MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
...khaaaa!?... kuna mambo unayatolea ushuhuda mpaka maneno yananiishia.
Hivi ukishatendwa namna hiyo huo moyo unakuwaje?...
![]()
Kwa muda Mbu.....kwa muda but after ther ukishapata 'uponyaji'..unakuwa stronger than ever....... kwani wajua kabisa kuwa hakuna kubwa utakalokutana nalo ambalo ni jipya.