hilo nalo neno mkuu kabisa mambo ya mtu simjui halafu ajipendekezaKujulikana kubaya ni kule ambako watu wengi wanakujua alafu wewe huwajui na hujawahi kukutana nao kabisa.
Mfano kujiposti mitandaoni wanaokuona na kukujua wapo wengi kuliko ambao hawakujui,hivyo kujulikana huku ni upuuzi kwa sababu unaweza kutaka kufanya mishe zako kwa kificho kumbe kuna watu wanakujua ila wewe huwajui wanakuona.
Ila ukiwa kazini bila shaka watakaokujua na wewe utawajuaa kwa sababu utakuwa unaonana nao na kuna miamala mtakuwa mnafanya ya kimaisha,huku hakuna shida kabisa.
Mimi sipendi kabisa mtu ambaye simjui sijawahi kumuona wala kukutana nae na wala shusiani nae chochote katika nyanja ya kimaisha basi sitaki aanijue mtu huyo.
Huko ndio kujulikana kwa karaha.
yaani karaha sana sema hakuna jinsi inabidi kujichanganya tu hivyohivyoKujulikana ni karaha, ningeweza ningekua nakaa katikati ya msitu mwenyewe. Sema mfumo wa maisha ndo ivio tena
wewe uko ulaya mambo ya MPARANGE umeyajua wapi jamani khaaaaaaaaπ€£π€£π€£π€£Ndo adi kwa mparange?mkuuππππ€£π€£π€£π€£wewe noma sana
Jasiri aachi asili yakeπ€£π€£π€£π€£πππππππulaya hiyo kwiowewe uko ulaya mambo ya MPARANGE umeyajua wapi jamani khaaaaaaaaπ€£π€£π€£π€£
kumbe muongo aisee nyie wanaume mmekubuhu sana πJasiri aachi asili yakeπ€£π€£π€£π€£πππππππulaya hiyo kwio
nipo nje ndioπππππππnda shindwaje kujua mamb yanayoendelea bongokumbe muongo aisee nyie wanaume mmekubuhu sana π
sijui kama nitaweza kukuamini maana naona uko bongo kabisa wewenipo nje ndioπππππππnda shindwaje kujua mamb yanayoendelea bongo
kwa nin mkuu au kwa vile natumia sana kiswahiliπππππππsijui kama nitaweza kukuamini maana naona uko bongo kabisa wewe
MATESO MAKUBWA SANA MAANA MFUKONI HUNA KITU WATAKAVYOKUCHEKA WATU ACHA TUKujulikana bila pesa ni mateso