DOKEZO Kujiondoa kwa Majeshi ya Africa Kusini nchini Msumbiji na kuiacha Tanzania na Rwanda dhidi ya kundi la kigaidi la Ansar al-Sunna kuna maana gani?

DOKEZO Kujiondoa kwa Majeshi ya Africa Kusini nchini Msumbiji na kuiacha Tanzania na Rwanda dhidi ya kundi la kigaidi la Ansar al-Sunna kuna maana gani?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuutenganisha uislamu na ugaidi ni sawa na kutajrib kutenganisa moyo na damu,

Kwahiyo waislamu safi wakoradhi kutumiwa na makafiri kuuana na kuumiza watu wengine?na kuendela kuuchafua uislam
Tuoneshe kikundi kimoja cha ugaidi cha Waislqm ambacho hakijaanzishwa na Wamghsribinkwa kusingizia tunkuwa cha =Kiislam.


Mmeaminishwa sana uongo kwa ujinga wenu.
 
Na uzalendo hawana
Kilichopo ni ukizingua wanakuua kwaiyo kuna mambo watu hawafanyi kwasababu wanaogopa kufa!!
So kumbe mamlaka inatumia power badala ya authority kuendesha mambo yake, watakuja kumsaliti hadi ashangae.

Kimsingi kale ka nchi hakana uwezo wowote wa kupambana na tz, ni vile tu watu wanakapamba.
 
So kumbe mamlaka inatumia power badala ya authority kuendesha mambo yake, watakuja kumsaliti hadi ashangae.

Kimsingi kale ka nchi hakana uwezo wowote wa kupambana na tz, ni vile tu watu wanakapamba.
Ndio mkuu,,,,
Kule nyundo ndio inatumika kuua mende
 
Sawa mkuu, ila unafikiri tz inakwama wapi hasa hadi itishiwe na ka nchi kachanga kama hako.
Kale kaanchi kanapewa silaha kufanyia maasi nchi za africa!!

Marais wa nchi za africa wanaelewa ndo maana kakijitapa wanakaangalia tu
 
Rwanda wameongeza wanajesha 2500 zaidi,kunakoenda msumbiji litakuwa koloni la Rwanda.
Mimi jicho langu limeshaona tayari msumbiji ni kolono la Rwanda. My grand Papa alikwenda kupigana MSUMBIJI nacwakabaki huku kutoa mafunzo. Alikuwa ni MKUU WA MAFUNZO (C.I) kwenye kambi mojawapo huko. Siku ya INTRODUCTION TO THE CAMP anasema wasumbiji 20 walikufa pale pale. Hiyo ni siku ya intro tuu. Haikupita mwezi akapewa order arudi TANZANIA.
BABU YANGU alikuwa jitu katili (RIP) mnoo lakini anasema wasumbiji ni mavivu kimwili na akili.
 
Sasa faiza kwaiyo hao ali shababu wanafundishwa kwa kutumia biblia
Kumbe haufahamu kuwa Al Shabab ni tawi la Al Qaeda? Al Qaeda haujuwi imeanzishwa na nani? Jionee wenyewe walioianzisha wanakiri hadharani:

 
Hiyo itakua vita ngumu sana na umoja wa mataifa hauwezi ruhusu!

Zanzibar tu inaishinda sembuse kuikalia nchi nyingine au kui annex
Kwanza Tanzania haina maslahi yoyote ya maana na Msumbiji kiuchumi zaidi ya suala la usalama tu.

Tanzania iwekeze nguvu zaidi DRC ambako nchi ina maslahi ya moja kwa moja kiuchumi.
 
Kale kaanchi kanapewa silaha kufanyia maasi nchi za africa!!

Marais wa nchi za africa wanaelewa ndo maana kakijitapa wanakaangalia tu
Hapo ndipo tatizo lilipo, umoja wa africa hakuna unachofanya.

Geographic location yake tu ilivyo hakawezi kufurukuta bila msaada wa majirani zake, nafikiri ukiachilia mbali huko anapopata support ila pia kuna shida kubwa ndani ya huo umoja wa africa
 
Inavyoonekana wa-Tanzania wengi sana siyo watu wa kufanya utafiti kuhusiana na mambo mengi ya Migogoro iliyopo ktk nchi zetu hizi za Afrika. Mgogoro uliopo nchini Msumbiji SIYO KWELI kwamba ni mgogoro wa kidini au masuala ya Ugaidi unaoambatana na masuala ya dini, hususani dini ya kiislamu, the answer is NO. Ule purely ni Mgogoro wa kisiasa utokanao na watawala wa nchi hiyo ya Msumbiji (FRELIMO) kushindwa kuongoza Watu (wananchi) vizuri, matokeo yake wakazalisha vurugu hizi zinazoendelea hivi sasa.
Fanyeni tafiti zenu vizuri ili muweze kubaini kiini hasa Cha kuibuka kwa Mgogoro huo. Mgogoro huo una historia ndefu kidogo, na kwa bahati mbaya sana hata sisi wa-Tanzania (Utawala wa CCM ) nao ni chanzo kimojawapo Cha kuasisi Mgogoro huo wa huko Msumbiji. Na ukibahatika kuwasikia wenyewe Raia wa Msumbiji ambao ni wahusika hasa wa Mgogoro huo(yaani Watu wafuasi wa chama Cha RENAMO kinachopingana na Utawala wa FRELIMO) utaona wanaeleza Wazi kabisa kwamba Maadui zao wakubwa kwenye huo Mgogoro ni Utawala wa FRELIMO ya Msumbiji na Utawala wa CCM ya Tanzania, yaani hawafichi kabisa kuhusu suala hili. Wapiganaji wa RENAMO wanaamini kwa dhati kabisa kwamba bila ya Mwl. Nyerere na CCM yake kuisaidia FRELIMO katikà Vita vyao, basi Chama Cha RENAMO kingeshika madaraka na kuwa chama Tawala nchini Msumbiji, CCM ndio imekuwa kikwazo kwao RENAMO Cha kuweza kuwa chama Tawala. Sisi wa-Tanzania tunahesabiwa Kama maadui kwenye huo Mgogoro wa huko Msumbiji hususani kutokana kitendo cha Utawala wa CCM kuisaidia Sana Serikali ya FRELIMO kwenye masuala ya vita.
RENAMO na Kundi la Kigaidi la Answar ni vitu viwili tofauti.
 
Musa siyo mrefu utasikia wanajeshi wa Tanzania wameuwawa na magaidi kumbe Ni wanyarwanda ndio wako nyuma
Rwanda ndio ilikuwa nchi ya kwanza kwenda kule msumbiji kabla ya nchi yoyote ile. Nashangaa mnapoanza kuishambulia.
 
Jeshi la Africa kusini linategemea kufunga virago msumbiji ambako vikosi vya SADC vikiongozwa na South Africa vilikua vikipambana na Kundi la kigaidi la kiislam Msumbiji.

Hii ni kutokana na siasa za Africa kusini zinazoshinikiza Africa kusini kutoa majeshi DRC pia kwene nchi nyingine kama Msumbiji.

Majeshi ya SADC yamekua yakifanya operation kwene nchi za SADC hivi sasa haswa katika jamuhuri ya Congo yakiisaidia DRC kupambana na M23 na msumbiji ya kisaidia kupambana na kundi la mlengo wa Al shababu linaloisumbua serikali ya msumbiji Kasikazi mwa nchi. Na huko kote jeshi la tanzania limekua likihusika ambako SADC imekua ikiyapeleka majeshi yake.

Kwa ambao hawajui Kundi hili linaisumbua msumbiji kwa miaka zaid ya 10 na lishawai fanya mashambulizi kadhaa nchini mpakana na msumbiji hada jimbo la Cabo del gado!!

Inasemekana Kundi hili linauhusiano mkubwa na Ugaidi uliokua unatokea Kibiti kwa kua lilitaka kujenga himaya yake kati ya Tanzania na msumbiji . Lakini lilikuja kutolewa Awamu ya tano ambapo walifanikiwa kushinda vugu vugu hilo dhidi ya Kundi hilo hatari.
Africa ya Kusini wenyewe ni Answar Sunna, wakiwasapoti Hamas. Sasa unafikiri wanaweza pigana na waabudu shetani wenzao!!??
 
Back
Top Bottom