Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You know what??? leo najipendelea Thanks to the mosquito and asprinNow you are talking...........
Uzuri wa bia hakuna kujipendelea..............ni kupiga raundi mtindo mmoja mkikolea mnahamishana meza na ngumi jiwe!
baelezeye bhandugu...baada ya dhiki faraja. Ukiendekeza huzuni nayo inakuzoea..wazungu wanaita depression! ...raha jipe mwenyewe bana...
Mbu ameyapokea mabadiliko apate nyongeza ya siku za kuishi.
Am out.
You know what??? leo najipendelea Thanks to the mosquito and asprin
no sugar added!!
Sasa na hili limjamaa limepandisha ushuru wa vinywaji vyetu.....
Inauma sana asee!
ndio imekuwa shs ngapi? coz sie wengine hayo majukwaa mengine tuna allergy nayo.
na sisi tutaongeza ubunifu katika kuongeza kipato... HAKUNA KULALA HADI KIELEWEKE MKUUSasa na hili limjamaa limepandisha ushuru wa vinywaji vyetu.....
Inauma sana asee!
na sisi tutaongeza ubunifu katika kuongeza kipato... HAKUNA KULALA HADI KIELEWEKE MKUU
Salamu nyingi kutoka kwa waliopigwa ban:madgrin:
mkuu wote nawaombea kheri including 'TF', Janjaweed (mtaalam wa rap), Yoyo, Fellow Tablet1, Memo... lakini huyo wa mwisho namuombea a "rot in hell"Hahahahaha...... juhudi binafsi za kumamata mshiko wa kunywea zem biaz!
Naona una mpango wa kuwafuata huko..........Yo Yo, Bigi, Fellow Tablet1 na Fox Foxy Foxxy
mkuu wote nawaombea kheri including 'TF', Janjaweed (mtaalam wa rap), Yoyo, Fellow Tablet1, Memo... lakini huyo wa mwisho namuombea a "rot in hell"
Sitashangaa ikiwa buku mbili..........lakini siye tutakunywa tu, hatuna jinsi!
nakaonea huruma kale ka fox maana walivyo wengi na hasira zao balaaHeheheheeh...........huko lupango waliko naona itakuwa NGUMI JIWE!
nakaonea huruma kale ka fox maana walivyo wengi na hasira zao balaa
Hahahahahaaaa unapenda bia kiasi hiki?Mi naona serikali haipendi familia zetu. Kupandisha bei ya bia wanakomoa familia maana mi mia zangu tano kila siku ziko palepale. Ina maana posho ninayoaloketi kwenye familia inapigwa panga!
...halafu mtm unajua?...thamani na hadhi ya mtu inategemea na unapojitutumua kumpeleka.
Kumpeleka mamsap guest house wakati mlipotongozana ilikuwa highlife, ni kumvunjia heshima kwa kiwango kikubwa. Hata mungu hapendi..
...1st date ni 3*** star place na kupanda juu...tumia pesa ikuzoee ndivo asemavyo BJ. Mtaodhani na kibri poleni, my soulmate ni 5***** star quality!
...dah, leo mauzo hayajanikalia sawa.
Mamsap atanielewa kweli?
Jipangeni jamani, maisha yenyewe haya haya..mnajidai kungojea paradise ilhali ibada zenyewe za kuongezea salio (pay as you go)...
......................... Some people are very lucky kwa kweli.:A S thumbs_up::A S thumbs_up: