Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Sio makubwa tu Rwanda inakua kwa kuziharibu nchi nyingine.rwanda naitabilia makubwa mbeleeni
Hiyo inaitwa military diplomacyRwanda anavuna madini huko. Anataka na vitalu vya gesi. Ukisikia Rwandair inatua Maputo au Pemba jua inaenda kuvusha madini ya mwamba
Ana sapoti palestina kulingana na historia ya kupigania uhuru pamojaSouth anasapoti hamas
Na ndio maana hii nchi tunahitaji kuwa na kiongozi Mwamba haswa amiri jeshi mwenye amri nzito kwa masilahi ya taifa. Maendeleo ya kweli hayaji kwa kujifungia chumbani. Hatuhitaji kuwa na viongozi wanasiasa tena.Hiyo itakua vita ngumu sana na umoja wa mataifa hauwezi ruhusu!
Zanzibar tu inaishinda sembuse kuikalia nchi nyingine au kui annex
Acha uogaTz bora iyarudishe majeshi yake yaliyoko operesheni sehemu mbalimbali Afrika kama hakuna matokeo mazuri
Mimi nilishauri Tuanzishe mgogoro na serikali ya Msumbiji tuwapige tuitawale kaskazini mwa Msumbiji hii itatusaidia kujiimarisha kiulinzi kutokana na vitisho vya hawa magaidi na pia tutanufaika na utajiri wa raslimali uliopo katika maeneo hayo ikiwemo madini pamoja na gesi asilia.
Hii ina maana sasa askari wa nchi zilizobaki waendelee kuuawa na hao magaidi bila huruma.Jeshi la Africa kusini linategemea kufunga virago msumbiji ambako vikosi vya SADC vikiongozwa na South Africa vilikua vikipambana na Kundi la kigaidi la kiislam Msumbiji.
Hii ni kutokana na siasa za Africa kusini zinazoshinikiza Africa kusini kutoa majeshi DRC pia kwene nchi nyingine kama Msumbiji.
Majeshi ya SADC yamekua yakifanya operation kwene nchi za SADC hivi sasa haswa katika jamuhuri ya Congo yakiisaidia DRC kupambana na M23 na msumbiji ya kisaidia kupambana na kundi la mlengo wa Al shababu linaloisumbua serikali ya msumbiji Kasikazi mwa nchi. Na huko kote jeshi la tanzania limekua likihusika ambako SADC imekua ikiyapeleka majeshi yake.
Kwa ambao hawajui Kundi hili linaisumbua msumbiji kwa miaka zaid ya 10 na lishawai fanya mashambulizi kadhaa nchini mpakana na msumbiji hada jimbo la Cabo del gado!!
Inasemekana Kundi hili linauhusiano mkubwa na Ugaidi uliokua unatokea Kibiti kwa kua lilitaka kujenga himaya yake kati ya Tanzania na msumbiji . Lakini lilikuja kutolewa Awamu ya tano ambapo walifanikiwa kushinda vugu vugu hilo dhidi ya Kundi hilo hatari.
no retreat no surrender ni kauli za kijeshiTz bora iyarudishe majeshi yake yaliyoko operesheni sehemu mbalimbali Afrika kama hakuna matokeo mazuri
Sio kwamba hakuna faida itakayopatikana, kikubwa hatuna hao viongozi wa shoka kwa sasa. Huo ufisadi wenyewe unatokana na viongozi wa kisiasa kufanya siasa ni kazi na sio wito kwa ajili ya kulitumikia taifa. Ipo siku atapatikana kiongozi atakayebadilisha hii mifumo na siasa isiwe tena kimbilio la wasaka utajiri.Hakuna faida yoyote ile kama bado mfumo ni ule ule katika nchi hii. Utachukua madini na gesi lakini wanufaika watakuwa si wananchi bali viongozi uchwara.
Rwanda wanastahili pongezi kubwa Sana kwa hili la kuisaidia Msumbiji kushinda ugaidi.Rwanda wameongeza wanajesha 2500 zaidi,kunakoenda msumbiji litakuwa koloni la Rwanda.
Usigeuze hisia ukafanya ndio uhalisia. Ho kamwe halitatokea. Uhudiano wa Tanzania na Msumbiji kamwe hauwezi kuvunjika, kutetereka au kusuasua kwani umejengwa kwa misingi ya kindugu na uliasisiwa tangu enzi ya Mondllz eĺlpllRwanda itatumia msumbiji kuivuruga tanzania hasa ukizingatia inamiona tanzania kama aduni katika mpango wake wa kuzitibua nchi zote za maziwa makuu ili yenyewe ionekane ndo kisiwa cha amani
Sio sahihi. Msumbiji kamwe haiwezi kuisaliti Tanzania. Mahusiano yetu ni ya kidugu yaliyojengwa tangu enzi ya Mondlane na Nyerere. Ndio maana hata mwenge wa uhuru wa Tanzania ulikimbizwa Msumbiji mara tu baada ya uhuru. Hivyo Rwanda hawezi ruhusiwa kuitumia ardhi ya Msumbiji kuhujumu Tanzania.Rwanda itatumia msumbiji kuivuruga tanzania hasa ukizingatia inamiona tanzania kama aduni katika mpango wake wa kuzitibua nchi zote za maziwa makuu ili yenyewe ionekane ndo kisiwa cha amani
Hawana maslahi nako na hawana mpaka upande wa Kaskazini,Tanzania ndio Huwa wajinga tunawapa watu service ya Bure.Jeshi la Africa kusini linategemea kufunga virago msumbiji ambako vikosi vya SADC vikiongozwa na South Africa vilikua vikipambana na Kundi la kigaidi la kiislam Msumbiji.
