Kujiona huna thamani kipindi huna mkwanja

Kujiona huna thamani kipindi huna mkwanja

Marafiki zake kabisa.....mtu huna utani naye anaanza kukurushia viutani na kukuchombeza.
....hata kama kudanga nisitoa kwa mtu yeyote aliye rafiki wa mume wangu.Nashukuru nilitunza kiapocha ndoa kwa uwezo wa MUNGU
Ubarikiwe
 
trust me,yani ukijiangalia kwenye kioo unajiona umepauka,umechoka hata kutoka nje unahisi watu watakuzungumza au kukucheka
Ni kweli hii situation huwa inazingua sana lakini as time as goes utaanza kujitambua na kuchukua hatua na kuanza kukabiliana na hiyo hali.
 
& what about you men, going around and lie everything you own and pretending to be someone else!you are the one who created this demons.Alafu baadae mnakuja kutulaumu sisi .
Thats also a problem to some men. Sio kila mtu muongo
 
kama ulizaliwa nazo lazima ujione hivo. Ukiziabudu sana matokeo yake ndo hayo hazina budi kukutesa
sio kuzaliwa nazo,kwa maisha ya siku hizi bila pesa maisha ni magumu though zinatafutwa so tusisahau kuwa nafuraha with or without money
 
Hivi huku kujiona huna thamani kipindi huna hela husababishwa na nini? Au kuona aibu yani kama vile huko nje watu watakuwa wanajua huna kitu, au ile hali ya kujiangalia kwenye kioo uone unatisha umepauka, unajiona uko uko tu.

Kutokuwa na hela kunatia unyonge sana.
20230425_052158.jpg
 
Sijasema ww.ila kwanza shukuru Mungu hela unayo ila haitoshi hapo ww nikujibana tu nunua vitu vya muhimu tu .Je vuta picha kwa jobless??umemlza chuo una kaz una mtaji umri unaenda[emoji2955]
Una ndio mdudu gani? Mnakera sana. Sema "huna".
 
Marafiki zake kabisa.....mtu huna utani naye anaanza kukurushia viutani na kukuchombeza.
....hata kama kudanga nisitoa kwa mtu yeyote aliye rafiki wa mume wangu.Nashukuru nilitunza kiapocha ndoa kwa uwezo wa MUNGU
Barikiwa. Kaza hivyo hivyo. Usitoe kwa yeyote zaidi ya mumeo. Nafsi itakusuta maisha yako yote.

Ni kipindi tu, yatapita mambo yanyooke.
 
Sio easy ila im just being real. Me na wewe tuko humu sababu tuna hela ya ku survive
hamna mtu ambaye hayuko real especially in this convo but we sharing our experiences cause its true ,that feeling of not having money really hurts …
 
Back
Top Bottom