1.Wakati Tanzania bara wanafukuza wamachinga hovyo na kuwarudisha nyuma kimaendeleo ,upande wa Zanzibar Rais Mwinyi amewapa vitambulisho na kuwapa uhuru wa kupiga kazi masaa 24.
2. Wakati Tanzania bara Makamba akipandisha bei ya kuunga umeme mpaka zaidi ya laki 9, upande wa Zanzibar Rais Mwinyi ameshusha gharama ya kuunga umeme mpaka laki 2 tu kwa mtu ambaye hana nguzo.
My take.
1. Smartphone zimeondolewa VAT ili zishuke bei na watanzania wengi wanunue na serikali ikate tozo, kwa nini wasishushe bei ya kuunga umeme ili wakate tozo pia?
2. Serikali inatoa elimu bure kwa nini umeme ishindwe?
3. Serikali inatoa mikopo vyuo vikuu?
4. Serikali inakusanya kodi ya majengo kupitia Luku.
Hiyo serikali imewezaje yote hayo alafu ishindwe kushusha bei ya kuunga umeme?
Change ni sawa yuko Bright lakini hana maadili ya uongozi pia kama nchi ingekua inafata sheria huyu angekua JELA .Sasa utampaje mwizi wa Mali za umma kuwa mkuu wa mhimili wa Bunge?Kwa hali hii nchi yetu Ina safari ndefu Sana.Au ni kwa Sababu viongozi wote wa CCM ni wezi ndo Maana mnamtaka Chenge?
Mayalla ni vizuri kama ungekuwa specific zaidi kuhusu nani anafaa kuwa spika bora sababu hadi sasa majina ya wagombea wote kwa tiketi ya CCM inajulikana wazi. Hii itawasaidia hata baadhi ya hao wateuaji kufanya maamuzi ya busara kuliko kiufanya kwa mazoea tu.
Lakini nikifikiria mbali zaidi naona bado tatizo linakuwa pale pale sababu wanaomteua mgombea kwa tiketi ya CCM ndio hao hao wanaounda serikali hivyo hawawezi kumteua mtu mwenye misimamo mikali dhidi yao.
Hujasema nini yako matarajio kwa huyo ^Spika Bora.^ JYN was very good pale mwishoni until he repented his own true words. Nadhani alitishwa kwamba ^Ukitubu utasamehewa, na marupurupu yako utaendelea kupata.^
Change ni sawa yuko Bright lakini hana maadili ya uongozi pia kama nchi ingekua inafata sheria huyu angekua JELA .Sasa utampaje mwizi wa Mali za umma kuwa mkuu wa mhimili wa Bunge?Kwa hali hii nchi yetu Ina safari ndefu Sana.Au ni kwa Sababu viongozi wote wa CCM ni wezi ndo Maana mnamtaka Chenge?
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Jumapili ya leo. View attachment 2083138
Siku zote, nabii huwa hakubaliki nyumbani, lakini sote tunakubali kuwa Mungu siku zote huwa anazungumza na watu wake, kupitia manabii, na nabii anaweza kuwa mtu yoyote hata usiyemtegemea. Japo mimi sii miongoni mwa manabii hawa wa Mungu, lakini kuna vitu huwa navisema, halafu vinakuja kutokea.
Wanabodi, Dr. John Pombe Joseph Magufuli ndiye mshindi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025 and may be more!, anayesubiri tuu kutangazwa rasmi na kuapishwa. Nimesema 2015 -2025 sio kwa bahati mbaya as if hakuna uchaguzi 2020, no!, nimesema 2015-2025 kwa sababu huu ndio ukweli...
www.jamiiforums.com
Hata kuitwa kwa JPM na ujio wa Mama Samia, ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, nami pia niliuzunguzia ujio wa Samia.
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...
www.jamiiforums.com
Sasa kwenye hili la Spika, kuna sauti niliisikia na nikasema humu!, angalia nilisema nini, na lini?