Hii ni kutokana na siasa za Africa kusini zinazoshinikiza Africa kusini kutoa majeshi DRC pia kwene nchi nyingine kama Msumbiji.
Majeshi ya SADC yamekua yakifanya operation kwene nchi za SADC hivi sasa haswa katika jamuhuri ya Congo yakiisaidia DRC kupambana na M23 na msumbiji ya kisaidia kupambana na kundi la mlengo wa Al shababu linaloisumbua serikali ya msumbiji Kasikazi mwa nchi. Na huko kote jeshi la tanzania limekua likihusika ambako SADC imekua ikiyapeleka majeshi yake.
Kwa ambao hawajui Kundi hili linaisumbua msumbiji kwa miaka zaid ya 10 na lishawai fanya mashambulizi kadhaa nchini mpakana na msumbiji hada jimbo la Cabo del gado!!
Inasemekana Kundi hili linauhusiano mkubwa na Ugaidi uliokua unatokea Kibiti kwa kua lilitaka kujenga himaya yake kati ya Tanzania na msumbiji . Lakini lilikuja kutolewa Awamu ya tano ambapo walifanikiwa kushinda vugu vugu hilo dhidi ya Kundi hilo hatari.
Kulinda kwene mipaka ni uzaifu strength ni kushambulia any possible attack!!Hawana maslahi nako na hawana mpaka upande wa Kaskazini,Tanzania ndio Huwa wajinga tunawapa watu service ya Bure.
Huu upuuzi ni WA tangu enzi ya Nyerere,tuko DRC na Mozambique Sasa sijui tunanufaika na nini ,si Bora tubakie tunalinda kwenye mipaka yetu?
Mkuu hamna mahusiano kwen maslahiUsigeuze hisia ukafanya ndio uhalisia. Ho kamwe halitatokea. Uhudiano wa Tanzania na Msumbiji kamwe hauwezi kuvunjika, kutetereka au kusuasua kwani umejengwa kwa misingi ya kindugu na uliasisiwa tangu enzi ya Mondllz eĺlpll
Sio sahihi. Msumbiji kamwe haiwezi kuisaliti Tanzania. Mahusiano yetu ni ya kidugu yaliyojengwa tangu enzi ya Mondlane na Nyerere. Ndio maana hata mwenge wa uhuru wa Tanzania ulikimbizwa Msumbiji mara tu baada ya uhuru. Hivyo Rwanda hawezi ruhusiwa kuitumia ardhi ya Msumbiji kuhujumu Tanzania.
Inavyoonekana wa-Tanzania wengi sana siyo watu wa kufanya utafiti kuhusiana na mambo mengi ya Migogoro iliyopo ktk nchi zetu hizi za Afrika. Mgogoro uliopo nchini Msumbiji SIYO KWELI kwamba ni mgogoro wa kidini au masuala ya Ugaidi unaoambatana na masuala ya dini, hususani dini ya kiislamu, the answer is NO. Ule purely ni Mgogoro wa kisiasa utokanao na watawala wa nchi hiyo ya Msumbiji (FRELIMO) kushindwa kuongoza Watu (wananchi) vizuri, matokeo yake wakazalisha vurugu hizi zinazoendelea hivi sasa.Jeshi la Africa kusini linategemea kufunga virago msumbiji ambako vikosi vya SADC vikiongozwa na South Africa vilikua vikipambana na Kundi la kigaidi la kiislam Msumbiji.
Hii ni kutokana na siasa za Africa kusini zinazoshinikiza Africa kusini kutoa majeshi DRC pia kwene nchi nyingine kama Msumbiji.
Majeshi ya SADC yamekua yakifanya operation kwene nchi za SADC hivi sasa haswa katika jamuhuri ya Congo yakiisaidia DRC kupambana na M23 na msumbiji ya kisaidia kupambana na kundi la mlengo wa Al shababu linaloisumbua serikali ya msumbiji Kasikazi mwa nchi. Na huko kote jeshi la tanzania limekua likihusika ambako SADC imekua ikiyapeleka majeshi yake.
Kwa ambao hawajui Kundi hili linaisumbua msumbiji kwa miaka zaid ya 10 na lishawai fanya mashambulizi kadhaa nchini mpakana na msumbiji hada jimbo la Cabo del gado!!
