Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Kama ilo tukio@marytina alililofanyia ila katika mapito unajifunza kitu..some friends are wicked…huwa tunasema tunamarafiki au tuna watu wa karibu but ukweli ni kwamba wanaweza kukubadilikia mpaka ushangae…
Ni kweli au tuseme Mungu anatufundisha ili tukija kuzishika tukumbuke ni nani alikuwa na sisi kipindi hiki kigumu au ni vipi tuweze kutengeza budget kwenye matumizi yetu maana kuna wengine wanakuwa na pesa but kwenye matumizi wako vibayaIna leta stress sana inapelekea hata kupata mawazo kujiua kama ni hali umekuwa nayo mda mrefu.ila me naamin ni somo unapewa na Mungu before ajakubariki..
😃😃😃Tusaidie kutunza shemejiHahahahah sasa mumeo si hana hela lazma wahuni waombe site 😀
Kabisa perception is everything.watu wengi wanajilinganisha ndomaan wanajofeel iyo hali.Sema mi huwa najikubaligi tu, niwe nacho au sina. Its never my problem but perception yako ndio itakutesa. 😀
Mm sina hela hapa ila confidence ni 100% na hakuna anayejua sina hela wanadhani naigiza tu..!Hivi huku kujiona huna thamani kipindi huna hela husababishwa na nini? Au kuona aibu yani kama vile huko nje watu watakuwa wanajua huna kitu, au ile hali ya kujiangalia kwenye kioo uone unatisha umepauka, unajiona uko uko tu.
Kutokuwa na hela kunatia unyonge sana.
Hayo yote uliosema ni mafundisho tubayopata na vizur uyaelewe na uyashike vizuri pale hali ikiwa nzuri..Ni kweli au tuseme Mungu anatufundisha ili tukija kuzishika tukumbuke ni nani alikuwa na sisi kipindi hiki kigumu au ni vipi tuweze kutengeza budget kwenye matumizi yetu maana kuna wengine wanakuwa na pesa but kwenye matumizi wako vibaya
Kabisa ukiwa bachelor utajikaza ila una familia ni mziki..labda huna majukumu!…ila ukiwa na majukumu ndio utaelewa
Unaweza kuigiza ila deep down my friend inakuathiri cause your not just lying at them but yourself too..point hapa sio kila mtu ajue huna kitu but uelewe tu kwamba its normal you don’t have to pretendMm sina hela hapa ila confidence ni 100% na hakuna anayejua sina hela wanadhani naigiza tu..!
Ukiletea kadi za harus , ukialikwa harambee au demu anataka umsaidie hela ndogo hata buku 5.Mbona confidence itatulia.Mm sina hela hapa ila confidence ni 100% na hakuna anayejua sina hela wanadhani naigiza tu..!
Iyo hali inakutafuna ndani kwa ndani.Unaweza kuigiza ila deep down my friend inakuathiri cause your not just lying at them but yourself too..point hapa sio kila mtu ajue huna kitu but uelewe tu kwamba its normal you don’t have to pretend
Confidence una hata mia mfukoni hasa kwa mwanaume uwez kuwa nayo..atajifunga mwenyewe,haha
Sijasema ww.ila kwanza shukuru Mungu hela unayo ila haitoshi hapo ww nikujibana tu nunua vitu vya muhimu tu .Je vuta picha kwa jobless??umemlza chuo una kaz una mtaji umri unaenda🤨sio jobless ila unakuta una mambo mengi alafu pesa haitoshi