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...
www.jamiiforums.com
Bandiko hili pia ni bandiko la unabii
Jee wajua kuwa kitendo cha kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika, Mhe. Job Yustino Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili taifa letu Tanzania, tuachane na "Bora Spika" na badala yake tupate "Spika Bora". Swali ni Je CCM ituteulia "Spika Bora", au itaendelea na ule utaratibu wake wa ki CCM, kutupatia "Bora Spika" kama kawaida?. Unabii ni huu.
Kama ni kweli, kujiuzulu kwa Ndugai, ni mpango wa Mungu, ili taifa letu lipate "Spika Bora", CCM ina wajibu wa kutupatia "Spika Bora" wa ukweli, kati ya hao waliojitokeza. Ikitokea CCM kututeulia "Bora Spika" mwingine, maana yake, huku kutakuwa ni kwenda kinyume cha mpango wa Mungu, hivyo CCM isipotuteulia "Spika Bora" na badala yake, ikatuleulia "Bora Spika" mwingine, this time around "Karma Itahusu..".
Spika aliyepita wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyejiuzulu hivi karibuni, hakuwa “Spika Bora”, alikuwa ni “Bora Spika”, hivyo kujiuzulu kwake, hakuna anayekusikitikia, na badala ya watu kusikitika, watu wanaolitakia mema taifa hili, wamefurahia kujiuzulu huko kwasababu kujiuzulu kwa Spika aliyetangua, kunaleta fursa ya taifa letu kupata tena “Spika Bora” kama enzi za Mzee wa “Speed and Standards“, Mzee SS. Swali ni jee CCM, itatupatia “Spika Bora” au “Bora Spika?.
Kwanza niombe radhi, wiki iliyopita nilisema wiki hii tutazungumzia kitu kinachoitwa “karma”, lakini kufuatia taifa letu kupitia katika changamoto ya kumtafuta mkuu wa mhimili wa Bunge, sisi watu wa media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu, kupata viongozi bora, kwa kuonyesha udhaifu wa baadhi ya viongozi waliopita, udhaifu wa baadhi ya wanaotarajiwa sana, na uimara wa baadhi ya waliojitokeza, ili katika uchaguzi wa Spika, tusirudie makosa yaliyopita, na kwenye fursa ya kupata “Spika Bora”, tusifanye kosa tukachagua “Bora Spika”.
Nimesema Spika aliyepita hakuwa Spika Bora, alikuwa ni Bora Spika, kutokana na utamaduni wa upatikanaji wa Spika kwa CCM, Pius Mswekwa alikuwa ni Naibu Spika wa Spika Chief Adam Sapi Mkwawa, Spika Sitta alimshinda Msekwa kwa kumshinda kwa sifa, Spika Anna Makinda alikuwa Naibu Spika wa Samweli Sitta, Spika Job Ndugai alikuwa Naibu Spika wa Anna Makinda, hivyo utamaduni huu ukiendelea, baada ya Spika Ndugai kujiuzulu, anayetarajiwa sana ni Naibu Spika, Dr. Tulia Akson.
Kwa vile Spika Job Ndugai hakuwa Spika Bora, na kujiuzulu kwake kwa kashfa ni uthibitisho, vivyo hivyo CCM wakiendeleza utamaduni wa kumteua Naibu Spika kuwa Spika, huko kutatupatia “Bora Spika”, mwingine!, kwanini tupate tena “Bora Spika” wakati tuna fursa ya kupata “Spika Bora”?.
Wenzetu wazungu wanaita, “endorsement”, hivyo leo nafanya endorsement yangu kumpata Spika Bora, kwa kutumia udhaifu wa Spika aliyepita, na makosa ya msaidizi wake, huku nikipendekeza spika bora.