Inasemekana Kundi hili linauhusiano mkubwa na Ugaidi uliokua unatokea Kibiti kwa kua lilitaka kujenga himaya yake kati ya Tanzania na msumbiji . Lakini lilikuja kutolewa Awamu ya tano ambapo walifanikiwa kushinda vugu vugu hilo dhidi ya Kundi hilo hatari.
Mkuu ugaidi ni ugaidi kama ni mgogoro ni kati ya nani na nani??Inavyoonekana wa-Tanzania wengi sana siyo watu wa kufanya utafiti kuhusiana na mambo mengi ya Migogoro iliyopo ktk nchi zetu hizi za Afrika. Mgogoro uliopo nchini Msumbiji SIYO KWELI kwamba ni mgogoro wa kidini au masuala ya Ugaidi unaoambatana na masuala ya dini, hususani dini ya kiislamu, the answer is NO. Ule purely ni Mgogoro wa kisiasa utokanao na watawala wa nchi hiyo ya Msumbiji (FRELIMO) kushindwa kuongoza Watu (wananchi) vizuri, matokeo yake wakazalisha vurugu hizi zinazoendelea hivi sasa.
Fanyeni tafiti zenu vizuri ili muweze kubaini kiini hasa Cha kuibuka kwa Mgogoro huo. Mgogoro huo una historia ndefu kidogo, na kwa bahati mbaya sana hata sisi wa-Tanzania (Utawala wa CCM ) nao ni chanzo kimojawapo Cha kuasisi Mgogoro huo wa huko Msumbiji.
Rudia kusoma Tena hiyo comment yangu, Kuna maelezo ya nyongeza nimeweka.Mkuu ugaidi ni ugaidi kama ni mgogoro ni kati ya nani na nani??
Tofautisha kundi la kigaidi na mgogoro!!
Kundi linavuka msumbiji linavuka nchi linakuja tanzania linauwa watu wanarudi msumbiji hafu unasema si ugaidi!!
Mkuu jielimishe kuhusu haya maswala yamkini hujui ugaidi ni nini
Ni kweli serikali ya msumbiji iliyatelekeza kimaendeleo maeneo hayo ya kaskazini lakin hilo halifanyi kikundi kilichopo kutokua n kikundi cha kigaidi!!
Kundi lolote la kigaidi ili liweze kukua linahitaji
-Vijana wasio na elimu
-vijana wasio na ajira
-umasikini uliokithiri
-Uwepo hafifu wa serikali maeneo husika
-itikadi za kidini
-uwezo wa kurecruit wapiganaji
-network ya pesa na siraha
Makundi yote ya kigaidi yamezaliwa kwene mazingira yanayofanana
Unaweza kuweka source yako inayoeleza chanzo cha mgogoro huo kuwa wa kisiasa kati ya RENAMO na FRELIMO?Inavyoonekana wa-Tanzania wengi sana siyo watu wa kufanya utafiti kuhusiana na mambo mengi ya Migogoro iliyopo ktk nchi zetu hizi za Afrika. Mgogoro uliopo nchini Msumbiji SIYO KWELI kwamba ni mgogoro wa kidini au masuala ya Ugaidi unaoambatana na masuala ya dini, hususani dini ya kiislamu, the answer is NO. Ule purely ni Mgogoro wa kisiasa utokanao na watawala wa nchi hiyo ya Msumbiji (FRELIMO) kushindwa kuongoza Watu (wananchi) vizuri, matokeo yake wakazalisha vurugu hizi zinazoendelea hivi sasa.
Fanyeni tafiti zenu vizuri ili muweze kubaini kiini hasa Cha kuibuka kwa Mgogoro huo. Mgogoro huo una historia ndefu kidogo, na kwa bahati mbaya sana hata sisi wa-Tanzania (Utawala wa CCM ) nao ni chanzo kimojawapo Cha kuasisi Mgogoro huo wa huko Msumbiji. Na ukibahatika kuwasikia wenyewe Raia wa Msumbiji ambao ni wahusika hasa wa Mgogoro huo(yaani Watu wafuasi wa chama Cha RENAMO kinachopingana na Utawala wa FRELIMO) utaona wanaeleza Wazi kabisa kwamba Maadui zao wakubwa kwenye huo Mgogoro ni Utawala wa FRELIMO ya Msumbiji na Utawala wa CCM ya Tanzania, yaani hawafichi kabisa kuhusu suala hili. Wapiganaji wa RENAMO wanaamiki kwa dhati kabisa kwamba bila ya Mwl. Nyerere na CCM yake kuisaidia FRELIMO katikà Vita vyao, basi Chama Cha RENAMO kingeshika madaraka na kuwa chama Tawala nchini Msumbiji, CCM ndio imekuwa kikwazo kwao RENAMO Cha kuweza kuwa chama Tawala. Sisi wa-Tanzania tunahesabiwa Kama maadui kwenye huo Mgogoro wa huko Msumbiji hususani kutokana kitendo cha Utawala wa CCM kuisaidia Sana Serikali ya FRELIMO kwenye masuala ya vita.