Kujiuzulu kwa Profesa Mohamed Janabi, akiunganishwa na Taarifa za Corona (Usahihi wa Taarifa)

Kujiuzulu kwa Profesa Mohamed Janabi, akiunganishwa na Taarifa za Corona (Usahihi wa Taarifa)

Status
Not open for further replies.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya moyo ya Jakaya Kikwete ( JKCI) Prof Janabi ambaye jana alixushiwa kuwa amefukuzwa kazi leo ameonekana hospitalini hapo akiendelea na majukumu yake kama kawaida.

Source : Ayo tv
Afukuzwe kwa kosa la kile kivideo clip mlichokikata halafu mkachukua baadhi ya maelezo yake na kuanza kusambaziana kwenye ma group yenu ya upuuzi ?
 
Did you read the contents of that Handing Over Note? It seems your extremely idiot when comes to administrative issues!!
Ungeandika tu kwa kiswahili wala husingepungukiwa na chochote kile.
 
Habari wanabodi? Ni matumaini yangu kwamba hamjambo humu ndani na mnaendelea na harakati za mapambano ya kuzuia ugonjwa wa corona. Kiukweli inabidi tumuombe Mungu wetu ili atusaidie tushinde haya mapambano.

Wanabodi kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nimegundua kwamba Zitto Kabwe ana uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo, ni mtu muongo sana na mpotoshaji mkubwa wa umma.

Jana Prof. Janabi aliandaa Hand over note kwa wafanyakazi waliochini yake ya a kuwapangia majukumu yao. Ghafla Mh. zito Kabwe akutuma ujumbe katika mtandao wa twita wa kupotosha na kudanganya Umma kuwa Prof. Janabi amefukuzwa kazi kutokana na voice note ya Prof. Janabi iliyokuwa iiliyozagaa siku chache zilizopita kwenye makundi ya mtandao wa whatSapp kuwaelimisha na kuwakumbusha watu namna ya kujikinga na ugonjwa wa korona.

Kutokana na hilo tukio la kupotosha watu kuwa Prof. Janabi amefukukuzwa limesababisha nimuone Mh. Zitto Kabwe kama ni msomi wa hovyo sana na mtu ambaye bado hajaelimika, anapenda kukurupuka, pia ana uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo, haelewi lugha ya Kiingereza vizuri.

Wasomi wana viwango vyao mfano msomi akipata taarifa yoyote lazima afanye utafiti ili kuwa na uhakika na habari aliyopewa. Pia lazima azingatie ni nani aliyetoa hiyo taarifa kwa kuangalia na kuzingatia chanzo cha habari hiyo(CREDIBLE SOURCE). Kwa ndugu yetu Zitto Kabwe imekuwa ni tofauti sana kwa sababu amedhihirisha kiwango kikubwa cha ujinga wake.

Wanabodi wenzangu, najaribu kujiuliza ni mambo mangapi amepotosha na kudanya umma huyu mwanasiasa uchwara kama alivyoitwa na RC wa Dar es salaam? wanabodi watu kama hawa ni hatari sana katika jamii kama jamii haitachukua jukumu la kuwakanya. Watakuja kusababisha majanga makubwa sana kwa jamii kwa sababu ya uongo wao, uwezo wao mdogo wa kuchanganua mambo na ukurupukaji wao.

Hivyo wanabodi naomba tushirikiane kupiga kelele ili mamlaka husika wawachukulie hatua hawa Zitto Kabwe na Mwenzake JOHN MREMA kwa kwa kutoa habari za uongo ambazo zimesababisha upotoshaji kwa Umma.

Karibuni kwa michango

Ahsanteni.
 
Ungeandika tu kwa kiswahili wala husingepungukiwa na chochote kile.
Mkuu nimejibu hiyo comment kwa kiingereza kwa kuwa nayo imeandikwa kwa kiingereza ili mwenye comment aelewe labda hajui kiswahili!!
 
Habari wanabodi? Ni matumaini yangu kwamba hamjambo humu ndani na mnaendelea na harakati za mapambano ya kuzuia ugonjwa wa corona. Kiukweli inabidi tumuombe Mungu wetu ili atusaidie tushinde haya mapambano.