Angalizo: Hii sio kampeni kumpigia debe mtu yoyote, bali ni uzalendo kwa taifa langu, baada ya kuongozwa na “bora spika”, inapotokea fursa ya kumpata spika bora, sisi wenye jicho tunduizi la kuona matundu kwenye bora spika, tuyaonyeshe hayo matundu, ili tuepuke kupata bora spika, na kuangazia fursa za kupata spika bora, kuuongoza mhimili wetu wa kutunga sheria
Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 1995, Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, mtu yoyote mwenye sifa na vigezo, anaweza kuwa rais wa Tanzania, lakini Rais Bora, atatoka CCM. Hivyo baada ya nafasi ya Spika kuwa wazi, wamejitokeza watu wengi kuonyesha nia kupitia CCM, na wote wana kidhi sifa na vigezo, hivyo kama tunataka kupata bora spika, mtu yoyote kati ya hao, anaweza kuwa Spika, lakini kama tunataka Spika Bora, ni baadhi tuu ya hao, ndio wanaweza kutupatia Spika Bora.
Vikao vya CCM vitakutana wiki hii kufanya uteuzi wa majina matatu, kisha kikao cha wabunge wa CCM kitapiga kura kuchagua jina jina, tunakiomba Chama cha Mapinduzi kututeulia Spika Bora, na kuwaomba wabunge wa CCM, kutuchagulia mgombea bora.
Uchaguzi wa Spika mpya, utafanyika kwenye kikao kijacho cha Bunge, ambapo vyama mbalimbali vya siasa, vitateua majina ya wagombea wake, kila chama mgombea mmoja. Hivyo Mtanzania yoyote, kutoka chama chochote cha siasa, aliyekidhi sifa na vigezo, anaweza kuwa Spika wa Bunge la JMT.
Lakini kwa siasa za Tanzania, tukubali, tukatae, ile kauli ya Mwalimu Nyerere kuhusu urais wa Tanzania, kuwa “rais bora lazima atatoka CCM”, ikingali inaishi hata kwenye Uspika, kuwa Spika bora wa Bunge la JMT, lazima atatoka CCM.
Kama nilivyouanza mwaka huu, katika salamu zangu mwaka mpya, kwa kusema huu ni mwaka wa mabadiliko, na kuwaomba Watanzania tubadilike, kujizulu kwa Spika aliyepita, ni mpango wa Mungu kuleta mabadiliko katika mhimili huu pia, baada ya Mungu kuleta mabadiliko kwenye mhimili wa Serikali, sasa ni zamu ya mabadiliko katika Mhimili wa Bunge, dini zote zinatusisitiza tushukuru kwa yoye, hivyo tushukuru hata kwa mabadiliko haya ya mkuu wa mhimili wa Bunge, baada ya kutokea fursa hii, ni jukumu la Bunge letu kutupatia Spika Bora.
Kwa vile media ina ushawishi mkubwa, wa kuhamasisha jamii “influence and shape the public opinion”, media za wenzetu mfano Marekani, wao wana vyama vikuu viwili, The Democrats na The Republic, kwenye uchaguzi mkuu, wao, media zilifanya kitu kinachoitwa “endorsement”, kwa baadhi ya media na watu mashuhuri na maarufu, kumuunga mkono mgombea wa chama fulani, mfano kuna watu, TV na Magazeti, yalimuunga mkono Barack Obama na chama cha Democrat.
Sisi Tanzania, ingawa nchi yetu ni nchi ya vyama vingi vya siasa, kwa mujibu wa katiba, lakini ukweli halisi kwa huku bara, na Bunge la JMT, japo ni Bunge la vyama vingi, lakini kiukweli wenyewe halisi uliopo, ni Bunge la chama kimoja CCM. Na nchi yetu kwa huku Tanzania Bara ni nchi ya vyama vingi, lakini ukweli ni nchi ya chama kimoja CCM, kikizungukwa na vyama utitiri, hivyo kama media kufanya endorsement, ni endorsement ya mgombea wa CCM.
