Kujitolea kufanya kazi za watu ni kujishusha thamani

Kujitolea kufanya kazi za watu ni kujishusha thamani

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Kwanini usijitolee kufanya kazi zako.
Kwanini usijitolee kutafuta hata madini wewe mwenyewe.
Kwanini usijitolee hata kutoa elimu kwa wengine wewe mwenyewe.
Kwanini usijitolee hata kufundisha wengine wewe mwenyewe.

Mimi baada ya kumaliza chuo nilijitolea mwenyewe kufundisha vijana table teaching.

Nilikataa kujitolea kuwafanyia kazi wengine.
Ni ujinga hulipwi na unabe controlled.
Tambua thamani yako acha kupoteza muda jitolee kwenye kazi zako.
 
Kwanini usijitolee kufanya kazi zako.
Kwanini usijitolee kutafuta hata madini wewe mwenyewe.
Kwanini usijitolee hata kutoa elimu kwa wengine wewe mwenyewe.
Kwanini usijitolee hata kufundisha wengine wewe mwenyewe.

Mimi baada ya kumaliza chuo nilijitolea mwenyewe kufundisha vijana table teaching.

Nilikataa kujitolea kuwafanyia kazi wengine.
Ni ujinga hulipwi na unabe controlled.
Tambua thamani yako acha kupoteza muda jitolee kwenye kazi zako.
Waziri Mkuu Majaliwa amejitolea kufanya kazi za watu na analipwa, Mama Samia anafanya kazi za watu. Sasa tuambie kati yako wewe na hao niliowataja nani ana thamani zaidi?
 
Kwanini usijitolee kufanya kazi zako.
Kwanini usijitolee kutafuta hata madini wewe mwenyewe.
Kwanini usijitolee hata kutoa elimu kwa wengine wewe mwenyewe.
Kwanini usijitolee hata kufundisha wengine wewe mwenyewe.

Mimi baada ya kumaliza chuo nilijitolea mwenyewe kufundisha vijana table teaching.

Nilikataa kujitolea kuwafanyia kazi wengine.
Ni ujinga hulipwi na unabe controlled.
Tambua thamani yako acha kupoteza muda jitolee kwenye kazi zako.
Sio kila kazi ya kujitolea unajishusha thamani, ndio mwanzo wa connection & Networking
 
Back
Top Bottom