MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
...khaaaa!?... kuna mambo unayatolea ushuhuda mpaka maneno yananiishia.
Hivi ukishatendwa namna hiyo huo moyo unakuwaje?...
Mimi nina idea, tunaweza panga kukutana ila tusijitambulishe ID au mwaonaje, nahisi wazo lake ni zuri, au utakuwa uzushi tu?...Shantel,..wazo lako nimelipenda ila tukishakutana hilo group ndio tuta tambulishana kivipi?
"hello, mimi ndio Mbu!"...
" ahaa,...na mimi Shantel!"...
...au ndio inabidi turefushe ma introduction ya " naitwa Moskwito, a.k.a...Mbu...a.k.a...anopheles! (?) "
Shantel umeandika very good point.
Wakuu...Mnapoamua kutoana outings, kuna masharti na vigezo vinapaswa kuzingatiwa kuonyesha
lengo, nia, madhumuni na dhamira ni ku spend "Quality" time na mamaa/baba watoto wako bila distractions
nyinginezo...
Tafadhali zingatie yafuatayo;
No Mobile Phones Allowed (Forbidden!) No Pending work files Allowed (Prohibitted) No Laptops, Ipads Allowed (Restricted!)Kila la heri.
Kwa muda Mbu.....kwa muda but after ther ukishapata 'uponyaji'..unakuwa stronger than ever....... kwani wajua kabisa kuwa hakuna kubwa utakalokutana nalo ambalo ni jipya.
Blessed are those who endure when they are tested. When they pass the test,
they will receive the crown of life that God has promised to those who love him.
- James 1:12
Mimi nina idea, tunaweza panga kukutana ila tusijitambulishe ID au mwaonaje, nahisi wazo lake ni zuri, au utakuwa uzushi tu?
Very Good. Wenyewe wataalamu wa mambo wanasema, ..."What doesn't kill you makes you stronger!"
The Crown............................................................!!! lol...
MwanajamiiOne hii sredi itaniponza, ...nisijemtia wivu 'Bibie' akanianzishia Gubu!
kama wa arusha wameweza sie tunashindwaje? au ndio woga wa kukutana?Nilisoma JF members wa ARUSHA walifanya hiyo Get Together, wakaenda hata kutembelea mbuga za wanyama (?)...why not? kila kitu possible, nia tu!
Mhhh nini? haiwezekani au?mhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Mhhh nini? haiwezekani au?
Kama ndio hivo haifai, kwa hiyo wa arusha walipata skendo pia?idea nzuri
lakini kama ulifuatilia ya arusha
na kama unajua historia ya darhotwire.com
we acha tu
mikutano ya aina hii inafuatana na skendo nyingi za ngono
mwisho member wengine hupotea kimya kimya
unaweza shangaa baada ya mda wakabaki wachache mno katika waliokutana
idea nzuri
lakini kama ulifuatilia ya arusha
na kama unajua historia ya darhotwire.com
we acha tu
mikutano ya aina hii inafuatana na skendo nyingi za ngono
mwisho member wengine hupotea kimya kimya
unaweza shangaa baada ya mda wakabaki wachache mno katika waliokutana
hahahahahahaha lol??? police tena...ha ha ha, labda anaogopa kuisaidia polisi kutokana na post zake za JF!
idea nzuri
lakini kama ulifuatilia ya arusha
na kama unajua historia ya darhotwire.com
we acha tu
mikutano ya aina hii inafuatana na skendo nyingi za ngono
mwisho member wengine hupotea kimya kimya
unaweza shangaa baada ya mda wakabaki wachache mno katika waliokutana
Kama ndio hivo haifai, kwa hiyo wa arusha walipata skendo pia?
...................ah Mbu siko tayari kuiruin furaha ulonayo ndugu yangu. Huwa ninafarijika sana nionapo binadamu mwenzangu anafuraha na amani....HAPANA, Usiondoke...ameelewa!....pheewww!,...
nikiteleza ana rungu la kunikumbushia wajibu!
moja ya sababu dhb ilikufa ilikuwa ni hiyo
na kuhusu arusha
zilikuja thread hapa nyingi zenye kuashiria hayo
kuna thread moja mdada alilalamika kuwa wakaka wa jf walikuwa
kama wanawadhalilisha hivi,
walikuwa wanawatongoza na kuchukua namba za simu wazi wazi
akitoka huyu anakwenda kwa yule
yaani heshima haikuwepo
ukichanganya na pombe
pata picha
The Boss mbona unakatisha tamaa watu? Yaani we hofu yako ni ngono tu?? wote tu watu wazima mtu akiamua kuchojoa kwa me/ke ni hiyari yake na pia kama watu wana mpango wa kukutana na kungonoka watakutana tu whether kunakuonana kama kikundi au la........... labda tuangalie athari nyingine za kukutana lakini la ngono hapana sidhani kama lina uzito kiasi cha kushikilia maji kiasi hiki!
Ukisema kuwa inaweekana tukapunguza msisimko wa mabandiko na post itaeleweka, wajua mtu ambaye hujawahimwona ni rahisi sana kumu'washa' kipost kama amechemka but as long as mkishaonana na kuanzisha urafiki kunaile ya kuoneana soni, huruma na hii inaua msisimko wa mijadala mbalimbali
yaaani ilikuwa mbaya kiasi hicho laaa salaleeeemoja ya sababu dhb ilikufa ilikuwa ni hiyo
na kuhusu arusha
zilikuja thread hapa nyingi zenye kuashiria hayo
kuna thread moja mdada alilalamika kuwa wakaka wa jf walikuwa
kama wanawadhalilisha hivi,
walikuwa wanawatongoza na kuchukua namba za simu wazi wazi
akitoka huyu anakwenda kwa yule
yaani heshima haikuwepo
ukichanganya na pombe
pata picha