Kujiweka low profile kulivonikosesha mchumba!

The point is, most of us struggle throughout our lives by giving too many fncks in situations where fncks do not deserve to be given.
Fncks given everywhere. Strewn about like seeds in mother-fncking spring time. And for what purpose? For what reason? Convenience? Easy comforts?

This is the problem, my friend.
 
"Utu" unaozungmzia mkuu unaousema ndio huu ambao umemtoa muheshimishiwa fulani kutoka cdm kwenda "ciciemu" au?? Au "utu" Huu ndo unaowatoa watangazaji toka kituo cha habari kimoja kwenda kingine? Mkuu naomba nieleweshe
 
kuwa MARIDADI ni jambo MUHIMU, haijalishi unapendwa Kweli au KINAFIKI. wewe JIPENDE mwenyewe tu kwa maana hakuna atakayekupenda kuliko unavyojipenda wewe MWENYEWE.
 

Nilimuelewa sana Ila "ni hivi mkuu watanzania au Ata elsewhere ukionekana unahadhi fulani mambo yako ynakubaliwa na yanafanyiwa kazi chapu! Yan uhangaiki mzee tofauti na kujiweka" kingumbalu"
 
Kumbe philomena ni jina la kiume ..nme mkumbuka philoo... dada mkuu wa primary



Sarcasm
 
"Utu" unaozungmzia mkuu unaousema ndio huu ambao umemtoa muheshimishiwa fulani kutoka cdm kwenda "ciciemu" au?? Au "utu" Huu ndo unaowatoa watangazaji toka kituo cha habari kimoja kwenda kingine? Mkuu naomba nieleweshe
hapana hapo hamna utu,kwenye fulsa au utafutaji ni maslahi kwanza.ndio maana hatuwezi laumu mtu kuhama wasafu kwenda Afm kisa hela.
ila atakayeacha mume kisa jamaa mwenye hela,tutamsimanga maana ameshindwa kutambua mahusiano sio maswala ya maslahi,mahusiano ni mtu kwanza,kisha vingine.
 
Zote! Ina uhusiano gani na uandishi wako mbovu? Kwanza wee mwenyewe mchumba,huyo uliyemkosa labda alikua mke mwenza!

Zote! Ina uhusiano gani na uandishi wako mbovu? Kwanza wee mwenyewe mchumba,huyo uliyemkosa labda alikua mke mwenza!
Okay IQ yako iko Sawa na ulichojibu una akili ya "gpA ya 1.9"
 
Okay IQ yako iko Sawa na ulichojibu una akili ya "gpA ya 1.9"
Wewe una ya 5 ,what's difference wakati hata irabu ya kiswahili inakupiga chenga. Endelea kuwaza chupi tu naninaa
 
Wewe una ya 5 ,what's difference wakati hata irabu ya kiswahili inakupiga chenga. Endelea kuwaza chupi tu naninaa
Hakuna tusi jipya mkuu matusi kama maji tu '"nanina" Kitu gani ongea straight muoga muoga wewe
Wewe una ya 5 ,what's difference wakati hata irabu ya kiswahili inakupiga chenga. Endelea kuwaza chupi tu nanina
 
Philomena kwetu ni jina la kike
Changamoto ya multiple IDs hupelekea mtu kuchanganya madesa, sehemu ya kuflow kiume anajikuta ametumia ID ya demu na sehemu kuongea kidemu unakuta katumia ID ya kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…