Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Waziri Mkuu Majaliwa amejitolea kufanya kazi za watu na analipwa, Mama Samia anafanya kazi za watu. Sasa tuambie kati yako wewe na hao niliowataja nani ana thamani zaidi?Kwanini usijitolee kufanya kazi zako.
Kwanini usijitolee kutafuta hata madini wewe mwenyewe.
Kwanini usijitolee hata kutoa elimu kwa wengine wewe mwenyewe.
Kwanini usijitolee hata kufundisha wengine wewe mwenyewe.
Mimi baada ya kumaliza chuo nilijitolea mwenyewe kufundisha vijana table teaching.
Nilikataa kujitolea kuwafanyia kazi wengine.
Ni ujinga hulipwi na unabe controlled.
Tambua thamani yako acha kupoteza muda jitolee kwenye kazi zako.
Sio kila kazi ya kujitolea unajishusha thamani, ndio mwanzo wa connection & NetworkingKwanini usijitolee kufanya kazi zako.
Kwanini usijitolee kutafuta hata madini wewe mwenyewe.
Kwanini usijitolee hata kutoa elimu kwa wengine wewe mwenyewe.
Kwanini usijitolee hata kufundisha wengine wewe mwenyewe.
Mimi baada ya kumaliza chuo nilijitolea mwenyewe kufundisha vijana table teaching.
Nilikataa kujitolea kuwafanyia kazi wengine.
Ni ujinga hulipwi na unabe controlled.
Tambua thamani yako acha kupoteza muda jitolee kwenye kazi zako.