princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
- Thread starter
-
- #21
Baada ya kupima hatua ya hospitali ya juu zaidi ni ya muhimu sana Usiridhike na hospitali ya Mtaa tu
Huo ni udhaifu wako! ila mm cyo CAGHabari jf doctors
---Najiskia mwili kuchoka sana kiasi sijiskii kufanya kitu chochote
---vichomi vichomi baadhi ya maeneo tumboni
---kooni kama kuna donge fulani limeziba kiasi nikila najiskia kuchefukwa
---kutokana na uchovu najiskia kulala muda mwingi
---mdomo mchungu
Wakuu wangu mnaweza kuwa na idea nasumbuliwa na nini ili nikapime? Kwamaana hizi dispensary zetu wanaweza kunipima hata vitu visivyohusiana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina bimaTMJ,REGENCY,MASANA,Etc
wakutokufanya mazoezi
anza sasa hujachelewa utakuwa fiti
Mkuu hio ela sina ndo tutakufaga na matatizo yetuSi gharama Za kutisha lakini angalau uwe Na kipato kuonana na doctor 20000/=
Mkuu suggestion zako zote sina mkuuInawezekana umefanikiwa kupata mimba au umefululiza mapenzi mwili ukawa umepoteza energy nyingi.
Kama hayo yote hayakuhusu kapime huenda una homa inakunyemelea,,,, vipimo vikiona huna tatizo, ndugu yangu nakushauri uache punyeto
Basi nakushauri uwe unakunywa maji mengi, matunda na mbogamboga huku ukipunguza vyakula vya wanga kwa siku kadhaaMkuu suggestion zako zote sina mkuu
Nmepima majibu nmeandika hapo.ila dijaridhika
Maana ile hali imeisha ya kuchoka vimebaki vichomi upande wa kushoto wa kiuno na mgongoni na nmepata hedhi kidogo mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi pia ndo nawaza hapa au maji nayo mana watu wengi tukinywa lita moja tunauchunaBasi nakushauri uwe unakunywa maji mengi, matunda na mbogamboga huku ukipunguza vyakula vya wanga kwa siku kadhaa
Ingia gharama ubadili kwa siku kadhaa kwaajili ya afya yako mkuu.Mi pia ndo nawaza hapa au maji nayo mana watu wengi tukinywa lita moja tunauchuna
Vyakula vya wanga ndo vyakula vyetu tusiowexa kubadili milo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia gharama ubadili kwa siku kadhaa kwaajili ya afya yako mkuu.
Pia maji ni muhimu sana tena unatakiwa unywe maji mpaka uhakikishe mkojo wako umekuwa mweupe/yaani ukiona unakojoa mkojo wenye rangi ujue ni taarifa kwamba hujanywa maji ya kutosha
Kwa mimi uchovu wa namna hii, nabadili chakula cha mchana nakula matunda au kachumbari ya uhakika alafu napiga mazoezi asubuhi na saa nyingine jioni