Nafasi ya kila chama kutoa mgombea ni nafasi moj tuu, na kati ya wagombea wote waliojitokeza CCM, atakayechaguliwa kuiwakilisha CCM ni mtu mmoja, na kati ya hao waliojitokeza CCM, miongoni mwao, mtu mmoja huyo wa kutupatia Spika bora, swali ni Jee CCM safari hii, watatupatia Spika Bora?, au wataendelea kutupatia Bora Spika, kama aliyetangulia?.
Change ni sawa yuko Bright lakini hana maadili ya uongozi pia kama nchi ingekua inafata sheria huyu angekua JELA .Sasa utampaje mwizi wa Mali za umma kuwa mkuu wa mhimili wa Bunge?Kwa hali hii nchi yetu Ina safari ndefu Sana.Au ni kwa Sababu viongozi wote wa CCM ni wezi ndo Maana mnamtaka Chenge?
Nasikia hiyo SIASANI inaitwa modus operandi. Eti ni mchakato wa kawaida, kama vile tu kurushiana maneno ya kubutuana kabla ya kuingia ulingoni kwa wanamiereka 🙂
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Jumapili ya leo. View attachment 2083138
Siku zote, nabii huwa hakubaliki nyumbani, lakini sote tunakubali kuwa Mungu siku zote huwa anazungumza na watu wake, kupitia manabii, na nabii anaweza kuwa mtu yoyote hata usiyemtegemea. Japo mimi sii miongoni mwa manabii hawa wa Mungu, lakini kuna vitu huwa navisema, halafu vinakuja kutokea.
Wanabodi, Dr. John Pombe Joseph Magufuli ndiye mshindi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025 and may be more!, anayesubiri tuu kutangazwa rasmi na kuapishwa. Nimesema 2015 -2025 sio kwa bahati mbaya as if hakuna uchaguzi 2020, no!, nimesema 2015-2025 kwa sababu huu ndio ukweli...
www.jamiiforums.com
Hata kuitwa kwa JPM na ujio wa Mama Samia, ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, nami pia niliuzunguzia ujio wa Samia.
Wanabodi, Leo asubuhi nimeangalia kipindi cha mahojiano ya Makamo wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumzia Siku ya Wanawake Duniani kwenye TBC akihojiwa na Shabani Kissu. Kwa Waliosikiliza kipindi hiki, kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya...
Wanabodi, Niko kwenye voluntariy lockdown, hivyo leo nimepata fursa ya kuangalia TV ya Zanzibar, ZBC, Mwandishi wa habari wa CCM Zanzibar, Daudi Ismail anamhoji Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku...
www.jamiiforums.com
Sasa kwenye hili la Spika, kuna sauti niliisikia na nikasema humu!, angalia nilisema nini, na lini?
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...
www.jamiiforums.com
Bandiko hili pia ni bandiko la unabii
Jee wajua kuwa kitendo cha kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika, Mhe. Job Yustino Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili taifa letu Tanzania, tuachane na "Bora Spika" na badala yake tupate "Spika Bora". Swali ni Je CCM ituteulia "Spika Bora", au itaendelea na ule utaratibu wake wa ki CCM, kutupatia "Bora Spika" kama kawaida?. Unabii ni huu.
Kama ni kweli, kujiuzulu kwa Ndugai, ni mpango wa Mungu, ili taifa letu lipate "Spika Bora", CCM ina wajibu wa kutupatia "Spika Bora" wa ukweli, kati ya hao waliojitokeza. Ikitokea CCM kututeulia "Bora Spika" mwingine, maana yake, huku kutakuwa ni kwenda kinyume cha mpango wa Mungu, hivyo CCM isipotuteulia "Spika Bora" na badala yake, ikatuleulia "Bora Spika" mwingine, this time around "Karma Itahusu..".
Spika aliyepita wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyejiuzulu hivi karibuni, hakuwa “Spika Bora”, alikuwa ni “Bora Spika”, hivyo kujiuzulu kwake, hakuna anayekusikitikia, na badala ya watu kusikitika, watu wanaolitakia mema taifa hili, wamefurahia kujiuzulu huko kwasababu kujiuzulu kwa Spika aliyetangua, kunaleta fursa ya taifa letu kupata tena “Spika Bora” kama enzi za Mzee wa “Speed and Standards“, Mzee SS. Swali ni jee CCM, itatupatia “Spika Bora” au “Bora Spika?.
Kwanza niombe radhi, wiki iliyopita nilisema wiki hii tutazungumzia kitu kinachoitwa “karma”, lakini kufuatia taifa letu kupitia katika changamoto ya kumtafuta mkuu wa mhimili wa Bunge, sisi watu wa media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu, kupata viongozi bora, kwa kuonyesha udhaifu wa baadhi ya viongozi waliopita, udhaifu wa baadhi ya wanaotarajiwa sana, na uimara wa baadhi ya waliojitokeza, ili katika uchaguzi wa Spika, tusirudie makosa yaliyopita, na kwenye fursa ya kupata “Spika Bora”, tusifanye kosa tukachagua “Bora Spika”.
Nimesema Spika aliyepita hakuwa Spika Bora, alikuwa ni Bora Spika, kutokana na utamaduni wa upatikanaji wa Spika kwa CCM, Pius Mswekwa alikuwa ni Naibu Spika wa Spika Chief Adam Sapi Mkwawa, Spika Sitta alimshinda Msekwa kwa kumshinda kwa sifa, Spika Anna Makinda alikuwa Naibu Spika wa Samweli Sitta, Spika Job Ndugai alikuwa Naibu Spika wa Anna Makinda, hivyo utamaduni huu ukiendelea, baada ya Spika Ndugai kujiuzulu, anayetarajiwa sana ni Naibu Spika, Dr. Tulia Akson.
Kwa vile Spika Job Ndugai hakuwa Spika Bora, na kujiuzulu kwake kwa kashfa ni uthibitisho, vivyo hivyo CCM wakiendeleza utamaduni wa kumteua Naibu Spika kuwa Spika, huko kutatupatia “Bora Spika”, mwingine!, kwanini tupate tena “Bora Spika” wakati tuna fursa ya kupata “Spika Bora”?.
Wenzetu wazungu wanaita, “endorsement”, hivyo leo nafanya endorsement yangu kumpata Spika Bora, kwa kutumia udhaifu wa Spika aliyepita, na makosa ya msaidizi wake, huku nikipendekeza spika bora.
Angalizo: Hii sio kampeni kumpigia debe mtu yoyote, bali ni uzalendo kwa taifa langu, baada ya kuongozwa na “bora spika”, inapotokea fursa ya kumpata spika bora, sisi wenye jicho tunduizi la kuona matundu kwenye bora spika, tuyaonyeshe hayo matundu, ili tuepuke kupata bora spika, na kuangazia fursa za kupata spika bora, kuuongoza mhimili wetu wa kutunga sheria
Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 1995, Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, mtu yoyote mwenye sifa na vigezo, anaweza kuwa rais wa Tanzania, lakini Rais Bora, atatoka CCM. Hivyo baada ya nafasi ya Spika kuwa wazi, wamejitokeza watu wengi kuonyesha nia kupitia CCM, na wote wana kidhi sifa na vigezo, hivyo kama tunataka kupata bora spika, mtu yoyote kati ya hao, anaweza kuwa Spika, lakini kama tunataka Spika Bora, ni baadhi tuu ya hao, ndio wanaweza kutupatia Spika Bora.
Vikao vya CCM vitakutana wiki hii kufanya uteuzi wa majina matatu, kisha kikao cha wabunge wa CCM kitapiga kura kuchagua jina jina, tunakiomba Chama cha Mapinduzi kututeulia Spika Bora, na kuwaomba wabunge wa CCM, kutuchagulia mgombea bora.
Uchaguzi wa Spika mpya, utafanyika kwenye kikao kijacho cha Bunge, ambapo vyama mbalimbali vya siasa, vitateua majina ya wagombea wake, kila chama mgombea mmoja. Hivyo Mtanzania yoyote, kutoka chama chochote cha siasa, aliyekidhi sifa na vigezo, anaweza kuwa Spika wa Bunge la JMT.
Lakini kwa siasa za Tanzania, tukubali, tukatae, ile kauli ya Mwalimu Nyerere kuhusu urais wa Tanzania, kuwa “rais bora lazima atatoka CCM”, ikingali inaishi hata kwenye Uspika, kuwa Spika bora wa Bunge la JMT, lazima atatoka CCM.
Kama nilivyouanza mwaka huu, katika salamu zangu mwaka mpya, kwa kusema huu ni mwaka wa mabadiliko, na kuwaomba Watanzania tubadilike, kujizulu kwa Spika aliyepita, ni mpango wa Mungu kuleta mabadiliko katika mhimili huu pia, baada ya Mungu kuleta mabadiliko kwenye mhimili wa Serikali, sasa ni zamu ya mabadiliko katika Mhimili wa Bunge, dini zote zinatusisitiza tushukuru kwa yoye, hivyo tushukuru hata kwa mabadiliko haya ya mkuu wa mhimili wa Bunge, baada ya kutokea fursa hii, ni jukumu la Bunge letu kutupatia Spika Bora.
Kwa vile media ina ushawishi mkubwa, wa kuhamasisha jamii “influence and shape the public opinion”, media za wenzetu mfano Marekani, wao wana vyama vikuu viwili, The Democrats na The Republic, kwenye uchaguzi mkuu, wao, media zilifanya kitu kinachoitwa “endorsement”, kwa baadhi ya media na watu mashuhuri na maarufu, kumuunga mkono mgombea wa chama fulani, mfano kuna watu, TV na Magazeti, yalimuunga mkono Barack Obama na chama cha Democrat.
Sisi Tanzania, ingawa nchi yetu ni nchi ya vyama vingi vya siasa, kwa mujibu wa katiba, lakini ukweli halisi kwa huku bara, na Bunge la JMT, japo ni Bunge la vyama vingi, lakini kiukweli wenyewe halisi uliopo, ni Bunge la chama kimoja CCM. Na nchi yetu kwa huku Tanzania Bara ni nchi ya vyama vingi, lakini ukweli ni nchi ya chama kimoja CCM, kikizungukwa na vyama utitiri, hivyo kama media kufanya endorsement, ni endorsement ya mgombea wa CCM.
Nafasi ya kila chama kutoa mgombea ni nafasi moj tuu, na kati ya wagombea wote waliojitokeza CCM, atakayechaguliwa kuiwakilisha CCM ni mtu mmoja, na kati ya hao waliojitokeza CCM, miongoni mwao, mtu mmoja huyo wa kutupatia Spika bora, swali ni Jee CCM safari hii, watatupatia Spika Bora?, au wataendelea kutupatia Bora Spika, kama aliyetangulia?.
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Jumapili ya leo. View attachment 2083138
Nafasi ya kila chama kutoa mgombea ni nafasi moj tuu, na kati ya wagombea wote waliojitokeza CCM, atakayechaguliwa kuiwakilisha CCM ni mtu mmoja, na kati ya hao waliojitokeza CCM, miongoni mwao, mtu mmoja huyo wa kutupatia Spika bora, swali ni Jee CCM safari hii, watatupatia Spika Bora?, au wataendelea kutupatia Bora Spika, kama aliyetangulia?.
