DOKEZO Kujiondoa kwa Majeshi ya Africa Kusini nchini Msumbiji na kuiacha Tanzania na Rwanda dhidi ya kundi la kigaidi la Ansar al-Sunna kuna maana gani?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Umesema msumbiji ilitawaliwa na mkoloni mreno,
Vyama vya ukombozi vilivyopigania uhuru ni RENAMO na FLERIMO,
Baada ya uhuru FLERIMO kashika dola RENAMO akatengwa,
Ukaibuka mvutano wa RENAMO na FLERIMO,
FLERIMO akaenda kusini RENAMO kaskazini kama kikundi cha waasi,

Vurigu zinatokana na gesi ya kaskazini upande wa FLERIMO RENAMO wanaitaka,
Tatizo sio udini.

Swali kwako je RENAMO na FLERIMO si ni kama CUF na CHADEMA?

Mmoja anawakristo wengi mwingine waislamu wengi?
 
Abbreviation
RENAMO
Leader
Ossufo Momade
Chairman
André Magibire
Founded
1975
Headquarters
Avenida Ahmed Sekou Touré Nº 657, Maputo
Youth wing
RENAMO Youth League
Ideology
Mozambican nationalism
Conservatism
Economic liberalism
Anti-communism
Political position
Centre-right[1] to right-wing
 
Renamo ni ya Mwaka 1975 mkuu,
Ilianzishwa na viongozi waliojitoa FLERIMO, maafisa wa usalama,
Wakipinga sera ya ujamaa,

Nadhani msingi wa vurugu ulianzia kwenye kupinga ujamaa.

Issue ya uislam labda ilikuja baadae
 
Shida huelewi!!
Africa should fight as one national siyo hizo izo idea zako za Cat eating Cats
Afrika hii,yenye matabaka yasiyoelewana wala kufungamana ngumu sana kuungana nakuwa moja hilo sahau,dini,ukanda,kabila na hali za kiuchumi zimewatawanya waafrika kamwe hawewezi kuwa wamoja.
 
Rwanda itatumia msumbiji kuivuruga tanzania hasa ukizingatia inamiona tanzania kama aduni katika mpango wake wa kuzitibua nchi zote za maziwa makuu ili yenyewe ionekane ndo kisiwa cha amani
Hapana, siyo kweli.
Kwa sasa hivi, Mozambique ipo stable na mandate ya SADC ni mpaka December mwaka huu.
SANDF wanaondka na watachukua nafasi ya MONUSCO Congo, ila kwa mandate ya tofauti. Mandate ya kupigana na ku-disable vikundi vya kigaidi.
Tanzania pia, itaongeza troops Congo. Lengo kubwa ni kuondoa M23 na offensive zimeanza wiki hii from FARDC.
Vikosi vya SADC mpaka sasa havilipwi Mozambique, kuviweka kule ni upotevu wa hela.
 
Mkuu Kuna nondo muhimu sana unazo kuhusu mgogoro huu,kwa heshima nakuomba anzisha Uzi au kama usha andika Uzi weka humu watu wapitie nondo zako.
 
Ndio yaan tanzania sasa itapigana na majeshi ya rwanda na kundi la magaidi kwa wakati mmoja..
Na hii nchi ilivo na rushwa kazi ipo uzembe uzembe utakua na madhara makubwa sana
Kile ki nchi ni kidogo sana kwa tz hakiiwezi, ili waiweze labda ni hadi watapoivuruga intellijensia ya tz kwa kupenyeza watu wao ( na sidhani kama kuna uzembe kiasi hicho) kinyume na hapo itabaki kuwa propaganda tu.
 
Kile ki nchi ni kidogo sana kwa tz hakiiwezi, ili waiweze labda ni hadi watapoivuruga intellijensia ya tz kwa kupenyeza watu wao ( na sidhani kama kuna uzembe kiasi hicho) kinyume na hapo itabaki kuwa propaganda tu.
Kama wanaweza ivuruga DRC wanashindwaje Tz!! nchi iliyojaa rushwa
 
Kile ki nchi ni kidogo sana kwa tz hakiiwezi, ili waiweze labda ni hadi watapoivuruga intellijensia ya tz kwa kupenyeza watu wao ( na sidhani kama kuna uzembe kiasi hicho) kinyume na hapo itabaki kuwa propaganda tu.
Daima akili nzuri iliyotulia ndiyo inayoleta matokeo mazuri.

"Ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi"

'Aheri ng'ombe Saba walio wanono kuliko ng'ombe elfu Saba walio wadhaifu.'

Nafikiri nimeeleweka.
 
Daima akili nzuri iliyotulia ndiyo inayoleta matokeo mazuri.

"Ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi"

'Aheri ng'ombe Saba walio wanono kuliko ng'ombe elfu Saba walio wadhaifu.'

Nafikiri nimeeleweka.
Ok nimekuelewa, je unafikiri uwezo wao wa akili ni mkubwa kulinganisha na uwezo wa wa tz, nipe facts maana siamini kama wana uwezo huo hata kiakili.

Wanachoweza kutuzidi ni uzalendo na ndio silaha kubwa wakiitumia kila kitu kinawezekana.
 
Ok nimekuelewa, je unafikiri uwezo wao wa akili ni mkubwa kulinganisha na uwezo wa wa tz, nipe facts maana siamini kama wana uwezo huo hata kiakili.

Wanachoweza kutuzidi ni uzalendo na ndio silaha kubwa wakiitumia kila kitu kinawezekana.
Hawajazidi kwa uzalendo bali ni propaganda
 
Hayo makundi yote ya kigaidi yanayopewa majina ya Kiislam ni makundi hanayoundwa na nchi za magharibi kiustadi wa ujasusi na wanatumi a tamaa za wajinga wenye njaa ili waendelee kuchota mali za Afrika.

Wajinga ndiyo waliwao.
Kuutenganisha uislamu na ugaidi ni sawa na kutajrib kutenganisa moyo na damu,

Kwahiyo waislamu safi wakoradhi kutumiwa na makafiri kuuana na kuumiza watu wengine?na kuendela kuuchafua uislam
 
Ok nimekuelewa, je unafikiri uwezo wao wa akili ni mkubwa kulinganisha na uwezo wa wa tz, nipe facts maana siamini kama wana uwezo huo hata kiakili.

Wanachoweza kutuzidi ni uzalendo na ndio silaha kubwa wakiitumia kila kitu kinawezekana.
Na uzalendo hawana
Kilichopo ni ukizingua wanakuua kwaiyo kuna mambo watu hawafanyi kwasababu wanaogopa kufa!!
 
Ule ni ugaidi wa waisilamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…