Wanabodi kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nimegundua kwamba Zitto Kabwe ana uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo, ni mtu muongo sana na mpotoshaji mkubwa wa umma.

Jana Prof. Janabi aliandaa Hand over note kwa wafanyakazi waliochini yake ya a kuwapangia majukumu yao. Ghafla Mh. zito Kabwe akutuma ujumbe katika mtandao wa twita wa kupotosha na kudanganya Umma kuwa Prof. Janabi amefukuzwa kazi kutokana na voice note ya Prof. Janabi iliyokuwa iiliyozagaa siku chache zilizopita kwenye makundi ya mtandao wa whatSapp kuwaelimisha na kuwakumbusha watu namna ya kujikinga na ugonjwa wa korona.

Kutokana na hilo tukio la kupotosha watu kuwa Prof. Janabi amefukukuzwa limesababisha nimuone Mh. Zitto Kabwe kama ni msomi wa hovyo sana na mtu ambaye bado hajaelimika, anapenda kukurupuka, pia ana uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo, haelewi lugha ya Kiingereza vizuri.

Wasomi wana viwango vyao mfano msomi akipata taarifa yoyote lazima afanye utafiti ili kuwa na uhakika na habari aliyopewa. Pia lazima azingatie ni nani aliyetoa hiyo taarifa kwa kuangalia na kuzingatia chanzo cha habari hiyo(CREDIBLE SOURCE). Kwa ndugu yetu Zitto Kabwe imekuwa ni tofauti sana kwa sababu amedhihirisha kiwango kikubwa cha ujinga wake.

Wanabodi wenzangu, najaribu kujiuliza ni mambo mangapi amepotosha na kudanya umma huyu mwanasiasa uchwara kama alivyoitwa na RC wa Dar es salaam? wanabodi watu kama hawa ni hatari sana katika jamii kama jamii haitachukua jukumu la kuwakanya. Watakuja kusababisha majanga makubwa sana kwa jamii kwa sababu ya uongo wao, uwezo wao mdogo wa kuchanganua mambo na ukurupukaji wao.

Hivyo wanabodi naomba tushirikiane kupiga kelele ili mamlaka husika wawachukulie hatua hawa Zitto Kabwe na Mwenzake JOHN MREMA kwa kwa kutoa habari za uongo ambazo zimesababisha upotoshaji kwa Umma.

Karibuni kwa michango

Ahsanteni.
Wewe utakuwa unafikiri kupitia matakoni ndio maaana unataka kumpinga mtu mwenye uwezo Mkubwa wa uwelewa wamambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanabodi? Ni matumaini yangu kwamba hamjambo humu ndani na mnaendelea na harakati za mapambano ya kuzuia ugonjwa wa corona. Kiukweli inabidi tumuombe Mungu wetu ili atusaidie tushinde haya mapambano.

Wanabodi kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nimegundua kwamba Zitto Kabwe ana uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo, ni mtu muongo sana na mpotoshaji mkubwa wa umma.

Jana Prof. Janabi aliandaa Hand over note kwa wafanyakazi waliochini yake ya a kuwapangia majukumu yao. Ghafla Mh. zito Kabwe akutuma ujumbe katika mtandao wa twita wa kupotosha na kudanganya Umma kuwa Prof. Janabi amefukuzwa kazi kutokana na voice note ya Prof. Janabi iliyokuwa iiliyozagaa siku chache zilizopita kwenye makundi ya mtandao wa whatSapp kuwaelimisha na kuwakumbusha watu namna ya kujikinga na ugonjwa wa korona.

Kutokana na hilo tukio la kupotosha watu kuwa Prof. Janabi amefukukuzwa limesababisha nimuone Mh. Zitto Kabwe kama ni msomi wa hovyo sana na mtu ambaye bado hajaelimika, anapenda kukurupuka, pia ana uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo, haelewi lugha ya Kiingereza vizuri.

Wasomi wana viwango vyao mfano msomi akipata taarifa yoyote lazima afanye utafiti ili kuwa na uhakika na habari aliyopewa. Pia lazima azingatie ni nani aliyetoa hiyo taarifa kwa kuangalia na kuzingatia chanzo cha habari hiyo(CREDIBLE SOURCE). Kwa ndugu yetu Zitto Kabwe imekuwa ni tofauti sana kwa sababu amedhihirisha kiwango kikubwa cha ujinga wake.

Wanabodi wenzangu, najaribu kujiuliza ni mambo mangapi amepotosha na kudanya umma huyu mwanasiasa uchwara kama alivyoitwa na RC wa Dar es salaam? wanabodi watu kama hawa ni hatari sana katika jamii kama jamii haitachukua jukumu la kuwakanya. Watakuja kusababisha majanga makubwa sana kwa jamii kwa sababu ya uongo wao, uwezo wao mdogo wa kuchanganua mambo na ukurupukaji wao.

Hivyo wanabodi naomba tushirikiane kupiga kelele ili mamlaka husika wawachukulie hatua hawa Zitto Kabwe na Mwenzake JOHN MREMA kwa kwa kutoa habari za uongo ambazo zimesababisha upotoshaji kwa Umma.

Karibuni kwa michango

Ahsanteni.
mamlaka kwanza ianze na Bashite aliyekiuka maadili ya kumtaja mgonjwa hadharani bila idhini ya muhusika.... halafu ndiyo ije kwa Zitto!
 
Habari wanabodi? Ni matumaini yangu kwamba hamjambo humu ndani na mnaendelea na harakati za mapambano ya kuzuia ugonjwa wa corona. Kiukweli inabidi tumuombe Mungu wetu ili atusaidie tushinde haya mapambano.

Wanabodi kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nimegundua kwamba Zitto Kabwe ana uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo, ni mtu muongo sana na mpotoshaji mkubwa wa umma.

Jana Prof. Janabi aliandaa Hand over note kwa wafanyakazi waliochini yake ya a kuwapangia majukumu yao. Ghafla Mh. zito Kabwe akutuma ujumbe katika mtandao wa twita wa kupotosha na kudanganya Umma kuwa Prof. Janabi amefukuzwa kazi kutokana na voice note ya Prof. Janabi iliyokuwa iiliyozagaa siku chache zilizopita kwenye makundi ya mtandao wa whatSapp kuwaelimisha na kuwakumbusha watu namna ya kujikinga na ugonjwa wa korona.

Kutokana na hilo tukio la kupotosha watu kuwa Prof. Janabi amefukukuzwa limesababisha nimuone Mh. Zitto Kabwe kama ni msomi wa hovyo sana na mtu ambaye bado hajaelimika, anapenda kukurupuka, pia ana uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo, haelewi lugha ya Kiingereza vizuri.

Wasomi wana viwango vyao mfano msomi akipata taarifa yoyote lazima afanye utafiti ili kuwa na uhakika na habari aliyopewa. Pia lazima azingatie ni nani aliyetoa hiyo taarifa kwa kuangalia na kuzingatia chanzo cha habari hiyo(CREDIBLE SOURCE). Kwa ndugu yetu Zitto Kabwe imekuwa ni tofauti sana kwa sababu amedhihirisha kiwango kikubwa cha ujinga wake.

Wanabodi wenzangu, najaribu kujiuliza ni mambo mangapi amepotosha na kudanya umma huyu mwanasiasa uchwara kama alivyoitwa na RC wa Dar es salaam? wanabodi watu kama hawa ni hatari sana katika jamii kama jamii haitachukua jukumu la kuwakanya. Watakuja kusababisha majanga makubwa sana kwa jamii kwa sababu ya uongo wao, uwezo wao mdogo wa kuchanganua mambo na ukurupukaji wao.

Hivyo wanabodi naomba tushirikiane kupiga kelele ili mamlaka husika wawachukulie hatua hawa Zitto Kabwe na Mwenzake JOHN MREMA kwa kwa kutoa habari za uongo ambazo zimesababisha upotoshaji kwa Umma.

Karibuni kwa michango

Ahsanteni.
Mchukulie wewe. Sisi tunamuogopa
 
Zito ndio tunu ya nchi anapaswa kutunzwa Kama yai unataka nae apotezwe utaweza kuwatetea wanafunzi wa kike mamilioni na mamilioni? Utaweza kuwatetea wanaotekwa na kuuwawa? Utukome shitlole wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanabodi? Ni matumaini yangu kwamba hamjambo humu ndani na mnaendelea na harakati za mapambano ya kuzuia ugonjwa wa corona. Kiukweli inabidi tumuombe Mungu wetu ili atusaidie tushinde haya mapambano.

Wanabodi kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nimegundua kwamba Zitto Kabwe ana uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo, ni mtu muongo sana na mpotoshaji mkubwa wa umma.

Jana Prof. Janabi aliandaa Hand over note kwa wafanyakazi waliochini yake ya a kuwapangia majukumu yao. Ghafla Mh. zito Kabwe akutuma ujumbe katika mtandao wa twita wa kupotosha na kudanganya Umma kuwa Prof. Janabi amefukuzwa kazi kutokana na voice note ya Prof. Janabi iliyokuwa iiliyozagaa siku chache zilizopita kwenye makundi ya mtandao wa whatSapp kuwaelimisha na kuwakumbusha watu namna ya kujikinga na ugonjwa wa korona.

Kutokana na hilo tukio la kupotosha watu kuwa Prof. Janabi amefukukuzwa limesababisha nimuone Mh. Zitto Kabwe kama ni msomi wa hovyo sana na mtu ambaye bado hajaelimika, anapenda kukurupuka, pia ana uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo, haelewi lugha ya Kiingereza vizuri.

Wasomi wana viwango vyao mfano msomi akipata taarifa yoyote lazima afanye utafiti ili kuwa na uhakika na habari aliyopewa. Pia lazima azingatie ni nani aliyetoa hiyo taarifa kwa kuangalia na kuzingatia chanzo cha habari hiyo(CREDIBLE SOURCE). Kwa ndugu yetu Zitto Kabwe imekuwa ni tofauti sana kwa sababu amedhihirisha kiwango kikubwa cha ujinga wake.

Wanabodi wenzangu, najaribu kujiuliza ni mambo mangapi amepotosha na kudanya umma huyu mwanasiasa uchwara kama alivyoitwa na RC wa Dar es salaam? wanabodi watu kama hawa ni hatari sana katika jamii kama jamii haitachukua jukumu la kuwakanya. Watakuja kusababisha majanga makubwa sana kwa jamii kwa sababu ya uongo wao, uwezo wao mdogo wa kuchanganua mambo na ukurupukaji wao.

Hivyo wanabodi naomba tushirikiane kupiga kelele ili mamlaka husika wawachukulie hatua hawa Zitto Kabwe na Mwenzake JOHN MREMA kwa kwa kutoa habari za uongo ambazo zimesababisha upotoshaji kwa Umma.

Karibuni kwa michango

Ahsanteni.
Mkuu hao Zitto na Jon ni idiot wa administrative issues achana nao lakini bado watawapata idiot wenzao wanachama wa saccos na wasaliti wa nchi yetu!
 
Zito ndio tunu ya nchi anapaswa kutunzwa Kama yai unataka nae apotezwe utaweza kuwatetea wanafunzi wa kike mamilioni na mamilioni? Utaweza kuwatetea wanaotekwa na kuuwawa? Utukome shitlole wewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Tunu ya nchi kivipi? angekuwa tunu asingepotosha umma.

Siyo yeye tu anafanya utetezi wa watoto wa kike bali tupo wengi sana. Tofauti yangu na yeye ni kwamba yeye anapiga makelele kwenye mitandao ya kijamii kama chura ila wengine tunawatetea hao watoto kwa vitendo.

Pia Zitto anafanya zile harakati siyo kwa manufaa ya jamii bali kwa manufaa yake binafsi.
 
Mkuu hao Zitto na Jon ni idiot wa administrative issues achana nao lakini bado watawapata idiot wenzao wanachama wa saccos na wasaliti wa nchi yetu!
Ni wajinga sana hawa watu wamekuwa wakipotosha Umma ili wapate umaaruf wa kijinga.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom