Bakhresa, Gsm, vunja bei, n.k Wafanya kazi wao wanawahi kuamka kwenda kuwazalishia pesa huku wao hata wakiuchapa usingizi shuguli zinaendelea.

Waliojiajiri wengi hapa tz miaka nenda rudi unamkuta yeye ndie anaetoka jasho kwa asilimia kubwa kwenye biashara yake bila kupiga hatua ya kuwa business owner (mmiliki wa biashara).

Asikwambe mtu kujiajiri ni utumwa, yani muda wako na nguvu zako zitanyonywa mno tofauti na alieajiriwa ambae anaingia kazini saa 2 na kutoka saa 11, ana mshahara stable unaokua, anaweza kupata promotion, anapumzika umamosi, jumapili, siku kama 20 za sherehe za serikali na mwezi mzima anapewa likizo.

Kwa wenzetu, mtu akijiajiri anakubali kuwa mtumwa ili kufikia lengo la kuwa mmiliki wa biashara ila nashangaa hapa bongo, mtu kajiajiri miaka zaidi ya 10 yani bado hana lengo la kuwa mmiliki wa biashara.
Ww utakuwa mgonjwa wa akili......
wahi hospitali kabla mambo hayajaharibika zaidi
 
Waliojiajiri wengi ni watumwa wa biashara zao Wala Haina ubishi. Tafakari mtu anaduka, kazini anaingia saa Moja anatoka saa nne usiku Kila siku kwa wiki mwaka mzima. Sasa huyu c ni mtumwa wa kujiajiri? Wanaofurahia kujiajiri ni wachache kama ilivyo walioajiriwa wanaoinjoy ni wachache
hiyo ni ratiba tu ya kufanya kazi kama mtumwa ili uishi kama mfalme utumwa ni pale unapopangiwa na bosi wako kazi ambayo hauipendi lakini kwa njaa zako unalazimika uifanye tu mfano mimi miaka mnne iliyopita nilikuwa dereva wa bajaj ya mkataba nilikuwa naamka SAA 11 alfajiri mpaka saa4 usiku nikamaliza mkataba kwa sasa naamka muda nitakao na ninampango wa kuongeza bajaj ya pili na nina duka

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom