Kujiuzulu kwa mjumbe wa bodi ya ligi inaonekana bodi hiyo ilifanya maamuzi ya kishabiki zaidi badala ya kanuni na sheria walizoziweka wao!

Kujiuzulu kwa mjumbe wa bodi ya ligi inaonekana bodi hiyo ilifanya maamuzi ya kishabiki zaidi badala ya kanuni na sheria walizoziweka wao!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Hii bodi ya ligi inavyoonekana Ina wajumbe wengi ambao ni mashabiki na wanazi wa simba kitendo kilichopelekea kuelemewa na mahaba zaidi kutoa maamuzi ya ovyo kuliko kufata Sheria na kanuni walizoziweka wao!

Kitendo cha mjumbe Philemon ntahilaja kujiuzulu kimeonyesha kwenye kikao chao kilikuwa na mnyukano wa kimaamuzi uku wengine wakilazimisha mechi iahirishwe na wengine wakitaka mechi ichezwe kulingana na kanuni zinavyoelekeza!

Bodi hii imejivua nguo kuliko siku yoyote Ile kwa maamuzi ya kipumbavu kama Aya.

Uwezi kuahirisha mechi eti kwasababu timu Moja imezuiliwa kufanya mazoezi, kama imezuiliwa ukishathibitisha Kuna kanuni zake za adhabu zimeainishwa kwa mujibu wa Sheria na sio kuahirisha mchezo husika!

Bodi imetengeneza mgogoro mkubwa ambao itawagharimu pakubwa kuuzima, kwakuwa hii kitu itatumiwa kama reference ikija kutokea scenario kama hii na bodi haitokuwa na meno ya kutoa maamuzi kwakuwa washabariki tiyari na imeshaingia kwenye record!

Kuna wajinga Wanakumbushia sakata la yanga kugomea mechi iliyosogezwa muda mbele na tff mwaka 2021 kwamba ni sawa na hii, labda kitu ambacho hawaelewi ni kwamba hata mgomo ule yanga kanuni ilikuwa upande wao ndio maana walifanya walichokifanya na TFF wasingewafanya chochote, kwa maana tff ilitakiwa iwape taarifa ya kusogeza muda wa mechi mbele ndani ya masaa 24 but tff awakufanya hivyo!

Sasa ata hili sakata kanuni Iko upande wa yanga na inawabeba kutocheza mechi yoyote nyingine ya derby na tff awatokuwa na cha kuwafanya kwakuwa bodi itaulizwa ni kanuni ipi wameifata mpaka wakaahirisha mechi ya mwanzo?

Ni Sheria ipi ya fifa inasema timu husika ikizuiwa kufanya mazoezi ya mwisho basi timu husika inagoma na mechi inaahirishwa?

Mpaka hapo bodi imejing'oa meno yake yenyewe!

Mechi ilitakiwa ichezwe wakati bodi inaendelea kushughulikia malalamiko ya Simba na sio kuahirisha mechi kwasababu ambazo hazina mashiko!

Hii ndio ligi Bora inayoshika nafasi ya 6 Afrika ikiwa na madudu ya ovyo ya namna hii🤔🤔
 
Inawezekana ukawa una point, ila umejadili kama mwana yanga typical.
Kwahiyo na wewe bado ni mihemko tu inakusumbua.

Mimi siamini ulichokisema kuwa bodi imejaa wajumbe wafuasi wa simba.

Inawezekana kabisa kua busara iliamua haya (sio lazima busara iwe sahihi)

Mechi isingeahirishwa, simba asilete timu, ikiwa hakuna sababu ya msingi, adhabu ni pamoja na kushushwa daraja. Jadili na hilo kidogo kwa maslahi mapana ya soka.
 
Watu wammesafiri watu wamelipia vingamuzi vyao wajumbe wa bodi wanafanya maamuzi kimahaba badala ya kufata kanuni...uvunjifu wowote wa kanuni anaamuliwa kikanuni sio kwa timu kugomea mechi...simba inawalaamika mabaunsa...mabaunsa wametajwa kwenye kanuni ya ngapi ya taritibu za mchezo?!...pale tff hakuna uongozi kumejaa wahuni watupu
 
Inasikitisha kuona wahuni wachache wanawasababishia hasara maelfu ya watu na kampuni mbalimbali, kwa sababu zao tu nyepesi, na zisizo na mashiko.
 
Inawezekana ukawa una point, ila umejadili kama mwana yanga typical.
Kwahiyo na wewe bado ni mihemko tu inakusumbua.

Mimi siamini ulichokisema kuwa bodi imejaa wajumbe wafuasi wa simba.

Inawezekana kabisa kua busara iliamua haya (sio lazima busara iwe sahihi)

Mechi isingeahirishwa, simba asilete timu, ikiwa hakuna sababu ya msingi, adhabu ni pamoja na kushushwa daraja. Jadili na hilo kidogo kwa maslahi mapana ya soka.
Unasema busara iliamua na Simba isingeleta timu ingeshushwa daraja kumbe unajua kanuni zinasemaje isipokuwa unajificha kwenye kichaka cha busara?
Kumbe bodi walitakiwa wasimamie kanuni zao na sio busara ili kuvinyoosha hivi vilabu kwakuwa Mpira wetu unadumazwa na tff kwa kuvidekeza hivi vilabu viwili vinapofanya upuuzi awakutakiwa kucheka na kima kama kushushwa wangeshushwa kama Italia walivyofanya kuishusha timu kubwa na FA yao aichezewi ovyo ovyo mpaka sasa Kuna usawa!
 
Halafu wanatamka tu kirahisi rahisi, tutatoa tarehe nyingine ya mechi.."

Hizo gharama zilizopotea na za kuandaa upya mechi watalipa wao?

Na kwa sababu ipi haswa? Kulikuwa na logic gani ya kuahirisha mechi?
 
Hii bodi ya ligi inavyoonekana Ina wajumbe wengi ambao ni mashabiki na wanazi wa simba kitendo kilichopelekea kuelemewa na mahaba zaidi kutoa maamuzi ya ovyo kuliko kufata Sheria na kanuni walizoziweka wao!
Kitendo cha mjumbe Philemon ntahilaja kujiuzulu kimeonyesha kwenye kikao chao kilikuwa na mnyukano wa kimaamuzi uku wengine wakilazimisha mechi iahirishwe na wengine wakitaka mechi ichezwe kulingana na kanuni zinavyoelekeza!
Bodi hii imejivua nguo kuliko siku yoyote Ile kwa maamuzi ya kipumbavu kama Aya,,
Uwezi kuahirisha mechi eti kwasababu timu Moja imezuiliwa kufanya mazoezi,,kama imezuiliwa ukishathibitisha Kuna kanuni zake za adhabu zimeainishwa kwa mujibu wa Sheria na sio kuahirisha mchezo husika!
Bodi imetengeneza mgogoro mkubwa ambao itawagharimu pakubwa kuuzima,,kwakuwa hii kitu itatumiwa kama reference ikija kutokea scenario kama hii na bodi aitokuwa na meno ya kutoa maamuzi kwakuwa washabariki tiyali na imeshaingia kwenye record!
Kuna wajinga Wanakumbushia sakata la yanga kugomea mechi iliyosogezwa muda mbele na tff mwaka 2021 kwamba ni sawa na hii,,labda kitu ambacho awaelewi ni kwamba ata mgomo ule yanga kanuni ilikuwa upande wao ndio maana walifanya walichokifanya na tff wasingewafanya chochote,,kwa maana tff ilitakiwa iwape taarifa ya kusogeza muda wa mechi mbele ndani ya masaa 24 but tff awakufanya hivyo!
Sasa ata hili sakata kanuni Iko upande wa yanga na inawabeba kutocheza mechi yoyote nyingine ya derby na tff awatokuwa na cha kuwafanya kwakuwa bodi itaulizwa ni kanuni ipi wameifata mpaka wakaahirisha mechi ya mwanzo?
Ni Sheria ipi ya fifa inasema timu husika ikizuiwa kufanya mazoezi ya mwisho basi timu husika inagoma na mechi inaahirishwa?
Mpaka hapo bodi imejing'oa meno yake yenyewe!
Mechi ilitakiwa ichezwe wakati bodi inaendelea kushughulikia malalamiko ya Simba na sio kuahirisha mechi kwasababu ambazo hazina mashiko!
Hii ndio ligi Bora inayoshika nafasi ya 6 Africa ikiwa na madudu ya ovyo ya namna hii🤔🤔
Ongeza madudu na upangaji matokeo!
 
Inasikitisha kuona wahuni wachache wanawasababishia hasara maelfu ya watu na kampuni mbalimbali, kwa sababu zao tu nyepesi, na zisizo na mashiko.
NA HAO WAHUNI WENYEWE NI MABAUSA WA YANGA, HAO NDO CHANZO NA MZIZI WA FITINA HAPA.
 
Kama tff wangefanya maamuzi magumu ya kuipa yanga point na kuishusha daraja simba kwa mujibu wa kanuni nakuhakikishia tusingeshuhudia tukio la timu kugomea mechi kienyeji kwa miaka 200 ijayo
 
Hii bodi ya ligi inavyoonekana Ina wajumbe wengi ambao ni mashabiki na wanazi wa simba kitendo kilichopelekea kuelemewa na mahaba zaidi kutoa maamuzi ya ovyo kuliko kufata Sheria na kanuni walizoziweka wao!
Kitendo cha mjumbe Philemon ntahilaja kujiuzulu kimeonyesha kwenye kikao chao kilikuwa na mnyukano wa kimaamuzi uku wengine wakilazimisha mechi iahirishwe na wengine wakitaka mechi ichezwe kulingana na kanuni zinavyoelekeza!
Bodi hii imejivua nguo kuliko siku yoyote Ile kwa maamuzi ya kipumbavu kama Aya,,
Uwezi kuahirisha mechi eti kwasababu timu Moja imezuiliwa kufanya mazoezi,,kama imezuiliwa ukishathibitisha Kuna kanuni zake za adhabu zimeainishwa kwa mujibu wa Sheria na sio kuahirisha mchezo husika!
Bodi imetengeneza mgogoro mkubwa ambao itawagharimu pakubwa kuuzima,,kwakuwa hii kitu itatumiwa kama reference ikija kutokea scenario kama hii na bodi aitokuwa na meno ya kutoa maamuzi kwakuwa washabariki tiyali na imeshaingia kwenye record!
Kuna wajinga Wanakumbushia sakata la yanga kugomea mechi iliyosogezwa muda mbele na tff mwaka 2021 kwamba ni sawa na hii,,labda kitu ambacho awaelewi ni kwamba ata mgomo ule yanga kanuni ilikuwa upande wao ndio maana walifanya walichokifanya na tff wasingewafanya chochote,,kwa maana tff ilitakiwa iwape taarifa ya kusogeza muda wa mechi mbele ndani ya masaa 24 but tff awakufanya hivyo!
Sasa ata hili sakata kanuni Iko upande wa yanga na inawabeba kutocheza mechi yoyote nyingine ya derby na tff awatokuwa na cha kuwafanya kwakuwa bodi itaulizwa ni kanuni ipi wameifata mpaka wakaahirisha mechi ya mwanzo?
Ni Sheria ipi ya fifa inasema timu husika ikizuiwa kufanya mazoezi ya mwisho basi timu husika inagoma na mechi inaahirishwa?
Mpaka hapo bodi imejing'oa meno yake yenyewe!
Mechi ilitakiwa ichezwe wakati bodi inaendelea kushughulikia malalamiko ya Simba na sio kuahirisha mechi kwasababu ambazo hazina mashiko!
Hii ndio ligi Bora inayoshika nafasi ya 6 Africa ikiwa na madudu ya ovyo ya namna hii🤔🤔
Hawa BODI n wasengee mkuuu wako pale kula pesa za fiffa wapuuzi kabisa wanaaribu soka LETU WAKIONGOZWA na mwenyekiti WA BODI na wenziee wale n washenzi Rwanda wangekuwa wanasimama MAHAKAMAN jtatu
 