Wanabodi, Moja ya udhaifu mkubwa wa media yetu nchini Tanzania, ni uwezo duni kufanya analysis, ili kuzisaidia ngazi za uteuzi za CCM kututeulia Spika Bora. Spika Job Ndugai, hakuwahi kuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, na kupatikana kwake ni kutokana na kutokuwepo kwa uchambuzi...
www.jamiiforums.com
Kati ya Wagombea watatu waliopitishwa na CCM, kuna Spika Bora, Bora Spika na mtu neutral.
let's put our fingers crossed wabunge wa CCM, watuchagulie Spika Bora.
P
Wanabodi, Moja ya udhaifu mkubwa wa media yetu nchini Tanzania, ni uwezo duni kufanya analysis, ili kuzisaidia ngazi za uteuzi za CCM kututeulia Spika Bora. Spika Job Ndugai, hakuwahi kuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, na kupatikana kwake ni kutokana na kutokuwepo kwa uchambuzi...
www.jamiiforums.com
Kati ya Wagombea watatu waliopitishwa na CCM, kuna Spika Bora, Bora Spika na mtu neutral.
let's put our fingers crossed wabunge wa CCM, watuchagulie Spika Bora.
P
Spika aliyepita wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyejiuzulu hivi karibuni, hakuwa “Spika Bora”, alikuwa ni “Bora Spika”, hivyo kujiuzulu kwake, hakuna anayekusikitikia, na badala ya watu kusikitika, watu wanaolitakia mema taifa hili, wamefurahia kujiuzulu huko kwasababu kujiuzulu kwa Spika aliyetangulia, kunaleta fursa ya taifa letu kupata tena “Spika Bora” kama enzi za Mzee wa “Speed and Standards“, Mzee SS. Swali ni jee CCM, itatupatia “Spika Bora” au “Bora Spika?.
Kwanza niombe radhi, wiki iliyopita nilisema wiki hii tutazungumzia kitu kinachoitwa “karma”, lakini kufuatia taifa letu kupitia katika changamoto ya kumtafuta mkuu wa mhimili wa Bunge, sisi watu wa media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu, kupata viongozi bora, kwa kuonyesha udhaifu wa baadhi ya viongozi waliopita, udhaifu wa baadhi ya wanaotarajiwa sana, na uimara wa baadhi ya waliojitokeza, ili katika uchaguzi wa Spika, tusirudie makosa yaliyopita, na kwenye fursa ya kupata “Spika Bora”, tusifanye kosa tukachagua “Bora Spika”.
Je, wajua kuwa kitendo cha kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika, Mhe. Job Yustino Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili taifa letu Tanzania, tuachane na "Bora Spika" na badala yake tupate "Spika Bora".
Paskali.
Kwa vile Dr. Tulia alikuwa ni Naibu Spika wa Spika dhaifu, alipochaguliwa kuwa Spika, kuna watu walidhani Bunge la Tulia litakuwa ni Bunge Dhaifu kama Bunge la Ndugai.
Bunge la Dr. Tulia, sasa limeanza kuisimamia Serikali kiukweli ukweli!, leo limesimamisha shughuli zake zote kujadili hoja ya dharura ya Mhe. Omari Kigua, kujadili kupanda kwa bei ya mafuta ya petrol na dizeli.
Hongera Sana Spika Tulia, Bunge sasa linaisimamia serikali
Mimi namuendorse Chenge, hakuwa kikaragosi cha Jiwe
Pia namuendorse Masele, hakue ndeshwa na Jiwe, na alisimamia msimamo wake.
Simuendorse Tulia, kwanza aliiupata huo ubunge na unaibu spika baada ya kupindua meza kwenye ile kesi ya kusimama mita 200 toka kituo cha kupigia kura.
Hatari iliyopo Kuna uwezekano Mkubwa wa kupata "Spika Maslahi" ambae ataendelea kuwa kibaraka na rubber stamp wa Dola, na huenda akawa wa hovyo kuliko yule Bwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.