Kujiona huna thamani kipindi huna mkwanja

Kujiona huna thamani kipindi huna mkwanja

Ina leta stress sana inapelekea hata kupata mawazo kujiua kama ni hali umekuwa nayo mda mrefu.ila me naamin ni somo unapewa na Mungu before ajakubariki..
Ni kweli au tuseme Mungu anatufundisha ili tukija kuzishika tukumbuke ni nani alikuwa na sisi kipindi hiki kigumu au ni vipi tuweze kutengeza budget kwenye matumizi yetu maana kuna wengine wanakuwa na pesa but kwenye matumizi wako vibaya
 
Sema mi huwa najikubaligi tu, niwe nacho au sina. Its never my problem but perception yako ndio itakutesa. 😀
Kabisa perception is everything.watu wengi wanajilinganisha ndomaan wanajofeel iyo hali.
 
Hivi huku kujiona huna thamani kipindi huna hela husababishwa na nini? Au kuona aibu yani kama vile huko nje watu watakuwa wanajua huna kitu, au ile hali ya kujiangalia kwenye kioo uone unatisha umepauka, unajiona uko uko tu.

Kutokuwa na hela kunatia unyonge sana.
Mm sina hela hapa ila confidence ni 100% na hakuna anayejua sina hela wanadhani naigiza tu..!
 
Ni kweli au tuseme Mungu anatufundisha ili tukija kuzishika tukumbuke ni nani alikuwa na sisi kipindi hiki kigumu au ni vipi tuweze kutengeza budget kwenye matumizi yetu maana kuna wengine wanakuwa na pesa but kwenye matumizi wako vibaya
Hayo yote uliosema ni mafundisho tubayopata na vizur uyaelewe na uyashike vizuri pale hali ikiwa nzuri..
 
Mm sina hela hapa ila confidence ni 100% na hakuna anayejua sina hela wanadhani naigiza tu..!
Unaweza kuigiza ila deep down my friend inakuathiri cause your not just lying at them but yourself too..point hapa sio kila mtu ajue huna kitu but uelewe tu kwamba its normal you don’t have to pretend
 
Back
Top Bottom