Hii bodi ya ligi inavyoonekana Ina wajumbe wengi ambao ni mashabiki na wanazi wa simba kitendo kilichopelekea kuelemewa na mahaba zaidi kutoa maamuzi ya ovyo kuliko kufata Sheria na kanuni walizoziweka wao!
Kitendo cha mjumbe Philemon ntahilaja kujiuzulu kimeonyesha kwenye kikao chao kilikuwa na mnyukano wa kimaamuzi uku wengine wakilazimisha mechi iahirishwe na wengine wakitaka mechi ichezwe kulingana na kanuni zinavyoelekeza!
Bodi hii imejivua nguo kuliko siku yoyote Ile kwa maamuzi ya kipumbavu kama Aya,,
Uwezi kuahirisha mechi eti kwasababu timu Moja imezuiliwa kufanya mazoezi,,kama imezuiliwa ukishathibitisha Kuna kanuni zake za adhabu zimeainishwa kwa mujibu wa Sheria na sio kuahirisha mchezo husika!
Bodi imetengeneza mgogoro mkubwa ambao itawagharimu pakubwa kuuzima,,kwakuwa hii kitu itatumiwa kama reference ikija kutokea scenario kama hii na bodi aitokuwa na meno ya kutoa maamuzi kwakuwa washabariki tiyali na imeshaingia kwenye record!
Kuna wajinga Wanakumbushia sakata la yanga kugomea mechi iliyosogezwa muda mbele na tff mwaka 2021 kwamba ni sawa na hii,,labda kitu ambacho awaelewi ni kwamba ata mgomo ule yanga kanuni ilikuwa upande wao ndio maana walifanya walichokifanya na tff wasingewafanya chochote,,kwa maana tff ilitakiwa iwape taarifa ya kusogeza muda wa mechi mbele ndani ya masaa 24 but tff awakufanya hivyo!
Sasa ata hili sakata kanuni Iko upande wa yanga na inawabeba kutocheza mechi yoyote nyingine ya derby na tff awatokuwa na cha kuwafanya kwakuwa bodi itaulizwa ni kanuni ipi wameifata mpaka wakaahirisha mechi ya mwanzo?
Ni Sheria ipi ya fifa inasema timu husika ikizuiwa kufanya mazoezi ya mwisho basi timu husika inagoma na mechi inaahirishwa?
Mpaka hapo bodi imejing'oa meno yake yenyewe!
Mechi ilitakiwa ichezwe wakati bodi inaendelea kushughulikia malalamiko ya Simba na sio kuahirisha mechi kwasababu ambazo hazina mashiko!
Hii ndio ligi Bora inayoshika nafasi ya 6 Africa ikiwa na madudu ya ovyo ya namna hii🤔🤔
Umeeleza vizuri! Lakini nimepata shida sana na hili andiko jinsi ulivyoandika! Ina maana siku hizi "H" haitumiki tena kwenye Kiswahili? Wasomi wa siku hizi mmekuwa wapumbavu sana na madegree yenu! Inakuwa kwenye "Hata" unaandika "ata?"
 
Mfano uliambiwa umtaje hata baunsa mmoja au picha yake unaweza, msiwaamini viongozi wa simba hamna kitu pale.
Bodi wamesema simba walizuiliwa kwa kuwa hawakutoa taarifa ila wao wanaamini Yanga ndo wamezuia, jiongeze basi
 
Mfano uliambiwa umtaje hata baunsa mmoja au picha yake unaweza, msiwaamini viongozi wa simba hamna kitu pale.
Bodi wamesema simba walizuiliwa kwa kuwa hawakutoa taarifa ila wao wanaamini Yanga ndo wamezuia, jiongeze basi
 
... bodi aitokuwa na meno
labda kitu ambacho awaelewi ni kwamba ata mgomo ule yanga kanuni ilikuwa upande
Sasa ata hili sakata kanuni Iko upande wa yanga na inawabeba kutocheza mechi yoyote nyingine ya derby na tff awatokuwa na cha kuwafanya
Wenye akili ni wawili tu
 
Back
Top Bottom