Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Ngoja nikae kimya isije ikaonekana nakukatisha tamaaHapana mkuu siku 30 ni nyingi sana!
KabisaaNi suala la muda tu
Vita ya kuacha nyeto hakuna amewahi kushinda
Vyote mkuu haizidi dk 2 labda niwe nimepga k Vant.Goli la kwanza during masturbation au sex?
Safi sanaNimeondoka tayari.
Inawezakana kabisa kuacha kupiga nyeto mkuu.. Ila kuna step zake ambazo zinaweza kukufanya ukaacha mazima .. Na kubwa hasa ni kufuta memory ambayo ipo kwenyeWakuu Salaam?
Baada ya kujichukulia sheria mkononi tangia nikiwa form 3 mwaka 2009 hatimae mwaka huu nimefanikiwa kumaliza mwezi bila kujichukulia sheria mkononi.
Njia niliyoitumia ni baada ya kusoma Uzi wa ndugu Mshana Jr kuwa ukiogea chumvi ya mawe kwa siku Saba mfululizo roho ya chafu ya kujichukulia sheria mkononi inapotea.
Nilifata maelezo yote ya ule Uzi now Niko hapa kutoa ushuhudaππππ.
Kwa walio teseka na hii Hali na kutamani kuacha lakini wakashindwa basi tiba imepatikana.
Ashukuriwe ndugu Mshana kwa kutusanua.
Nawasilisha.
Labda wewe ulitegemea uchukue dakika ngapi ndio uone kawaida?Vyote mkuu haizidi dk 2 labda niwe nimepga k Vant.
Hahahaha itakuwa ww ni muhanga mwenzangu.ππNgoja nikae kimya isije ikaonekana nakukatisha tamaa
Mi ni mbeba maono tuHahahaha itakuwa ww ni muhanga mwenzangu.ππ
Pucbu ni mke wandoa.πWakuu Salaam?
Baada ya kujichukulia sheria mkononi tangia nikiwa form 3 mwaka 2009 hatimae mwaka huu nimefanikiwa kumaliza mwezi bila kujichukulia sheria mkononi.
Njia niliyoitumia ni baada ya kusoma Uzi wa ndugu Mshana Jr kuwa ukiogea chumvi ya mawe kwa siku Saba mfululizo roho ya chafu ya kujichukulia sheria mkononi inapotea.
Nilifata maelezo yote ya ule Uzi now Niko hapa kutoa ushuhudaππππ.
Kwa walio teseka na hii Hali na kutamani kuacha lakini wakashindwa basi tiba imepatikana.
Ashukuriwe ndugu Mshana kwa kutusanua.
Nawasilisha.
Mkuu nimejaribu hii kitu Cha kwanza nilifuta Telegram kwenye sim yangu nikaleft magroup yote ya porno ya whatsup Lakini roho ilikuwa ikija tu nazama Twitter natafta zile page zinazopost porno ubaya nakuwa nazikumbuka. Najikuta tena nimerdi kundini.πππInawezakana kabisa kuacha kupiga nyeto mkuu.. Ila kuna step zake ambazo zinaweza kukufanya ukaacha mazima .. Na kubwa hasa ni kufuta memory ambayo ipo kwenye
subconscious mind inayo husiana na vichocheo vya wewe kupiga nyeto kama picha chafu na aina flani ya watu na maumbile.. hii kwenye ku renew mind huchukua mda, ila kadri unavyo renew chukua taadhari kwa kukaa mbali na kila aina ya kichocheo mzee kinachoweza kukuingiza huko.. kufukuza roho nyeto jambo moja kuiweka akili sawa ni jambo la pili
Na unadownload na VPN just incaseMkuu nimejaribu hii kitu Cha kwanza nilifuta Telegram kwenye sim yangu nikaleft magroup yote ya porno ya whatsup Lakini roho ilikuwa ikija tu nazama Twitter natafta zile page zinazopost porno ubaya nakuwa nazikumbuka. Najikuta tena nimerdi kundini.πππ
Namlaumu sana aliye nifundisha hii kitu nikiwa shule! Ewe Ernest dam yangu ya kupiga puli iwe juu yako.Nyeto haiachiki.. never ever. Utapumzika tu na ukirudi sasa ubaya wake.. unarudi na KASI ya 5G.
Na unadownload na VPN just incase
Kama kubeti tuNyeto unapumzika tu